Thursday 7 March 2013

SHIFAA INAPATIKANA KATIKA MAJINA MAZURI YA MWENYEZI MUNGU.

Baada ya utafiti wa miaka 3, amegundua dokta Ibrahim Karim ambaye ni mwanzishaji wa elimu ya Biogemitry kwamba majina mazuri ya Mwenyezi Mungu yana nguvu ya kuponya idadi kubwa ya maradhi na kwa njia ya sahihi kwa tofauti ya kipimo cha nguvu ndani ya mwili wa mtu. Na amegundua kwamba kila jina mojawapo ya majina mazuri ya Mola ipo nguvu inayochochea immune system kufanya kazi kwa uwezo mkubwa katika kiungo kimojawapo cha mtu. Na aliweza dokta Ibrahimu kutumia kanuni ya sauti kugundua kwa kutaja tu jina mojawapo ya majina mazuri ya Mola inapelekea kuendeleza vizuri njia za nguvu muhimu ndani ya mwili wa mtu. Hapa chini ni uchunguzi wake aliofikia kama ifuatavyo:


1-Maradhi ya sikio الأذن

السمـــــــــيع (kutaja jina la Mola Assamii`i)





2-Maradhi ya mfupa العظـــــــــام

النـــــــــــــــافع





3-Maradhi ya uti wa mgongo العمود الفقري

الجبـــــــــــــار





4-Maradhi ya goti الركبــــــــة

الــــــــــــرؤوف





5-Maradhi ya nywele الشعـــر

البديــــــــــــــع





6-Maradhi ya moyo القـــــــــــلب

النــــــــــــــــور





7-Maradhi ya misuli العضلات

القـــــــــــــــوي





8-Maradhi ya mshipa wa moyo أوردة القلب

الوهـــــــــــاب





9-Maradhi ya myocardial عضلة القلب

الـــــــــــــرزاق





10-Maradhi ya mishipa الأعصــاب

المغنـــــــــــى





11-Maradhi ya mshipa mkubwa wa damu الشريــــــان

الجبــــــــــــــــار





12-Maradhi ya tumbo المعــــــــــده

الــــــــــرزاق





13-Maradhi ya kensa السرطـــــان

جل جلالــــــــــه





14-Maradhi ya thyroid الغدة الدرقية

الجبــــــــــــار





15-Maradhi ya paja الفخــــــــــذ

الــــــــــــرافع





16-Maradhi ya kuumwa nusu kichwa الصداع النصفي

الغنــــــــــــي





17-Maradhi ya mishipa ya jicho الشرايين بالعين

المتعـــــــــــال





18-Maradhi ya figo الكـــــــــــلى

الحـــــــــــــي





19-Maradhi ya colon القـــولـــون

الـــــــــــــرؤوف





20-Maradhi ya utumbo الأمعــــــــاء

الــــــــــــرزاق





21-Maradhi ya ini الكبـــــــــــد

النافـــــــــــــــــع





22-Maradhi ya pancreas البنكريـــــاس

البــــــــــــارئ





23-Maradhi ya fat bags اكياس دهنية

النافـــــــــــــــــع





24-Maradhi ya kizazi الرحــــــــم

الخالــــــــــــق





25-Maradhi ya kibofu المثانــــــــه

الهـــــــــــــــادي





26-Maradhi ya arthritis الروماتيزم

المهيـمــــــــن





27-Maradhi ya prostate البروستاتـــة

الرشيــــــــــــــد





28-Maradhi ya backbone of the eye. عصب العين

الظاهـــــــــــر





29-Maradhi ya pineal gland. الغدة الصنوبرية

الهــــــــــــــادي





30-Maradhi ya blood pressure. ضغط الدم

الخافـــــــــض





31-Maradhi ya pafu. الرئـــــــــــة

الــــــــــــــرزاق





32-Maradhi ya gland lemusip. الغدة الثيموسية

القـــــــــــــوي





33-Maradhi ya gland juu ya figo الغدة فوق الكلوية

البــــــــــــــــارئ





34-Maradhi ya mba. قشر الشعر

جل جلالــــــــــــه





35-Maradhi ya sinuses. الجيوب الأنفية

اللطيف – الغني - الرحيم




36-Maradhi ya jicho. العين

النور – البصير – الوهاب



Ameashiria dokta Ibrahim kwamba hakika yeye ni mtu wa kwanza kufanyiwa uchunguzi ambapo amejitibu macho yake kutokana na maambukizo na kuishia kutaja majina ya Mola Annuur, Al-Baswiir na Al-Wahhaab(النور والبصير والوهاب). Na kwa muda wa dakika 10 amepata shifaa na kuondokewa na wekundu wa macho. Na ameendelea kusema kwamba majina hayo hayo matukufu ya Mola yanatumika kwa ajili ya kujikinga pia. Na imegunduliwa kwamba nguvu ya shifaa inaongezeka/inazidi wakati wa kusoma aya za shifaa baada ya kutaja majina mazuri ya Mola na katika hizi aya ni kauli ya Mwenyezi Mungu:


(فيه شفاء للناس),(ونزل من القران ما هو شفاء ورحمة),(وشفاء لما في الصدور)



(واذا مرضت فهويشفين)


......

Njia ya kujitubu: Weka mkono wako wa kuume mahali unapohisi maumivu kisha taja jina/majina la/ya Mola kwa kurudia rudia mpaka utakapohisi nafuu kwa idhini ya Mola.

No comments:

Post a Comment