tag:blogger.com,1999:blog-82336139562400686132024-02-21T01:26:39.966+05:00Bustani ya MemaUnknownnoreply@blogger.comBlogger64125tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-13378044405545639592020-06-05T17:09:00.001+05:002020-06-05T17:13:32.063+05:00Nikaah (Ndoa)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div id="skip-link" style="color: black; font-family: "Lucida Grande", "Lucida Sans Unicode", "Segoe UI", Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 12.8px; letter-spacing: normal;">
<a class="element-invisible element-focusable" href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#main-content" style="clip: rect(1px , 1px , 1px , 1px); color: rgb(20 , 135 , 212); height: 1px; overflow: hidden; position: absolute;">Skip tmin contn</a></div><div id="header" style="background-image: -webkit-linear-gradient(top , rgb(255 , 255 , 255) 0% , rgb(252 , 252 , 252) 100%); clear: both; color: rgb(0 , 0 , 0); font-family: "lucida grande" , "lucida sans unicode" , "segoe ui" , "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: 12.8px; letter-spacing: normal;"><div class="container_12 clearfix" id="header-inside" style="margin: 0px auto; overflow: hidden; padding: 10px 0px;">
<div class="grid_4" id="header-inside-right" style="margin-left: 10px; margin-right: 10px;">
</div>
</div>
</div>
<div id="header-menu" style="background: rgb(70 , 165 , 228); border-bottom: 1px solid rgb(53 , 53 , 53); border-top: 1px solid rgb(53 , 53 , 53); clear: both; color: rgb(0 , 0 , 0); font-family: "lucida grande" , "lucida sans unicode" , "segoe ui" , "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: 12.8px; letter-spacing: normal;">
<div class="container_12 clearfix" id="header-menu-inside">
<div class="grid_12" style="margin-left: 10px; margin-right: 10px;">
<div class="clearfix" id="navigation">
<div class="region region-navigation" style="padding-bottom: 2px; padding-top: 5px;">
<div class="block block-search" id="block-search-form" style="background: rgb(255 , 255 , 255); border-radius: 5px; border: none; margin-left: auto; margin-right: auto; overflow: hidden; width: 392.19px;">
<div class="content">
<form accept-charset="UTF-8" action="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407" id="search-block-form" method="post" style="margin: 0px; padding: 0px;">
<div class="container-inline">
<h2 class="element-invisible" style="clip: rect(1px , 1px , 1px , 1px); color: rgb(20 , 135 , 212); font-family: "book antiqua" , "palatino" , "palatino linotype" , "palatino lt std" , "georgia" , serif "important"; font-size: 18px; font-weight: normal; height: 1px; line-height: 21.6px; margin: 25px 0px 20px; overflow: hidden; position: absolute; text-shadow: rgb(234 , 241 , 234) 1px 1px 1px;">
Search </h2>
</div></form></div></div></div></div></div></div></div><div id="content" style="background: -webkit-linear-gradient(top , rgb(232 , 232 , 232) 0% , rgb(250 , 250 , 250) 100%) rgb(232 , 232 , 232); clear: both; color: rgb(0 , 0 , 0); font-family: "lucida grande" , "lucida sans unicode" , "segoe ui" , "helvetica" , "arial" , sans-serif; font-size: 12.8px; letter-spacing: normal; overflow: hidden;"><div class="container_12 clearfix" id="content-inside" style="padding: 10px 0px 60px;"><div class="grid_4" style="margin-left: 10px; margin-right: 10px;"><div class="region region-content" style="line-height: 19.84px;"><div class="block block-system" id="block-system-main"><div class="content"><div class="node node-book" id="node-9407"><div class="content clearfix" style="background: rgb(253 , 253 , 253); border-radius: 5px; border: 1px solid rgb(221 , 234 , 254); box-shadow: rgb(239 , 239 , 239) 0px 2px 6px inset; padding: 5px;"><div class="field field-name-body field-type-text-with-summary field-label-hidden"><div class="field-items"><div class="field-item even">
<div class="rtecenter" dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: center;">
<span style="color: rgb(0 , 102 , 255); font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">بُلُوغُ الْمَرام</span></div>
<div class="rtecenter" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: center;">
<span style="color: rgb(0 , 102 , 255); font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Buluwgh Al-Maraam</span></div>
<div class="rtecenter" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: center;">
<br></div>
<div class="rtecenter" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: center;">
<br></div>
<div class="rtecenter" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: center;">
<span style="color: rgb(0 , 102 , 255); font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">كِتَابُ اَلنِّكَاحِ</span></div>
<div class="rtecenter" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: center;">
<span style="color: rgb(0 , 102 , 255); font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kitabu cha Nikaah (Ndoa)</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 58.0667px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">824.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">عَنْ عَبْدِ اَللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ لَنَا رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {يَا مَعْشَرَ اَلشَّبَابِ! مَنِ اسْتَطَاعَ مِنْكُمُ اَلْبَاءَةَ فَلْيَتَزَوَّجْ، فَإِنَّهُ أَغَضُّ لِلْبَصَرِ، وَأَحْصَنُ لِلْفَرْجِ، وَمَنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَعَلَيْهِ بِالصَّوْمِ، فَإِنَّهُ لَهُ وِجَاءٌ"} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Abdullaah bin Mas-‘uwd </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> alituambia: “Enyi mkusanyiko wa vijana, anayeweza miongoni mwenu kumudu ndoa na aoe,<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn1" id="_ftnref1" name="_ftnref1" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[1]</span></a> kwani huko kuoa huinamisha zaidi macho na huhifadhi zaidi tupu. Na asiyeweza basi ajilazimu swawm; kwani huko swawm kwake ndiko kuyavunja matamanio.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">825.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ {أَنَّ اَلنَّبِيَّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ حَمِدَ اَللَّهَ، وَأَثْنَى عَلَيْهِ ، وَقَالَ: " لَكِنِّي أَنَا أُصَلِّي وَأَنَامُ، وَأَصُومُ وَأُفْطِرُ، وَأَتَزَوَّجُ اَلنِّسَاءَ، فَمَنْ رَغِبَ عَنْ سُنَّتِي فَلَيْسَ مِنِّي}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Anas bin Maalik </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">: “Alimhimidi Allaah na akamsifu, akasema… lakini mimi naswali<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn2" id="_ftnref2" name="_ftnref2" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[2]</span></a> na nalala, nafunga (swawm) na ninakula na naoa wanawake. Basi atakayechukia mwenendo wangu basi si katika mimi.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">826.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْهُ قَالَ: {كَانَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ يَأْمُرُ بِالْبَاءَةِ، وَيَنْهَى عَنِ التَّبَتُّلِ نَهْيًا شَدِيدًا، وَيَقُولُ :" تَزَوَّجُوا اَلْوَدُودَ اَلْوَلُودَ . إِنِّي مُكَاثِرٌ بِكُمُ اَلْأَنْبِيَاءَ يَوْمَ اَلْقِيَامَةِ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَصَحَّحَهُ اِبْنُ حِبَّانَ</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَلَهُ شَاهِدٌ: عِنْدَ أَبِي دَاوُدَ، وَالنَّسَائِيِّ، وَابْنِ حِبَّانَ أَيْضًا مِنْ حَدِيثِ مَعْقِلِ بْنِ يَسَارٍ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Anas bin Maalik </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">: “Alikua akituamrisha kuoa na akitukataza kuacha kuoa<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn3" id="_ftnref3" name="_ftnref3" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[3]</span></a> makatazo makali na akisema: Oweni wanawake wanaozaaa wanaopendeza (kwa waume zao), kwa hakika mimi nitakuwa mwenye kujifakhiri (mbele ya) Manabiy kwa sababu yenu Siku ya Qiyamah.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad na akaisahihisha Ibn Hibbaan]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Na ina ushahidi kwa Abuu Daawuwd, An-Nasaaiy na Ibn Hibbaan kutoka katika Hadiyth ya Ma’qil bin Yasaar</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">827.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ عَنِ النَّبِيِّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ قَالَ:{ تُنْكَحُ اَلْمَرْأَةُ لِأَرْبَعٍ: لِمَالِهَا، وَلِحَسَبِهَا، وَلِجَمَالِهَا، وَلِدِينِهَا، فَاظْفَرْ بِذَاتِ اَلدِّينِ تَرِبَتْ يَدَاكَ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ مَعَ بَقِيَّةِ اَلسَّبْعَةِ </span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Abuu Hurayrah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mwanamke huolewa kwa mambo manne:<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn4" id="_ftnref4" name="_ftnref4" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[4]</span></a> kwa mali yake, hadhi yake, uzuri wake na Dini yake. Basi oa aliyeshika Dini (vinginevyo) mikono yako itachafuka.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn5" id="_ftnref5" name="_ftnref5" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[5]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim pamoja na Maimaam saba (Al-Bukhaariy, Muslim, At-Tirmidhiy, An-Nasaaiy, Abuu Daawuwd, Ibn Maajah, Ahmad) waliobakia.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">828.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْهُ، أَنَّ اَلنَّبِيَّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ كَانَ إِذَا رَفَّأَ إِنْسَانًا إِذَا تَزَوَّجَ قَالَ: {بَارَكَ اَللَّهُ لَكَ، وَبَارَكَ عَلَيْكَ، وَجَمَعَ بَيْنَكُمَا فِي خَيْرٍ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَالْأَرْبَعَةُ، وَصَحَّحَهُ اَلتِّرْمِذِيُّ، وَابْنُ خُزَيْمَةَ، وَابْنُ حِبَّانَ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Abuu Hurayrah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">: “Alikuwa anapomuombea mtu du’aa njema, akimuombea:<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn6" id="_ftnref6" name="_ftnref6" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[6]</span></a></span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">بَارَكَ اَللَّهُ لَكَ، وَبَارَكَ عَلَيْكَ، وَجَمَعَ بَيْنَكُمَا فِي خَيْرٍ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<em><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Baaraka Allaahu laka, wa baaraka ‘alayka, wa jama’a baynakumaa fiy khayr</span></em><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> (Allaah Akubariki (katika mke wako) na Abariki juu yako (uweze kumudu gharama zake) na Awajumuishe katika kheri).” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad na Al-Arba’ah (At-Tirmidhiy, An-Nasaaiy, Abuu Daawuwd, Ibn Maajah), na akaisahihisha At-Tirmidhiy, Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">829.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ عَبْدِ اَللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: {عَلَّمَنَا رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ اَلتَّشَهُّدَ فِي اَلْحَاجَةِ: " إِنَّ اَلْحَمْدَ لِلَّهِ، نَحْمَدُهُ، وَنَسْتَعِينُهُ، وَنَسْتَغْفِرُهُ، وَنَعُوذُ بِاَللَّهِ مِنْ شُرُورِ أَنْفُسِنَا، مَنْ يَهْدِهِ اَللَّهُ فَلَا مُضِلَّ لَهُ، وَأَشْهَدُ أَنْ لَا إِلَهَ إِلَّا اَللَّهُ، وَأَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّدًا عَبْدُهُ وَرَسُولُهُ وَيَقْرَأُ ثَلَاثَ آيَاتٍ"} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَالْأَرْبَعَةُ، وَحَسَّنَهُ اَلتِّرْمِذِيُّ، وَالْحَاكِمُ </span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Abdullaah bin Mas-‘uwd </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> alitufundisha kushahadia katika haja (ndoa na jambo lolote):</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">إِنَّ اَلْحَمْدَ لِلَّهِ، نَحْمَدُهُ، وَنَسْتَعِينُهُ، </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَنَسْتَغْفِرُهُ،</span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> وَنَعُوذُ بِاَللَّهِ مِنْ شُرُورِ أَنْفُسِنَا، مَنْ يَهْدِهِ اَللَّهُ فَلَا مُضِلَّ لَهُ، وَأَشْهَدُ أَنْ لَا إِلَهَ إِلَّا اَللَّهُ، وَأَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّدًا عَبْدُهُ وَرَسُولُهُ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<em><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Innal-Hamda liLLaah, nahmaduhu, wa nasta’iynuhu, wa nastaghfiruhu, wa na’uwdhu biLLaahi min shuruwri anfusinaa, man yahdihi-LLaahu falaa mudhwilla lah, wa ash-hadu an laa ilaaha illa Allaah, wa ash-hadu anna Muhammadan ‘abduhu wa rasuwluhu</span></em><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">(Hakika Himdi anastahiki Allaah, tunamhimidi, tunamuomba msaada na tunamuomba maghfirah. Tunajikinga kwa Allaah dhidi ya shari za nafsi zetu. Anayeongozwa na Allaah hakuna wa kumpoteza na anayepotezwa Naye hakuna wa kumuongoza. Nashuhudia kuwa hapana mwabudiwa wa haki ila Allaah na nashuhudia kuwa Muhammad ni Mja wake na ni Rasuli wake) baada ya hapo anasoma Aayah tatu.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad na Al-Arba’ah (At-Tirmidhiy, An-Nasaaiy, Abuu Daawuwd, Ibn Maajah), na akaisahihisha At-Tirmidhiy na Al-Haakim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">830.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ جَابِرٍ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {إِذَا خَطَبَ أَحَدُكُمُ الْمَرْأَةَ، فَإِنْ اِسْتَطَاعَ أَنْ يَنْظُرَ مِنْهَا مَا يَدْعُوهُ إِلَى نِكَاحِهَا، فَلْيَفْعَلْ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَأَبُو دَاوُدَ، وَرِجَالُهُ ثِقَاتٌ، وَصَحَّحَهُ اَلْحَاكِمُ</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَلَهُ شَاهِدٌ: عِنْدَ اَلتِّرْمِذِيِّ، وَالنَّسَائِيِّ، عَنِ الْمُغِيرَةِ. </span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعِنْدَ اِبْنِ مَاجَهْ، وَابْنِ حِبَّانَ: مِنْ حَدِيثِ مُحَمَّدِ بْنِ مَسْلَمَةَ </span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَلِمُسْلِمٍ: <span style="color: blue;">عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ {أَنَّ اَلنَّبِيَّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ قَالَ لِرَجُلٍ تَزَوَّجَ اِمْرَأَةً: أَنَظَرْتَ إِلَيْهَا ؟ " قَالَ: لَا. قَالَ: " اِذْهَبْ فَانْظُرْ إِلَيْهَا}</span></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Jaabir </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Yeyote miongoni mwenu anapomposa mwanamke, iwapo ataweza kumtazama sehemu zinazomvutia ndoa yake<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn7" id="_ftnref7" name="_ftnref7" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[7]</span></a> basi afanye hivyo.”</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> [Imetolewa na Ahmad, Abuu Daawuwd na wapokezi wake ni madhubuti, na akaisahihisha Al-Haakim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Hadiyth hii ina ushahidi kwa At-Tirmidhiy na An-Nisaaiy kutoka kwa Al-Mughiyrah.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Ibn Maajah na Ibn Hibbaan wameipokea kutoka katika Hadiyth ya Muhammad bin Maslamah.<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn8" id="_ftnref8" name="_ftnref8" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-size: 13pt;">[8]</span></a></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Na kutoka katika Riwaayah ya Muslim <span style="color: blue;">kutoka kwa Abuu Hurayrah </span></span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa: “Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> alimuambia mtu alietaka kuoa, “Je umemuangalia?” akasema: “Hapana” Akasema: “Nenda ukamuangalie.”</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">831.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنِ ابْنِ عُمَرَ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {لَا يَخْطُبْ بَعْضُكُمْ عَلَى خِطْبَةِ أَخِيهِ، حَتَّى يَتْرُكَ اَلْخَاطِبُ قَبْلَهُ، أَوْ يَأْذَنَ لَهُ اَلْخَاطِبُ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ، وَاللَّفْظُ لِلْبُخَارِيِّ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Ibn ‘Umar </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Asipose yeyote miongoni mwenu juu ya posa ya nduguye<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn9" id="_ftnref9" name="_ftnref9" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[9]</span></a> (Muislamu) mpaka yule mposaji aache kabla yake au amruhusu.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim na tamshi hili ni la Al-Bukhaariy]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">832.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ سَهْلِ بْنِ سَعْدٍ اَلسَّاعِدِيِّ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: {جَاءَتِ امْرَأَةٌ إِلَى رَسُولِ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ فَقَالَتْ: يَا رَسُولَ اَللَّهِ! جِئْتُ أَهَبُ لَكَ نَفْسِي، فَنَظَرَ إِلَيْهَا رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ فَصَعَّدَ اَلنَّظَرَ فِيهَا، وَصَوَّبَهُ، ثُمَّ طَأْطَأَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ رَأْسَهُ، فَلَمَّا رَأَتْ اَلْمَرْأَةُ أَنَّهُ لَمْ يَقْضِ فِيهَا شَيْئًا جَلَسَتْ، فَقَامَ رَجُلٌ مِنْ أَصْحَابِهِ</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">فَقَالَ: يَا رَسُولَ اَللَّهِ! إِنْ لَمْ يَكُنْ لَكَ بِهَا حَاجَةٌ فَزَوِّجْنِيهَا</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">قَالَ: " فَهَلْ عِنْدكَ مِنْ شَيْءٍ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">؟</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> " .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">فَقَالَ: لَا، وَاَللَّهِ يَا رَسُولَ اَللَّهِ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">فَقَالَ: " اِذْهَبْ إِلَى أَهْلِكَ، فَانْظُرْ هَلْ تَجِدُ شَيْئًا ؟ " فَذَهَبَ، ثُمَّ رَجَعَ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">؟</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"></span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">فَقَالَ: لَا، وَاَللَّهِ يَا رَسُولَ اَللَّهِ، مَا وَجَدْتُ شَيْئًا</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">فَقَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ " انْظُرْ وَلَوْ خَاتَمًا مِنْ حَدِيدٍ"، فَذَهَبَ، ثُمَّ رَجَعَ</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">فَقَالَ: لَا وَاَللَّهِ ، يَا رَسُولَ اَللَّهِ ، وَلَا خَاتَمًا مِنْ حَدِيدٍ، وَلَكِنْ هَذَا إِزَارِي قَالَ سَهْلٌ: مَالُهُ رِدَاءٌ فَلَهَا نِصْفُهُ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">فَقَالَ رَسُولُ اَللَّهِ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">" </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">مَا تَصْنَعُ بِإِزَارِكَ ؟ إِنْ لَبِسْتَهُ لَمْ يَكُنْ عَلَيْهَا مِنْهُ شَيْءٌ، وَإِنْ لَبِسَتْهُ لَمْ يَكُنْ عَلَيْكَ شَيْءٌ " فَجَلَسَ اَلرَّجُلُ، وَحَتَّى إِذَا طَالَ مَجْلِسُهُ قَامَ، فَرَآهُ رَسُولُ اَللَّهِ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">مُوَلِّيًا، فَأَمَرَ بِهِ، فَدُعِيَ لَهُ، فَلَمَّا جَاءَ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">قَالَ: "مَاذَا مَعَكَ مِنَ الْقُرْآنِ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">؟</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> " .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">قَالَ: مَعِي سُورَةُ كَذَا، وَسُورَةُ كَذَا، عَدَّدَهَا</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">فَقَالَ: "تَقْرَؤُهُنَّ عَنْ ظَهْرِ قَلْبِكَ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">؟</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> " .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">قَالَ: نَعَمْ، قَالَ : "اِذْهَبْ، فَقَدَ مَلَّكْتُكَهَا بِمَا مَعَكَ مِنَ الْقُرْآنِ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ، وَاللَّفْظُ لِمُسْلِمٍ</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> .</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَفِي رِوَايَةٍ لَهُ: <span style="color: blue;">{اِنْطَلِقْ، فَقَدْ زَوَّجْتُكَهَا، فَعَلِّمْهَا مِنَ الْقُرْآنِ}</span></span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"></span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَفِي رِوَايَةٍ لِلْبُخَارِيِّ: <span style="color: blue;">{أَمْكَنَّاكَهَا بِمَا مَعَكَ مِنَ الْقُرْآنِ} </span></span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَلِأَبِي دَاوُدَ: عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ قَالَ<span style="color: blue;">:{مَا تَحْفَظُ</span></span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">؟</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> " .</span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">قَالَ: سُورَةَ اَلْبَقَرَةِ، وَاَلَّتِي تَلِيهَا</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> . </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">قَالَ: " قُمْ . فَعَلِّمْهَا عِشْرِينَ آيَةً}</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Sahl bin Sa’d As-Saa’idiyy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Alikuja mwanamke hadi kwa Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">akasema: “Ee Rasuli wa Allaah! Nimekuja kukupa nafsi yangu.” Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> akamtazama juu mpaka chini kisha akainamisha kichwa chake. Yule mwanamke alipoona kuwa hakumuambia lolote aliketi. Mtu mmoja katika Maswahaba akasema: “Ee Rasuli wa Allaah, ikiwa huna haja naye niozeshe mimi.” Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> akasema: “Una kitu?” Akasema: “Sina Wa-Allaahi Ee Rasuli wa Allaah!” Akasema: “Nenda kwa jamaa zako utazame kama utapata kitu.” Akaenda kisha akarudi, akasema: “Wa-Allaahi sikupata kitu!” Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> akasema: “Tafuta hata kama ni pete ya chuma.” Akaenda kisha akarudi, akasema: “Wa-Allaahi Ee Rasuli wa Allaah! Sikupata hata pete ya chuma! Lakini nina hiki kikoi changu.”</span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Sahli (mpokezi wa Hadiyth) amesema: Alikuwa hana shuka. Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">akasema: “Atakifanya nini kikoi chako? Ukikivaa yeye hatakuwa na kitu, naye akikivaa wewe hutakuwa na kitu.” Yule mtu akaketi kwa kitambo kirefu kisha akainuka. Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> akamuona akienda zake, akaamrisha aitwe, alipokuja akasema: “Umehifadhi kiasi gani cha Qur-aan?” Akasema: “Nimehifadhi Suwrah kadha wa kadhaa.” akazihesabu Suwrah alizohifadhi, akasema: “Umezihifadhi kwa moyo?” Akasema: “Ndiyo” Akasema: “Nimekuoza kwa ulichohifadhi katika Qur-aan.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn10" id="_ftnref10" name="_ftnref10" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[10]</span></a></span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> [Al-Bukhaariy, Muslim na tamshi hili ni la Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Na katika Riwaayah ya Abuu Daawuwd aliyoipokea kutoka kwa Abuu Hurayrah: <span style="color: blue;">“Nabiy </span></span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> alimuuliza umehifadhi nini?” Akasema: “Suwratul-Baqarah na inayofuatia.” Akasema Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">: “Nenda ukamfundishe Aayah ishirini.”</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">833.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ عَامِرِ بْنِ عَبْدِ اَللَّهِ بْنِ اَلزُّبَيْرِ، عَنْ أَبِيهِ، أَنَّ رَسُولَ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ قَالَ:{أَعْلِنُوا اَلنِّكَاحَ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> رَوَاهُ أَحْمَدُ ، وَصَحَّحَهُ اَلْحَاكِمُ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Aamir bin ‘Abdillaah bin Az-Zubayr<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn11" id="_ftnref11" name="_ftnref11" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[11]</span></a> kutoka kwa baba yake amesema kuwa Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Tangazeni ndoa.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn12" id="_ftnref12" name="_ftnref12" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[12]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad na akaisahihisha Al-Haakim]</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">834.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ أَبِي بُرْدَةَ بْنِ أَبِي مُوسَى، عَنْ أَبِيهِ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {لَا نِكَاحَ إِلَّا بِوَلِيٍّ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> رَوَاهُ أَحْمَدُ وَالْأَرْبَعَةُ وَصَحَّحَهُ اِبْنُ اَلْمَدِينِيِّ، وَاَلتِّرْمِذِيُّ، وَابْنُ حِبَّانَ، وَأُعِلَّ بِالْإِرْسَالِ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Abuu Burdah bin Abiy Muwsaa kutoka kwa baba yake amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Ndoa haiswihi ila kwa walii.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn13" id="_ftnref13" name="_ftnref13" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[13]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad na Al-Arba’ah (At-Tirmidhiy, An-Nasaaiy, Abuu Daawuwd, Ibn Maajah) na akaisahihisha Ibn Al-Madiyniyy, At-Tirmidhiy na Ibn Hibbaan, na wengine wameiona na ila kwa kuwa ni Mursal]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">835.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ عَائِشَةَ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهَا قَالَتْ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {أَيُّمَا اِمْرَأَةٍ نَكَحَتْ بِغَيْرِ إِذْنِ وَلِيِّهَا، فَنِكَاحُهَا بَاطِلٌ، فَإِنْ دَخَلَ بِهَا فَلَهَا اَلْمَهْرُ بِمَا اِسْتَحَلَّ مِنْ فَرْجِهَا، فَإِنِ اشْتَجَرُوا فَالسُّلْطَانُ وَلِيُّ مَنْ لَا وَلِيَّ لَهُ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">أَخْرَجَهُ اَلْأَرْبَعَةُ إِلَّا النَّسَائِيَّ، وَصَحَّحَهُ أَبُو عَوَانَةَ، وَابْنُ حِبَّانَ وَالْحَاكِمُ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Aaishah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللَّهُ عَنْهَا)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mwanamke yeyote anayeolewa bila idhini ya walii wake ndoa yake ni batili. (Mume) akimuingilia mwanamke huyo ana haki ya kupata mahari kwa alichohalalishia tupu yake. Wakishindana,<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn14" id="_ftnref14" name="_ftnref14" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[14]</span></a> basi sultani (mtawala) ni walii wa asiyekuwa na walii.”</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> [Imetolewa na Al-Arba’ah (At-Tirmidhiy, Abuu Daawuwd, Ibn Maajah) isipokuwa An-Nasaaiy, na akaisahihisha Abuw ‘Awaanah, Ibn Hibbaan na Al-Haakim] </span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">836.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَنَّ رَسُولَ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ قَالَ: {لَا تُنْكَحُ اَلْأَيِّمُ حَتَّى تُسْتَأْمَرَ، وَلَا تُنْكَحُ اَلْبِكْرُ حَتَّى تُسْـتَأْذَنَ" قَالُوا : يَا رَسُولَ اَللَّهِ، وَكَيْفَ إِذْنُهَا ؟ قَالَ: " أَنْ تَسْكُتَ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Abuu Hurayrah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Asiolewe mke mkuu mpaka atakwe amri, wala asiolewe mwanamwali mpaka atakwe idhini.<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn15" id="_ftnref15" name="_ftnref15" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[15]</span></a> Maswahaba wakasema: Ee Rasuli wa Allaah! Ni vipi idhini yake (huyo mwali)? Akasema: Ni kunyamaza.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">837.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ اِبْنِ عَبَّاسٍ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">أَنَّ اَلنَّبِيَّ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ </span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">قَالَ {اَلثَّيِّبُ أَحَقُّ بِنَفْسِهَا مِنْ وَلِيِّهَا ، وَالْبِكْرُ تُسْتَأْمَرُ ، وَإِذْنُهَا سُكُوتُهَا} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ مُسْلِمٌ</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَفِي لَفْظٍ:<span style="color: blue;">{لَيْسَ لِلْوَلِيِّ مَعَ اَلثَّيِّبِ أَمْرٌ، وَالْيَتِيمَةُ تُسْتَأْمَرُ} </span>رَوَاهُ أَبُو دَاوُدَ، وَالنَّسَائِيُّ، وَصَحَّحَهُ اِبْنُ حِبَّانَ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mke mkuu ana haki zaidi kwa nafsi yake kuliko walii wake,<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn16" id="_ftnref16" name="_ftnref16" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[16]</span></a> na mwanamwali hutakwa idhini, na idhini yake ni kunyamaza.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Katika tamshi lingine inasema: <span style="color: blue;">“Walii hana amri kwa mke mkuu. Yatima huombwa idhini.”</span> [Imetolewa na Abuu Daawuwd na An-Nasaaiy na akaisahihisha Ibn Hibbaan]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">838.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {لَا تُزَوِّجُ اَلْمَرْأَةُ اَلْمَرْأَةَ، وَلَا تُزَوِّجُ اَلْمَرْأَةُ نَفْسَهَا}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> رَوَاهُ اِبْنُ مَاجَهْ، وَاَلدَّارَقُطْنِيُّ، وَرِجَالُهُ ثِقَاتٌ </span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Abuu Hurayrah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mwanamke hamuozeshi mwanamke, wala mwanamke hajiozeshi mwenyewe.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn17" id="_ftnref17" name="_ftnref17" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[17]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ibn Maajah na Ad-Daaraqutwniy na wapokezi wake ni madhubuti]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">839.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ نَافِعٍ ، عَنْ اِبْنِ عُمَرَ قَالَ:{نَهَى رَسُولُ اَللَّهِ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">عَنِ الشِّغَارِ، وَالشِّغَارُ: أَنْ يُزَوِّجَ اَلرَّجُلُ اِبْنَتَهُ عَلَى أَنْ يُزَوِّجَهُ اَلْآخَرُ اِبْنَتَهُ، وَلَيْسَ بَيْنَهُمَا صَدَاقٌ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَاتَّفَقَا مِنْ وَجْهٍ آخَرَ عَلَى أَنَّ تَفْسِيرَ اَلشِّغَارِ مِنْ كَلَامِ نَافِعٍ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Naafi’ naye kutoka kwa Ibn ‘Umar </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amekataza ndoa ya Ash-Shighaar. Ash-Shighaar ni mtu kumuoza binti yake ili yule mwingine naye amuoze binti yake bila mahari baina yao.”</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> [Al-Bukhaariy, Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Wameafikiana (Al-Bukhaariy na Muslim) wa njia nyingine kuwa tafsiri ya Ash-Shighaar iliyoelezwa ni maneno ya Naafi’]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">840.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا{أَنَّ جَارِيَةً بِكْرًا أَتَتِ النَّبِيَّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ فَذَكَرَتْ: أَنَّ أَبَاهَا زَوَّجَهَا وَهِيَ كَارِهَةٌ، فَخَيَّرَهَا اَلنَّبِيُّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَأَبُو دَاوُدَ، وَابْنُ مَاجَهْ، وَأُعِلَّ بِالْإِرْسَالِ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Kuna binti mmoja bikra (mwanamwali) alimuendea Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> akamueleza kuwa baba yake alimuozesha naye (binti huyo) akiwa amechukia. Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> akamkhiyarisha.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn18" id="_ftnref18" name="_ftnref18" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[18]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad, Abuu Daawuwd na Ibn Maajah na imedhoofishwa kwa kuwa ni Mursal]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">841.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ اَلْحَسَنِ، عَنْ سَمُرَةَ، عَنِ اَلنَّبِيِّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ قَالَ: {أَيُّمَا اِمْرَأَةٍ زَوَّجَهَا وَلِيَّانِ، فَهِيَ لِلْأَوَّلِ مِنْهُمَا} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَالْأَرْبَعَةُ، وَحَسَّنَهُ اَلتِّرْمِذِيُّ </span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Hasan naye kutoka kwa Samurah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mwanamke yeyote aliyeozeshwa na mawalii wawili, basi yeye ni mke wa mume aliyeozeshwa na walii wa kwanza.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn19" id="_ftnref19" name="_ftnref19" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[19]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad na Al-Arba’ah (At-Tirmidhiy, An-Nasaaiy, Abuu Daawuwd, Ibn Maajah) na akaisahihisha At-Tirmidhiy]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">842.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ جَابِرٍ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {أَيُّمَا عَبْدٍ تَزَوَّجَ بِغَيْرِ إِذْنِ مَوَالِيهِ أَوْ أَهْلِهِ، فَهُوَ عَاهِرٌ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَأَبُو دَاوُدَ، وَاَلتِّرْمِذِيُّ وَصَحَّحَهُ، وَكَذَلِكَ اِبْنُ حِبَّانَ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Jaabir </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mtumwa yeyote<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn20" id="_ftnref20" name="_ftnref20" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[20]</span></a> anayeoa bila idhini ya mabwana zake au jamaa zake huyo ni mzinifu.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad, Abuu Daawuwd na At-Tirmidhiy na ameisahihisha vile vile Ibn Hibbaan]</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">843.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَنَّ اَلنَّبِيَّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ قَالَ: {لَا يُجْمَعُ بَيْنَ اَلْمَرْأَةِ وَعَمَّتِهَا، وَلَا بَيْنَ اَلْمَرْأَةِ وَخَالَتِهَا}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ </span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Abuu Hurayrah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Asikusanye (asioe) mtu baina ya mwanamke na shangazi yake wala baina ya mwanamke na mama yake mdogo.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">844.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ عُثْمَانَ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَضِيَ اللهُ عَنْهُ </span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {لَا يَنْكِحُ اَلْمُحْرِمُ، وَلَا يُنْكَحُ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ مُسْلِمٌ . وَفِي رِوَايَةٍ لَهُ: <span style="color: blue;">{وَلَا يَخْطُبُ}</span></span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"></span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَزَادَ اِبْنُ حِبَّانَ: <span style="color: blue;">{وَلَا يُخْطَبُ عَلَيْهِ}</span></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Uthmaan </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mwenye kuhirimia<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn21" id="_ftnref21" name="_ftnref21" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[21]</span></a> haoi wala kuozesha.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Na katika Riwaayah nyingine: <span style="color: blue;">“…wala kuposa.”</span></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Na Ibn Hibbaan ameongeza: <span style="color: blue;">“…wala haposewi.”</span></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">845.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: {تَزَوَّجَ اَلنَّبِيُّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ مَيْمُونَةَ وَهُوَ مُحْرِمٌ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَلِمُسْلِمٍ: عَنْ مَيْمُونَةَ نَفْسِهَا <span style="color: blue;">{أَنَّ اَلنَّبِيَّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ تَزَوَّجَهَا وَهُوَ حَلَالٌ}</span></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Nabiy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> alimoa Maymuwnah hali ya kuwa amehirimia.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Na katika Riwaayah ya Muslim kutoka kwa Maymuwnah mwenyewe amesema kuwa<span style="color: blue;">: “Nabiy </span></span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> alimuoa hali ya kuwa ametoka kuhirimia.”</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">846.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ عُقْبَةَ بْنِ عَامِرٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {إِنَّ أَحَقَّ اَلشُّرُوطِ أَنْ يُوَفَّى بِهِ، مَا اِسْتَحْلَلْتُمْ بِهِ اَلْفُرُوجَ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ </span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Uqbah bin ‘Aamir </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Hakika masharti yalio na haki zaidi kutekelezwa<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn22" id="_ftnref22" name="_ftnref22" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[22]</span></a> ni yale mnayohalalishia tupu.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn23" id="_ftnref23" name="_ftnref23" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[23]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">847.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ سَلَمَةَ بْنِ الْأَكْوَعِ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: {رَخَّصَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ عَامَ أَوْطَاسٍ فِي اَلْمُتْعَةِ، ثَلَاثَةَ أَيَّامٍ، ثُمَّ نَهَى عَنْهَا} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ مُسْلِمٌ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Salamah bin Al-Akwa’ </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> aliruhusu mwaka wa Vita vya Awtwaas ndoa ya Mut’ah<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn24" id="_ftnref24" name="_ftnref24" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[24]</span></a> siku tatu kisha akaikataza.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Muslim]</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"></span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">848.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ عَلَيٍّ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: {نَهَى رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ عَنْ اَلْمُتْعَةِ عَامَ خَيْبَرَ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Aliy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amekataza ndoa ya Mut’ah mwaka wa Vita vya Khaybar.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">849.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعنْهُ أَنَّ رَسولَ الله صلى الله عليه وسلم {نَهَى عَنْ مُتْعَةِ النِّسَاءِ وَعَنْ أَكْلِ الْحُمُرِ الأَهْلِيَّةِ يَوْمَ خَيْبَرَ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> أخْرَجَهُ السَّبْعَةُ إلاَّ أبا داوُد</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Aliy </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema kuwa: “Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amekataza Mut’ah ya wanawake na kula nyama ya punda wa mjini siku ya vita vya Khaybar.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na As-Sab’ah (Al-Bukhaariy, Muslim, At-Tirmidhiy, An-Nasaaiy, Ibn Maajah, Ahmad) isipokuwa Abuu Daawuwd]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">850.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">عَنِ الرَّبِيعِ بْنِ سَبْرَةَ، عَنْ أَبِيهِ، رضي الله عنه أنَّ رَسولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قال:</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">{إنِّي كُنْت أَذِنْت لَكُمْ فِي الاِسْتِمْتَاعِ مِنَ النَّساء، وَإِنَّ اللَّهَ قَدْ حَرَّمَ ذلك إِلَى يَوْمِ الْقِيَامَةِ، فَمَنْ كَانَ عِنْدَهُ مِنْهُنَّ شَىْءٌ فَلْيُخَلِّ سَبِيلَهَا وَلاَ تَأْخُذُوا مِمَّا آتَيْتُمُوهُنَّ شَيْئًا} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">أخْرَجَهُ مُسْلِمٌ وَأَبُو دَاوُدَ وَالنَّسَائِيُّ و</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">اِبْنِ مَاجَهْ و أَحْمَدُ و</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">اِبْنُ حِبَّانَ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Ar-Rabiy’ bin Sabrah<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn25" id="_ftnref25" name="_ftnref25" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[25]</span></a> kutoka kwa baba yake amesema kuwa Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Nilikuwa nimewaruhusu ndoa ya Mut’ah ya wanawake, kwa hakika Allaah Ameiharamisha ndoa hiyo mpaka siku ya Qiyaamah. Ambaye ana mke wa mut’ah basi amuache aende zake wala msichukue chochote mlichowapa.” </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Muslim, Abuu Daawuwd, An-Nasaaiy, Ibn Maajah, Ahmad na Ibn Hibbaan]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">851.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنِ ابْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: {لَعَنَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ اَلْمُحَلِّلَ وَالْمُحَلَّلَ لَهُ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَالنَّسَائِيُّ، وَاَلتِّرْمِذِيُّ وَصَحَّحَهُ </span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَفِي اَلْبَابِ: عَنْ عَلِيٍّ أَخْرَجَهُ اَلْأَرْبَعَةُ إِلَّا النَّسَائِيَّ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Ibn Mas-‘uwd </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amemlaani mwenye kuhalalisha na mwenye kuhalalishwa.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn26" id="_ftnref26" name="_ftnref26" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[26]</span></a> ‘Mwenye kuhalalisha’ ni mtu kumuoa mwanamke aliyeachwa na mume mwingine talaka tatu kwa niyyah ya kumhalalishia yule mume wa kwanza baada ya yeye kumtaliki baada ya kujamiiana naye. </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad na An-Nasaaiy na At-Tirmidhiy</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">akaisahihisha]</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Katika mlango huu kuna Hadiyth iliyopokewa kutoka kwa ‘Aliy iliyopokewa na Maimaam wane (At-Tirmidhiy, Abuu Daawuwd, Ibn Maajah) isipokuwa An-Nasaaiy.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">852.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ {لَا يَنْكِحُ اَلزَّانِي اَلْمَجْلُودُ إِلَّا مِثْلَهُ} </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">رَوَاهُ أَحْمَدُ، وَأَبُو دَاوُدَ، وَرِجَالُهُ ثِقَاتٌ </span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa Abuu Hurayrah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mzinifu aliyepigwa mijeledi asioe isipokuwa mfano wake.”<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn27" id="_ftnref27" name="_ftnref27" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[27]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Imetolewa na Ahmad na Abuu Daawuwd na wapokezi wake ni waaminifu (madhubuti)</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">853.</span></div>
<div dir="RTL" style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; line-height: 43.3333px; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">وَعَنْ عَائِشَةَ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهَا، قَالَتْ: {طَلَّقَ رَجُلٌ اِمْرَأَتَهُ ثَلَاثًا، فَتَزَوَّجَهَا رَجُلٌ، ثُمَّ طَلَّقَهَا قَبْلَ أَنْ يَدْخُلَ بِهَا، فَأَرَادَ زَوْجُهَا أَنْ يَتَزَوَّجَهَا، فَسُئِلَ رَسُولُ اَللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ عَنْ ذَلِكَ، فَقَالَ: "لَا. حَتَّى يَذُوقَ اَلْآخَرُ مِنْ عُسَيْلَتِهَا مَا ذَاقَ اَلْأَوَّلُ}</span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;"> مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ، وَاللَّفْظُ لِمُسْلِمٍ</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">Kutoka kwa ‘Aaishah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(رَضِيَ اللَّهُ عَنْهَا)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> amesema: “Mtu mmoja alimtaliki mkewe mara tatu, yule mke akaolewa na mwanamme mwingine, kisha akamuacha kabla ya kumuingilia, yule mume wake wa kwanza akataka kumuoa, akamuuliza Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> kuhusu jambo hilo. Rasuli wa Allaah </span><span style="color: blue; font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 20pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="color: blue; font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;"> akasema: “Hapana mpaka mwingine aonje asali yake ile aliyoionja wa kwanza.” (yaani baada ya kuoa mpaka mujamiiane).<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftn28" id="_ftnref28" name="_ftnref28" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="color: blue; font-size: 13pt;">[28]</span></a> </span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 13pt;">[Al-Bukhaariy, Muslim na tamshi hili ni la Muslim]</span></div>
<div>
<br>
<hr style="border-color: gray; border-style: solid; height: 1px;">
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref1" id="_ftn1" name="_ftn1" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[1]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Hii ina maanisha ikiwa mmoja wenu ana uwezo na nguvu za kuoa (kimwili na kimali) na aoe. Wanazuoni wengine wanaona kuwa ni jambo la lazima na wengine wanaona ni jambo lenye kupendeza tu.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref2" id="_ftn2" name="_ftn2" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[2]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Hii ina maana kuzidisha sana katika ‘Ibaadah hakutakiwi. Jambo hilo linamfanya mtu kuchoka na kumfanya asiweze kutekeleza Swalaah za faradhi. Mtu anaweza kutoka katika Uislamu anapofikiria kuwa Swalaah zake anazoswali (na kuzidisha sana) ni bora kuliko Swalaah alizoswali Nabiy </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 16pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;">.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref3" id="_ftn3" name="_ftn3" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[3]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> At-Tabattul ina maana ya kutokuoa, mtu kudhani kuwa kuacha kwake kuoa ni aina ya ‘Ibaadah na kudhani kuwa kuoa kwake ni zuio la kufanya kwake ‘Ibaadah. Tabattul kwa Wanazuoni wote ni jambo lisilofaa na ni tendo lililoharamishwa. Hata hivyo, kutokuoa kwa sababu zisizozuilika ni jambo lingine kabisa.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref4" id="_ftn4" name="_ftn4" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[4]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Nabiy </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 16pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> amesema kuwa kuna mambo manne yanayomfanya na kumshawishi mtu kuoa. Katika mambo haya manne Muislamu anatakiwa achague mwanamke mwenye Dini. Ikiwa mwanamke ataolewa kwa sifa nyinginezo, kuna uwezekano wa mtu kupotoka na kuacha Dini. Sababu nyingine ya kuchagua Dini ni kuwa mwanamke huyo ndie mwalimu wa mwanzo kwa watoto, hivyo kwa Dini yake atawaongoza watoto katika njia iliyonyooka.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref5" id="_ftn5" name="_ftn5" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[5]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Maana ya neno hili: “Mikono yako itachafuka” Waarabu hulisema kwa njia ya kulaumu, wala siyo kwa kupendelea maana yake halisi ya kumtakia mtu shari. Maana ya Hadiyth hii ni kuwa: kwa kawaida watu huoa mwanamke mwenye sifa hizi nne, basi wewe fanya hima umuoe aliyeshika Dini.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref6" id="_ftn6" name="_ftn6" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[6]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Nabiy </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 16pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> alikuwa na tabia ya kuwaombea waliofunga ndoa kwa du’aa nzuri nzuri katika umoja wao, mapenzi na kuwaombea Baraka katika maisha yao.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref7" id="_ftn7" name="_ftn7" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[7]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Hizi ni zile sehemu zenye kuonekana kwa nje, kama vile; urefu, uso, mikono na mfano wa hayo.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref8" id="_ftn8" name="_ftn8" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[8]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Alikuwa miongoni mwa Maswahaba wa Answaar, ukoo wa Haarith. Alihudhuria vita vyote isipokuwa vita vya Tabuwk. Alisilimu kupitia kwa Musw’ab bin ‘Umayr. Alikufa akiwa na umri wa miaka 77 katika mwaka wa 43 Hijriyyah.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref9" id="_ftn9" name="_ftn9" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[9]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Katazo hili limewekwa ili ile posa ya kwanza ya nduguye ithibiti. Ikiwa msichana alishaposwa na mtu mwingine, mtu wa pili asipeleke posa. Hata hivyo ikiwa posa ya kwanza imekataliwa au kuvunjika, basi ni ruhusa posa nyingine iende.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref10" id="_ftn10" name="_ftn10" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[10]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Hadiyth hii inaweka wazi mambo mengi: Miongoni mwa hayo ni kufundisha Qur-aan kunaweza kuwa ndio mahari ya mtu. Kingine kilichowekwa wazi hapa ni kuwa kiwango cha mahari hakijawekwa. Watu wengine wanatoa dalili ya Hadiyth kuwa kiwango cha chini cha mahari ni Dirham kumi. Hili si sahihi na Hadiyth hiyo haina msingi huo.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref11" id="_ftn11" name="_ftn11" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[11]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Huyu ni ‘Aamir bin ‘Abdillaah bin Az-Zubayr bin Al-‘Awwaam Al-Asadi Al-Qurayshi Al-Madaniy. Alikuwa ni Taabi’ na alisikia Hadiyth kutoka kwa baba yake na wengineo. Alikuwa madhubuti na Mwenye taqwa alifariki mwaka wa 124 Hijriyyah.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref12" id="_ftn12" name="_ftn12" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[12]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Sherehe za harusi ni bora zitangazwe ili kuondoa fedheha ya aina yoyote na kadhalika kwa sababu zinginezo. Kuna njia nyingi za matangazo aina hii. Mashahidi katika tukio la ndoa ni matangazo vile. Kutangaza katika kadamnasi ya watu ni aina nyingine ya matangazo.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref13" id="_ftn13" name="_ftn13" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[13]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Hadiyth hii imetajwa na takriban Maswahaba thelathini wa Rasuli wa Allaah </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 16pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;">. Baadhi ya wapokezi wake ni thiqah (madhubuti). Walii (msimamizi) wa kwanza wa familia ni baba na babu, kisha kaka zake, baada ya hapo baba zake wadogo. Kama kuna rai tofauti kwa mawalii, yeyote aliye karibu zaidi, rai yake itafuatwa zaidi, ikiwa mawalii hao wanalingana kama vile makaka na baba wadogo, kinachofanyika ni mtawala aliyopo ndiye atakayekuwa msimamizi. Vile vile ikiwa kuna wasimamizi wawili wameozesha mwanamke mmoja sehemu mbili tofauti, ndoa ya kwanza iliyofungwa itakuwa ni sahihi na ya pili itakuwa si sahihi. Ikiwa mwanamke aliyeozwa anakubaliana na msimamizi mmoja na kutofautiana na mwingine, rai ya mwanamke itatangulizwa.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref14" id="_ftn14" name="_ftn14" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[14]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Yaani wale mawalii (wasimamizi wa mke) watakaposhindana wakamzuia mwanamke asiolewe, basi uwalii atakuwa nao sultani/mtawala.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref15" id="_ftn15" name="_ftn15" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[15]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Ridhaa ya mwanamke ni jambo la msingi katika ndoa. Ikiwa walii au hata baba anamuozesha binti yake bila ya ridhaa yake, binti ana haki ya kubatilisha ile ndoa na kukataa. Ayyim katika lugha ya kiarabu ni mwanamke aliyekwishawahi kuingiliwa, anaweza kuwa mjane au aliyeachwa. Mzinifu mwanamke ambaye hajaolewa ni Ayyim, lakini kulingana na Shariy’ah siyo Ayyim. Ayyim ni lazima athibitishe ndoa yake kwa kutamka, vinginevyo ndoa haitosihi. Ama bikra ambaye hajabaleghe, ridhaa yake siyo muhimu bali ni ruhusa ya walii wake.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref16" id="_ftn16" name="_ftn16" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[16]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Hii ina maana ya kuwa Ayyim hawezi kuozwa bila ya ridhaa yake, lakini haina maana kuwa anaweza kuolewa bila ya walii. Ikiwa kuna rai tofauti kati ya Ayyim na walii kuhusu mchumba wake na uchaguzi wa mwanamke ukawa ni kutoka katika jamaa zake wa karibu na hakuwa na uhusiano wowote nae mbaya, wakati huo walii atalazimishwa kukubaliana na Ayyim, kama walii hatokubali hilo mwanamke anaweza kuomba msaada wa mtawala wa kumuozesha. Dhul Arhaam (ndugu upande wa mama) hawezi kuwa walii.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref17" id="_ftn17" name="_ftn17" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[17]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Kuhusu ndoa mwanamke hawezi kuwa msimamizi au walii, hawezi kujioza wala hawezi kuozesha mwanamke mwingine.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref18" id="_ftn18" name="_ftn18" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[18]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Ina maana bila ridhaa ya mwanamke, awe bikra au mkuu (Ayyim), hawezi kuozwa, akiolewa bila ya ridhaa yake, ana haki ya kukataa na kuvunja, hata ikiwa ni baba yake au kaka yake ndiye msimamizi wa ndoa ile.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref19" id="_ftn19" name="_ftn19" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[19]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Ikiwa mawalii wawili wamemuozesha mwanamke kwa waume wawili basi ndoa itakayopita ni ya yule mume aliyoozeshwa na walii wa kwanza na ndoa ya pili itakuwa sio sahihi. Ama kama ndoa hizo zitakuwa zimefungwa kwa wakati mmoja, zote zitakuwa ni batili. Kuna rai mbalimbali katika hili.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref20" id="_ftn20" name="_ftn20" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[20]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Kwa ndoa ya mtumwa ni wajibu kupatikana radhi za bwana wake, bila ya ruhusa yake, ndoa haitafungwa. Ikiwa mtumwa hajui ukweli huu kuwa ruhusa ya bwana inatakiwa ni muhimu na akamuingilia mkewe, hatoadhibiwa kwa hilo, lakini kama alikuwa anajua basi ataadhibiwa.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref21" id="_ftn21" name="_ftn21" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[21]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Mtu akiwa katika hali ya Ihraam, kuoa au kuozesha hairuhusiwi. Hii ni kulingana na Wanazuoni takribani wote. Ama kuhusu Hadiyth iliyopokewa na Ibn ‘Abbaas </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 16pt;">(رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا)</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> sanad yake ni sahihi, lakini alikosea kusema kuwa Nabiy </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 16pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> alimuoa Maymuwnah alipokuwa katika Ihraam. Maymuwnah mwenyewe amethibitisha hili katika Hadiyth iliyofuatia.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref22" id="_ftn22" name="_ftn22" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[22]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Ina maana suala la mahari ni la msingi katika ndoa.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref23" id="_ftn23" name="_ftn23" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[23]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Maana ya Hadiyth hii ni kuwa masharti yaliyo na haki zaidi kutekelezwa ni masharti ya ndoa, bora yasipite mipaka, Al-Khatwaab amesema: ‘Masharti katika ndoa, yako tofauti, muna masharti yanayopasa kutimizwa kwa itifaki ya ‘Ulamaa, nayo ni Aliyoamrisha Allaah ya kushikamana kwa wema au kwa kuachana kwa ihsani, na kwa maana hii Ulamaa wengine wameisherehesha Hadiyth hii. Kuna na masharti yasiyofaa kutekelezwa aslan kama vile mwanamke kuweka sharti mke mwenza atalikiwe. Kuna masharti yaliyo na khitilafu miongoni mwa ‘Ulamaa, kama vile kushaurisha asimuolee mke mwingine’</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref24" id="_ftn24" name="_ftn24" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[24]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Mut’ah ni ndoa ya muda maalumu. Aina hii ya ndoa ilikuwepo katika zama za Jaahiliyyah. Kuna wakati Uislamu ulikataza na wakati uliruhusu kwa masharti maalumu, mwishowe ndoa hii iliharamishwa katika Hijjatul-Wada’ (Hijjah ya mwisho ya Nabiy </span><span style="font-family: "traditional arabic" , serif; font-size: 16pt;">(صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ)</span><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;">)</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref25" id="_ftn25" name="_ftn25" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[25]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Ar-Rabiy’ bin Sabrah bin Ma’bad Al-Juhani Al-Madaniy alikuwa ni mtu madhubuti kulingana na An-Nasaaiy na Al-‘Ajli.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref26" id="_ftn26" name="_ftn26" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[26]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Al-Muhallil “mwenye kuhalalisha” ni mtu kumuoa mwanamke aliyeachwa na mume mwingine talaka tatu kwa niyyah ya kumhalalishia yule mume wa kwanza baada na yeye kumtaliki baada ya kujamiana naye. Ndoa iliyosimama kwa malengo haya ni haramu, iwe ni kwa muda uliotajwa au isiwe hivyo.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref27" id="_ftn27" name="_ftn27" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[27]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Hii ina maana mwenye taqwa asimuoe mwanamke ambaye ameshatuhumiwa na kuthibitishwa kuwa ni mzinifu na vivyo hivyo mwanamke mwenye taqwa asiolewe na mwanamme mzinifu.</span></div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<br></div>
</div>
<div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
<a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9407#_ftnref28" id="_ftn28" name="_ftn28" style="color: #1487d4; text-decoration-line: none;" title=""><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"><span style="font-size: 12pt;">[28]</span></span></a><span style="font-family: "book antiqua" , serif; font-size: 12pt;"> Ina maana mwanamke aliyeachwa talaka tatu akiolewa na mtu mwingine na akawa keshaingiliwa na mume yule kisha mume akamuacha au akafariki hapo ndipo anaweza tena kuolewa na yule mume wake wa mwanzo. Kama hajakutana naye kimwili na mume wake wa pili hawezi kuolewa na yule mume wake wa mwanzo.</span></div>
</div>
</div>
<div style="font-family: "book antiqua" , serif "important"; font-size: 13pt; margin: 0px 0px 5px; text-align: justify;">
</div>
</div>
</div>
</div>
<span class="a2a_kit a2a_kit_size_32 a2a_target addtoany_list" id="" style="display: inline; line-height: 32px; touch-action: manipulation;"><br><br><a class="a2a_button_whatsapp" href="http://www.alhidaaya.com/#whatsapp" rel="nofollow noopener" style="color: rgb(20 , 135 , 212); cursor: pointer; display: inline-block; font-size: 32px; padding: 0px 4px; vertical-align: middle; visibility: hidden;" target="_blank"><span class="a2a_svg a2a_s__default a2a_s_whatsapp" style="background-color: rgb(18 , 175 , 10); background-repeat: repeat; border-radius: 4px; display: inline-block; float: none; height: 32px; line-height: 32px; opacity: 1; overflow: hidden; padding: 0px; vertical-align: middle; width: 32px;"><svg focusable="false" viewBox="0 0 32 32" xmlns="http://www.w3.org/2000/svg"><path clip-rule="evenodd" d="M16.21 4.41C9.973 4.41 4.917 9.465 4.917 15.7c0 2.134.592 4.13 1.62 5.832L4.5 27.59l6.25-2.002a11.241 11.241 0 0 0 5.46 1.404c6.234 0 11.29-5.055 11.29-11.29 0-6.237-5.056-11.292-11.29-11.292zm0 20.69c-1.91 0-3.69-.57-5.173-1.553l-3.61 1.156 1.173-3.49a9.345 9.345 0 0 1-1.79-5.512c0-5.18 4.217-9.4 9.4-9.4 5.183 0 9.397 4.22 9.397 9.4 0 5.188-4.214 9.4-9.398 9.4zm5.293-6.832c-.284-.155-1.673-.906-1.934-1.012-.265-.106-.455-.16-.658.12s-.78.91-.954 1.096c-.176.186-.345.203-.628.048-.282-.154-1.2-.494-2.264-1.517-.83-.795-1.373-1.76-1.53-2.055-.158-.295 0-.445.15-.584.134-.124.3-.326.45-.488.15-.163.203-.28.306-.47.104-.19.06-.36-.005-.506-.066-.147-.59-1.587-.81-2.173-.218-.586-.46-.498-.63-.505-.168-.007-.358-.038-.55-.045-.19-.007-.51.054-.78.332-.277.274-1.05.943-1.1 2.362-.055 1.418.926 2.826 1.064 3.023.137.2 1.874 3.272 4.76 4.537 2.888 1.264 2.9.878 3.43.85.53-.027 1.734-.633 2-1.297.266-.664.287-1.24.22-1.363-.07-.123-.26-.203-.54-.357z" fill-rule="evenodd" fill="#FFF"></path></svg></span><span class="a2a_label" style="border-radius: 4px; clip: rect(1px , 1px , 1px , 1px); display: inline-block; float: none; height: 32px; line-height: 32px; opacity: 1; overflow: hidden; position: absolute; vertical-align: middle; width: 32px;">WhatsApp</span></a></span><br>
<div class="book-navigation" id="book-navigation-9406">
<div class="page-links clearfix" style="border-bottom: 1px solid rgb(136 , 136 , 136); border-top: 1px solid rgb(136 , 136 , 136); padding: 0.5em; text-align: center;">
<a class="page-previous" href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/9406" style="color: rgb(20 , 135 , 212); display: block; float: left; text-align: left; width: 154.304px;" title="Go to previous page"><br></a></div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-64972313977531436352017-10-16T00:56:00.001+05:002017-10-16T00:56:56.053+05:00Sh Othman Maalim : Mambo Matatu ya Furaha na Huzuni.<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="344" src="https://www.youtube.com/embed/Ph4e_lmSs1E" width="459"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-38914042054506087992017-10-14T05:07:00.001+05:002017-10-14T05:07:43.318+05:00Hatari za simu za kisasa<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="344" src="https://www.youtube.com/embed/19NJvxeCOyg" width="459"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-66753552488461272016-05-17T13:31:00.001+05:002017-10-14T03:15:42.421+05:00Madhambi 7 yanayo angamiza<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<html>
<body>
<audio controls="">
<source src="https://archive.org/download/UlimiNaUtupu/Madhambi%207%20yanayo%20angamiza.mp3" type="audio/mpeg"></source>
</audio>
</body>
</html></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-4589749890387271842015-10-20T00:58:00.001+05:002015-10-20T00:58:02.360+05:00Fadhila Za Mwezi Wa Muharram<p dir=ltr>Imeandikwa na Alhidaaya</p>
<p dir=ltr>AlhamduliLLaah, Tunamshukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Kutufikisha tena katika mwaka mwengine mpya wa Kiislamu. Katika mwezi  wa Muharram, kuna fadhila zake maalumu juu ya kwamba ni sawa na miezi mitukufu mingineyo. Fadhila nyingi Muislamu anaweza kuzipata atakapotekeleza maamrisho ili aweze kujichumia thawabu nyingi. Mojawapo ni funga ya tarehe 9 na 10 Muharram zinazojulikana kamaTaasu'aa na 'Aashuraa.<b> </b>Hivyo ndugu Waislamu tusiache kufunga siku hizi mbili kwani thawabu zake ni kama ilivyotajwa katika mapokezi yafuatayo:</p>
<p dir=ltr> <b>قال النبي صلى الله عليه وسلم : (( صيام يوم عاشوراء ، إني أحتسب على الله أن</b><b> </b><b>يكفر السنة التي قبله)) </b><b>رواه مسلم</b></p>
<p dir=rtl>Kasema Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((Funga ya siku ya 'Aashuraa, nataraji kutoka kwa Allaah Ayafute madhambi ya mwaka uliotangulia)) [Muslim]</p>
<p dir=ltr>(soma maelezo chini kujua kwanini tufunge pia na tarehe 9 Muharram)</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Jumla ya miezi mitukufu ni minne na mwezi huu wa Muharram ndio mwezi wa kwanza unaoanza kuhesabika kama ni mwaka mpya.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b>((إِنَّ عِدَّةَ الشُّهُورِ عِندَ اللّهِ اثْنَا عَشَرَ شَهْرًا فِي</b><b> </b><b>كِتَابِ اللّهِ يَوْمَ خَلَق</b><b>السَّمَاوَات وَالأَرْضَ مِنْهَا أَرْبَعَةٌ</b><b> </b><b>حُرُمٌ ذَلِكَ الدِّينُ الْقَيِّمُ فَلاَ تَظْلِمُواْ فِيهِنَّ</b><b>أَنفُسَكُمْ))</b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>((Idadi ya miezi (ya mwaka mmoja) mbele ya Allaah ni miezi kumi na mbili katika ilimu ya Allaah (Mwenyewe tangu) siku Alipoumba mbingu na ardhi. Katika hiyo imo minne iliyo mitukufu kabisa (nayo ni Rajab, Dhul-Qa'adah, Dhul-Hijjah na Muharram) (kufanya) hivi ndiyo dini iliyo sawa. Basi msijidhulumu nafsi zenu (kwa kufanya maasi) katika (miezi) hiyo)) [At-Tawbah 9:36]</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Na Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema katika Hadiyth iliyotoka kwa Abu Bakr (Radhiya Allaahu 'anhu):   </p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b> </b><b>(السنة اثنا عشر شهرا، منها أربعة حرم: ثلاث متواليات، ذو القعدة، وذو الحجة، والمحرم، ورجب مضر الذي بين جمادى وشعبان)) </b><b>رواه البخاري، ومسلم</b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>((Mwaka una miezi kumi na mbili, minne miongoni ya hiyo ni mitukufu, mitatu inafuatana pamoja; Dhul-Qa'adah, Dhul-Hijjah na Muharram na Rajab ambao uko baina ya (mwezi wa) Jumaada na Sha'abaan)) [Al-Bukhaariy na Muslim]</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Ni neema kutoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala)   Kutujuaalia kuwa na miezi iliyo bora kuliko miezi mingine au masiku bora au masaa bora kuliko mengine, ambazo thawabu za mema yanayotendeka humo huwa ni zaidi ya nyakati nyingine.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b>Kuhesabika</b><b> Kwa </b><b>Mwaka</b><b> </b><b>Mpya</b><b> Wa </b><b>Hijriyah</b><b> </b><br>
 </p>
<p dir=ltr>Miaka yetu ya Kiislam imeanza kuhesabika baada ya kuhama (Hijrah) kwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Maswahaba kutoka Makkah kuhamia Madiynah. Baada ya kuhama, 'Umar (Radhiya Allaahu 'anhu) akatoa shauri kuwa kwa vile ni mara ya mwanzo wanahamia katika mji ambao wataanza kutumia Sharia'h ya Kiislam, basi ni bora kuanza kuhesabu miaka kwa kuanzia mwezi huo waliohama, nao ni mwezi uliojulikana kamaMuharram. Na pia inasemekana kuwa 'Umar (Radhiya Allaahu 'anhu) alikuwa akipata barua kutoka kwa mabalozi wake wa nchi mbalimbali zilizokuwa chini ya Uislam, na zilikuwa zikiandikwa majina ya miezi bila tarehe. Akawashauri Maswahaba wenzake kuwa kuwe na tarehe. Wako waliopendekeza tarehe zianze kwa kufuata miaka ya kirumi, na wako waliopendekeza zianze kwa miaka ya kifursi. Mwishowe wakakubaliana ianze pale alipohamia Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) Madiynah.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Na mwaka huu wa Kiislam ambao unafupishwa kama A.H au H kwa kirefu yenye maana <i>'After </i><i>Hijrah'</i>au<i> </i><i>Hijriyah</i>, tarehe 1 Muharram A.H ilikuwa ni sawa na tarehe 16 Julai 622M. Na ndivyo hivi inavyohesabika mpaka mwezi wa Dhul-Hijjah unapomalizika na mwezi wa Muharram utakapoingia hivi karibuni</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b>Fadhila</b><b> Za </b><b>Mwezi</b><b> </b><b>Huu</b><b> </b><b>Khaswa</b></p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Ingawa miezi minne yote iliyotajwa katika Aayah ya juu ni mitukufu lakini mwezi huu wa Muharram umefadhilishwa zaidi ya miezi mingine kama ilivyo katika Hadiyth zifuatazo:</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b> عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ</b><b>((أَفْضَلُ الصِّيَامِ بَعْدَ رَمَضَانَ شَهْرُ اللَّهِ الْمُحَرَّمُ )) </b><b>رواه</b><b> </b><b>مسلم</b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>Imepokelewa na Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu 'anhu) kasema; Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Funga bora kabisa baada ya Ramadhaan ni funga ya mwezi wa Allaah wa Muharram)) [Muslim]</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b> </b><b>عَنْ ابْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اللَّهُ</b><b> </b><b>عَنْهُمَا قَالَ : "مَا رَأَيْتُ النَّبِيَّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ يَتَحَرَّى صِيَامَ يَوْمٍ فَضَّلَهُ عَلَى غَيْرِهِ إِلّا هَذَا</b><b> </b><b>الْيَوْمَ يَوْمَ عَاشُورَاءَ وَهَذَا الشَّهْرَ يَعْنِي شَهْرَ رَمَضَنِان</b><b> " </b><b>رواه البخاري</b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>Imepokelewa na Ibn 'Abbaas (Radhiya Allaahu 'anhuma) ambaye amesema: "Sijapata kumuona Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akisubiri kufunga siku yoyotekama siku hii ya siku ya 'Aashuraa na mwezi huu yaani mwezi wa Ramadhaan" [Al-Bukhaariy]  </p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b>Swawm</b><b> ya '</b><b>Ashuraa</b><b> </b><b>imependezeshwa</b><b> </b><b>hata</b><b> kwa </b><b>watoto</b><b> </b><b>kuifunga</b> kamawalivyokuwa wakifanya Maswahaba katika siku hiyo.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b>عن الرُّبيّع بنت معوذ رضي الله عنها قالت: "أرسل رسول الله صلى الله عليه وسلم غداة عاشوراء إلى قرى الأنصار</b><b> </b><b> "من أصبح مفطرا فليتم بقية يومه ومن أصبح صائما فليصم" ، قالت : فكنا نصومه بعد ونصوّمه صبياننا </b><b>...  رواه البخاري ومسلم</b><b> </b><b> </b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>Kutoka kwa Ar-Rubay'i  bint Mu'awwadh (Radhiya Allaahu 'anhaa) amesema: "Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alituma ujumbe Alfajiri ya siku ya 'Ashuraa katika vijiji vya Answaar "Aliyeamka akiwa amefuturu amalize siku yake (kwa kutokula) na aliyeamka amefunga afunge" Akasema (Ar-Rubay'i: 'Tulikuwa tukifunga baada yake na tukiwafungisha watoto wetu...'[Al-Bukhaariy na Muslim]</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b>Sababu</b><b> Ya </b><b>Kufunga</b><b> </b><b>Siku</b><b> Ya '</b><b>Aashuraa</b><b>  </b><br>
 </p>
<p dir=ltr> <b>عَنْ ابْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: " قَدِمَ النَّبِيُّ</b><b> </b><b>صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ الْمَدِينَةَ فَرَأَى الْيَهُودَ تَصُومُ</b><b> </b><b>يَوْمَ عَاشُورَاءَ فَقَالَ: ((مَا هَذَا)) قَالُوا هَذَا يَوْمٌ صَالِحٌ هَذَا</b><b> </b><b>يَوْمٌ نَجَّى اللَّهُ بَنِي إِسْرَائِيلَ مِنْ عَدُوِّهِمْ فَصَامَهُ مُوسَى، قَالَ: (( فَأَنَا أَحَقُّ بِمُوسَى مِنْكُمْ)) فَصَامَهُ وَأَمَرَ بِصِيَامِهِ"</b><b> </b><b>  </b><b>رواه البخاري</b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>Imepokelewa na Ibn 'Abbaas (Radhiya Allaahu 'anhuma) kasema "Alielekea Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) Madiynah akawaona Mayahudi wanafunga siku ya 'Aashuraa, akasema: ((Nini hii?)) (yaani kwa nini mnafunga?) Wakasema hii ni siku njema, hii ni siku Allaah Aliyowaokoa Wana wa Israili kutokana na adui wao, na Muusa alifunga siku hii. Akasema (Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((Mimi nina haki zaidi juu ya Muusa kuliko nyinyi)). Akafunga siku hiyo na akaamrisha ifungwe" [Al-Bukhaariy]    </p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Lakini Mtume wetu (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ametufundisha kuwa tukhitilafiane na Mayahudi kufunga siku hiyo kwa kuongeza siku moja kabla.    </p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b>روى عَبْدَ اللَّهِ بْنَ عَبَّاسٍ</b><b> </b><b>رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قال : "حِينَ صَامَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ</b><b> </b><b>عَلَيْهِ وَسَلَّمَ يَوْمَ عَاشُورَاءَ وَأَمَرَ بِصِيَامِهِ قَالُوا يَا</b><b> </b><b>رَسُولَ اللَّهِ إِنَّهُ يَوْمٌ تُعَظِّمُهُ الْيَهُودُ وَالنَّصَارَى</b><b> </b><b>فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: ((فَإِذَا كَانَ</b><b> </b><b>الْعَامُ الْمُقْبِلُ إِنْ شَاءَ اللَّهُ صُمْنَا الْيَوْمَ التَّاسِعَ)) قَالَ</b><b> </b><b>فَلَمْ يَأْتِ الْعَامُ الْمُقْبِلُ حَتَّى تُوُفِّيَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى</b><b>اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ ". </b><b>رواه مسلم </b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>Imepokelewa na Ibn 'Abbaas (Radhiya Allaahu 'anhuma) kasema "Alipofunga Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) siku ya 'Aashuraa na akaamrisha ifungwe wakasema: Ewe Mtume wa Allaah, hii ni siku wanayoitukuza Mayahudi na Manaswara.  Akasema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((Ikifika mwakani In shaa Allaah tutafunga siku ya tisa pia)). Akasema (Ibn 'Abbaas) haukufika mwaka uliofuata ila alifariki Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)[Muslim]</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Kwa hiyo ni bora kufunga siku ya tisa na kumi Muharram, na kama mtu hakujaaliwa kufunga siku ya tisa na kumi, basi afunge siku ya kumi peke yake ili asikose kupata fadhila ya siku hiyo. </p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Kwa vile siku hii ni siku Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Aliyomnusuru Muusa ('Alayhis-Salaam) na Wana wa Israaiyli, na sisi pia tutakaofunga tuwe na tegemeo kuwa nasi Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Atatunusuru pia kutokana maadui wetu na mabaya kamaAlivyotuahidi In shaa Allaah     </p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr> <b>((إِنَّا لَنَنصُرُ رُسُلَنَا وَالَّذِينَ آمَنُوا فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَيَوْمَ يَقُومُ الْأَشْهَادُ))</b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>((Bila ya shaka Sisi Tunawanasuru Mitume Yetu na wale walioamini katika maisha ya dunia ya siku watakaposimama mashahidi (kushuhudia amali za viumbe)) [Ghaafir 40: 51]</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Juu ya kwamba fadhila ya kufunga Swawm ni ibada Aipendayo kabisa Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) kamailivyo katika Hadiyth mbali mbali, vilevile funga hii itatusafisha na madhambi ya mwaka mzima,       </p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b> </b><b>قال النبي صلى الله عليه وسلم : (( صيام يوم عاشوراء ، إني أحتسب على الله أن</b><b> </b><b>يكفر السنة التي قبله))</b><b>رواه مسلم</b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>Kasema Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((Funga ya siku ya 'Aashuraa, nataraji kutoka kwa Allaah Ayafute madhambi ya mwaka wa nyuma)) [Muslim]</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Ndugu Waislam, hii ni fursa kubwa ya kujisafisha na dhambi na kuzidisha taqwa (ucha Mungu) ili kujibebea zawadi nyingi twende nazo Akhera kwa vile  hatujui  amali njema zipi zitakazokubaliwa na Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) na hatujijui kama tutakuwa na umri wa  kuchuma zaidi.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b>Bid'ah</b><b> Katika </b><b>Siku</b><b> Ya '</b><b>Aashuraa</b><b>  </b><b> </b><br>
 </p>
<p dir=ltr>Katika mwezi huu wa Muharram, tarehe kumi ambayo ni siku ya 'Ashuraa, tunawaona baadhi ya watu wakifanya maandamano na kuvaa nguo nyeusi wakidai ni nguo za msiba, na huku wakijipiga vifua kwa ngumi na wengine kujikata kwa visu, kujipiga kwa minyororo na damu kuwamwagika, wakidai wanaomboleza kifo cha mjukuu wa Mtume, Al-Husayn (Allaah Amrehemu). Matendo hayo ni mambo ambayo hayakubaliki kisheria na wanachuoni wote wa Kiislam wanapinga na kulaani anayefanya hivyo kwani ni kinyume na mafundisho ya Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam).   </p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Amesema Ibn Taymiyyah (Allaah Amrehemu):</p>
<p dir=ltr>"Bid'ah zinazofanyika katika siku hii ni kuwa baadhi ya watu wameitenga na kuifanya kuwa ni siku ya huzuni kwa kuuliwa Al-Husayn (Radhiya Allaahu 'anhu) na kujipiga, kulia  wakati Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) aliharamisha kamailivyo katika Hadiyth hii  sahihi:</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr><b> </b><b>عن عبد الله بن مسعود رضي الله عنه قال : قال النبي صلى الله عليه وسلم: ((ليس منا من لطم الخدود وشق الجيوب ودعا بدعوى الجاهلية))</b><b> البخاري</b><b> .</b></p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>Imetoka kwa Ibn Mas'uud (Radhiya Allaahu 'anhu) amesema: Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema ((Sio miongoni mwetu atakayejipiga mashavuni na kuchanachana nguo na kupiga mayowe ya kijahiliya)) [Al-Bukhaariy]</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Na haitoshi hayo wayafanyao, bali wanatukana na kuwalaani Maswahaba wa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) katika siku hiyo."</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Ibn Rajab amesema:</p>
<p dir=ltr>"Wanayoyafanya Ma-Rafidhah (Mashia) katika siku hii kuwa ni siku ya huzuni kwa ajili ya kuuliwa Al-Husayn (Radhiya Allaahu 'anhu) ni amali ambazo anazopoteza mtu katika uhai wake akadhani kuwa wanafanya amali njema, wala hakuamrisha Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kufanya siku za misiba na vifo vya Mitume kuwa ni siku za huzuni, sasa vipi iwe siku ya huzuni kwa wasio Mitume?"</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Tunamuomba Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Atujaalie katika wale ambao husikiliza kauli wakafuata zile zilizo njema.  Aamiyn.</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-24864531380407613842015-09-26T13:27:00.003+05:002017-10-14T03:16:46.163+05:00Jirani ni pepo au moto
<!DOCTYPE html>
<html>
<body>
<audio controls>
<source src="https://archive.org/download/UlimiNaUtupu/Jirani%20ni%20pepo%20au%20moto.mp3" type="audio/mpeg">
</audio>
</body>
</html>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-89610779852162691122015-09-07T23:40:00.001+05:002015-09-07T23:53:37.052+05:00Adhkaar za Jioni<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr">
<span style="color: blue;">Audhubillahi mina shaitani rajim</span><br />
<div style="text-align: right;">
<br /></div>
</div>
<div dir="ltr">
<div style="text-align: right;">
اللَّهُ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ الْحَيُّ الْقَيُّومُ ۚ لَا تَأْخُذُهُ سِنَةٌ وَلَا نَوْمٌ ۚ لَّهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ مَن ذَا الَّذِي يَشْفَعُ عِندَهُ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ ۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ ۚ وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ</div>
</div>
<div dir="ltr">
<div style="text-align: right;">
<br /></div>
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.<br />
<br /></div>
<div dir="ltr">
Mwenye kusoma (Ayatul-Kursiy) pindi anapoamka atalindwa kutokana na majini mpaka jioni, na atakaeisoma jioni atalindwa nayo mpaka asubuhi.<br />
<br /></div>
<div dir="ltr">
بسم الله الرحمن الرحيم<br />
<br /></div>
<div dir="rtl">
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema Mwenye Kurehemu</div>
<div dir="ltr">
<br />
<div style="text-align: right;">
قل هو الله أحد* الله الصمد* لم يلد ولم يولد* ولم يكن له كفوا أحد</div>
</div>
<div dir="rtl">
<br />
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.<br />
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.<br />
Hakuzaa wala hakuzaliwa.<br />
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.</div>
<div dir="ltr">
<br />
بسم الله الرحمن الرحيم<br />
<br /></div>
<div dir="rtl">
<br />
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema Mwenye Kurehemu</div>
<div dir="ltr">
<br />
<div style="text-align: right;">
قل أعوذ برب الفلق* من شر ما خلق* ومن شر غاسق إذا وقب* ومن شر النفاثات في العقد* ومن شر حاسد إذا حسد</div>
</div>
<div dir="rtl">
<br />
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,<br />
Na shari ya alivyo viumba,<br />
Na shari ya giza la usiku liingiapo,<br />
Na shari ya wanao pulizia mafundoni,<br />
Na shari ya hasidi anapo husudu.</div>
<div dir="ltr">
<br />
بسم الله الرحمن الرحيم</div>
<div dir="rtl">
<br />
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema Mwenye Kurehemu</div>
<div dir="ltr">
<br />
<div style="text-align: right;">
قل أعوذ برب الناس* ملك الناس* إله الناس* من شر الوسواس الخناس* الذي يوسوس في صدور الناس* من الجنة و الناس</div>
</div>
<div dir="ltr">
<div style="text-align: right;">
<br /></div>
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,<br />
Mfalme wa wanaadamu,<br />
Mungu wa wanaadamu,<br />
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,<br />
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,<br />
Kutokana na majini na wanaadamu.</div>
<div dir="ltr">
(Mara tatu tatu)<br />
<br /></div>
<div dir="ltr">
(Mwenye kusisoma (sura hizi) mara tatu asubuhi na jioni zinamtosheleza na kila kitu.<br />
<div style="text-align: right;">
<br /></div>
</div>
<div dir="ltr">
<div style="text-align: right;">
أَمْسَيْـنا وَأَمْسـى المـلكُ لله وَالحَمدُ لله ، لا إلهَ إلاّ اللّهُ وَحدَهُ لا شَريكَ لهُ، لهُ المُـلكُ ولهُ الحَمْـد، وهُوَ على كلّ شَيءٍ قدير ، رَبِّ أسْـأَلُـكَ خَـيرَ ما في هـذهِ اللَّـيْلَةِ وَخَـيرَ ما بَعْـدَهـا ، وَأَعـوذُ بِكَ مِنْ شَـرِّ هـذهِ اللَّـيْلةِ وَشَرِّ ما بَعْـدَهـا ، رَبِّ أَعـوذُبِكَ مِنَ الْكَسَـلِ وَسـوءِ الْكِـبَر ،</div>
<div style="text-align: right;">
رَبِّ أَعـوذُبِكَ مِنْ عَـذابٍ في النّـارِ وَعَـذابٍ في القَـبْر</div>
<div style="text-align: right;">
<br /></div>
</div>
<div dir="rtl">
“Tumeingia jioni na imefika jioni na Ufalme ni wa Mwenyezi Mungu , na sifa njema ni zake Mwenyezi Mungu , hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki, ila Mwenyezi Mungu , hali yakuwa peke yake, hana mshirika. Niwake Ufalme, na nizake sifa njema, na yeye juu ya kila kitu ni muweza, Ewe mola, nakuomba kheri ya usiku wa leo, na kheri ya baada ya usiku wa leo, na ninajilinda Kwako kutokana na shari ya usiku wa leo na shari ya baada ya usiku huu. Ewe Mola, najilinda Kwako, kutokana na uvivu, na ubaya wa uzee (uzee ubaya) Ewe mola najilinda Kwako kutokana na adhabu<br />
ya moto na adhabu ya kaburi”</div>
<div dir="ltr">
<br />
<div style="text-align: right;">
اللّهُـمَّ بِكَ أَمْسَـينا، وَبِكَ أَصْـبَحْنا، وَبِكَ نَحْـيا، وَبِكَ نَمـوتُ وَإِلَـيْكَ المَصـير</div>
<br /></div>
<div dir="rtl">
“Ewe Mwenyezi Mungu kwa ajili yako tumefika jioni, na kwa ajili yako tumefika asubuhi, na kwa<br />
ajili yako tuko hai na kwa ajili yako tutakufa na ni kwako tu marejeo.</div>
<div dir="ltr">
<div style="text-align: right;">
<br /></div>
<div style="text-align: right;">
اللّهـمَّ أَنْتَ رَبِّـي لا إلهَ إلاّ أَنْتَ ، خَلَقْتَنـي وَأَنا عَبْـدُك ، وَأَنا عَلـى عَهْـدِكَ وَوَعْـدِكَ ما اسْتَـطَعْـت ، أَعـوذُبِكَ مِنْ شَـرِّ ما صَنَـعْت ، أَبـوءُ لَـكَ بِنِعْـمَتِـكَ عَلَـيَّ وَأَبـوءُ بِذَنْـبي فَاغْفـِرْ لي فَإِنَّـهُ لا يَغْـفِرُ الذُّنـوبَ إِلاّ أَنْتَ</div>
<br /></div>
<div dir="rtl">
“Ewe Mwenyezi Mungu Wewe ni Mola wangu, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, umeniumba mimi na mimi ni mja wako, nami niko juu ya ahadi yako, na agano lako, kiasi cha uwezo wangu, najilinda kwako kutokana na shari ya nilicho kifanya, nakiri kwako kwa kunineemesha, na<br />
nakiri kwa madhambi yangu, basi nakuomba unisamehe kwani hasamehe madhambi ila Wewe”</div>
<div dir="ltr">
<div style="text-align: right;">
<br /></div>
<div style="text-align: right;">
اللّهُـمَّ إِنِّـي أَمسيتْ أَُشْـهِدُك ، وَأُشْـهِدُ حَمَلَـةَ عَـرْشِـك ، وَمَلائِكَتِك ، وَجَمـيعَ خَلْـقِك ، أَنَّـكَ أَنْـتَ اللهُ لا إلهَ إلاّ أَنْـتَ وَحْـدَكَ لا شَريكَ لَـك ، وَأَنَّ ُ مُحَمّـداً عَبْـدُكَ وَرَسـولُـك</div>
<div style="text-align: right;">
<br /></div>
</div>
<div dir="rtl">
“Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi nimefika jioni nakushuhudia na nina washuhudia wabeba wa<br />
arshi yako na malaika wako, na viumbe vyako vyote kwamba Wewe ndiye Mwenyezi Mungu hapana apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, hali ya kuwa peke yako huna mshirika, na kwamba Muhammad ni mja wako na ni Mtume wako”<br />
<br />
(Utasema hivi mara nne) </div>
<div dir="ltr">
<br />
Atakaye yasema haya asubuhi au jioni mara nne Mwenyezi Mungu سبحانه وتعالى atamuepusha na moto.<br />
<br /></div>
<div dir="ltr">
<div style="text-align: right;">
اللّهُـمَّ ما أَمسي بي مِـنْ نِعْـمَةٍ أَو بِأَحَـدٍ مِـنْ خَلْـقِك ، فَمِـنْكَ وَحْـدَكَ لا شريكَ لَـك ، فَلَـكَ الْحَمْـدُ وَلَـكَ الشُّكْـر</div>
<br /></div>
<div dir="rtl">
“Ewe Mwenyezi Mungu sikufika jioni na neema yoyote au kati ya kiumbe chako chochote, na neema ila inatoka kwako hali ya kuwa peke yako huna mshirika wako, ni zako sifa njema na nizako shukurani”</div>
<div dir="ltr">
Atakae yasema haya kila asubuhi basi atakuwa ametekeleza shukurani ya siku nzima, na atakae yasema jioni atakuwa ametekeleza shukurani ya usiku mzima</div>
<div dir="ltr">
اللّهُـمَّ عافِـني في بَدَنـي ، اللّهُـمَّ عافِـني في سَمْـعي ، اللّهُـمَّ عافِـني في بَصَـري ، لا إلهَ إلاّ أَنْـتَ <br />
اللّهُـمَّ إِنّـي أَعـوذُبِكَ مِنَ الْكُـفر ، وَالفَـقْر ، وَأَعـوذُبِكَ مِنْ عَذابِ القَـبْر ، لا إلهَ إلاّ أَنْـتَ </div>
<div dir="rtl">
“Ewe Mwenyezi Mungu nipe afya ya mwili wangu, Ewe Mwenyezi Mungu nipe afya ya usikizi wangu, Ewe Mwenyezi Mungu nipe afya ya uwoni wangu,hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe”</div>
<div dir="ltr">
“Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najilinda kwako kutokana na ukafiri, na ufakiri, na najilinda kwako kutokana na adhabu ya kaburi, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe” (mara tatu )</div>
<div dir="ltr">
حَسْبِـيَ اللّهُ لا إلهَ إلاّ هُوَ عَلَـيهِ تَوَكَّـلتُ وَهُوَ رَبُّ العَرْشِ العَظـيم</div>
<div dir="rtl">
“Mwenyezi Mungu ananitosha, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Yeye, kwake Yeye nimetegemea, na Yeye ni Mola wa Arshi Tukufu”<br />
(mara saba)</div>
<div dir="ltr">
اللّهُـمَّ إِنِّـي أسْـأَلُـكَ العَـفْوَ وَالعـافِـيةَ في الدُّنْـيا وَالآخِـرَة ، اللّهُـمَّ إِنِّـي أسْـأَلُـكَ العَـفْوَ وَالعـافِـيةَ في ديني وَدُنْـيايَ وَأهْـلي وَمالـي ، اللّهُـمَّ اسْتُـرْ عـوْراتي وَآمِـنْ رَوْعاتـي ، اللّهُـمَّ احْفَظْـني مِن بَـينِ يَدَيَّ وَمِن خَلْفـي وَعَن يَمـيني وَعَن شِمـالي ، وَمِن فَوْقـي ، وَأَعـوذُ بِعَظَمَـتِكَ أَن أُغْـتالَ مِن تَحْتـي</div>
<div dir="rtl">
“Ewe Mwenyezi Mungu nakuomba msamaha na afya duniani na akhera. Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi nakuomba msamaha na afya katika dini yangu na dunia yangu na jamaa zangu, na mali yangu, Ewe Mwenyezi Mungu nisitiri uchi wangu, na unitulize khofu yangu, Ewe Mwenyezi Mungu nihifadhi mbele yangu, na nyuma yangu, na kulia kwangu, na kushoto kwangu, najuu yangu, na najilinda kwa utukufu wako kwakutekwa chini yangu”</div>
<div dir="ltr">
اللّهُـمَّ عالِـمَ الغَـيْبِ وَالشّـهادَةِ فاطِـرَ السّماواتِ وَالأرْضِ رَبَّ كـلِّ شَـيءٍ وَمَليـكَه ، أَشْهَـدُ أَنْ لا إِلـهَ إِلاّ أَنْت ، أَعـوذُ بِكَ مِن شَـرِّ نَفْسـي وَمِن شَـرِّ الشَّيْـطانِ وَشِـرْكِه ، وَأَنْ أَقْتَـرِفَ عَلـى نَفْسـي سوءاً أَوْ أَجُـرَّهُ إِلـى مُسْـلِم</div>
<div dir="rtl">
“Ewe Mwenyezi Mungu , Mjuzi wa yaliyofichika na yaliyowazi, muumba wa mbingu na ardhi, Mola wa kila kitu, na Mfalme wake, nakiri kwamba hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, najilinda kwako kutokana na shari ya nafsi yangu na shari ya shetani na shirki yake na kujichumia uovu kwa nafsi yangu au kumletea Muislamu”</div>
<div dir="ltr">
بِسـمِ اللهِ الذي لا يَضُـرُّ مَعَ اسمِـهِ شَيءٌ في الأرْضِ وَلا في السّمـاءِ وَهـوَ السّمـيعُ العَلـيم</div>
<div dir="rtl">
“Kwa jina la Mwenyezi Mungu ambae hakidhuru kwa jina lake kitu chochote kile kilicho ardhini, wala mbinguni, nae ni Msikivu na ni Mjuzi"<br />
(mara tatu )</div>
<div dir="ltr">
رَضيـتُ بِاللهِ رَبَّـاً وَبِالإسْلامِ ديـناً وَبِمُحَـمَّدٍ صََلى الله عليه وسلم نَبِيّـا</div>
<div dir="rtl">
“Nimeridhika kuwa Mwenyezi Mungu ndie Mola wangu, na Uislamu ndio dini yangu, na Muhammad صََلى الله عليه وسلم kuwa ni Mtume wangu”<br />
(mara tatu)</div>
<div dir="ltr">
يا حَـيُّ يا قَيّـومُ بِـرَحْمَـتِكِ أَسْتَـغـيث ، أَصْلِـحْ لي شَـأْنـي كُلَّـه ، وَلا تَكِلـني إِلى نَفْـسي طَـرْفَةَ عَـين</div>
<div dir="rtl">
“Ewe Uliyehai, Uliyesimama kwa dhati yako, kwa rehema zako ninakuomba uniokoe, nitengenezee mambo yangu yote, wala usiniachie mambo yangu mwenyewe (pasina kunisaidia) hata kwa muda (mdogo kama muda) wa kupepesa jicho”</div>
<div dir="ltr">
أَمْسَيْـنا وَأَمْسـى المُـلكُ للهِ رَبِّ العـالَمـين ، اللّهُـمَّ إِنِّـي أسْـأَلُـكَ خَـيْرَ هـذهِ اللَّـيْلَة ، فَتْحَهـا ، وَنَصْـرَهـا ، وَنـورَهـا وَبَـرَكَتَـهـا ، وَهُـداهـا ، وَأَعـوذُ بِـكَ مِـنْ شَـرِّ ما فـيهـاِ وَشَـرِّ ما بَعْـدَهـا</div>
<div dir="rtl">
“Tumeingia jioni na imefika jioni na Ufalme ni wa Mwenyezi Mungu, Mola wa viumbe vyote, Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi nakuomba kheri ya usiku huu, ufunguzi wake na nusura yake, na nuru yake na baraka yake, na uongofu wake, na najilinda kwako kutokana na shari ya kilicho ndani ya usiku huu, na shari ya baada ya usiku huu”</div>
<div dir="ltr">
أَمْسَيْنا علـى فِطْـرَةِ الإسْلام ، وَعَلـى كَلِـمَةِ الإخْـلاص ، وَعلـى دينِ نَبِـيِّنا مُحَـمَّدٍ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّم وَعَاـى مِلَّـةِ أبينـا إِبْـراهيـمَ حَنيـفاً مُسْلِـماً وَمـا كـانَ مِنَ المُشـرِكيـن</div>
<div dir="ltr">
“Tumeingia jioni na maumbile ya kiislamu na neno la ikhlasi na dini ya Mtume wetu Muhammad صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّم na mila (dini) ya baba yetu Ibrahim iliyo sawa hali yakuwa musilamu wala hakuwa ni mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu “</div>
<div dir="ltr">
سُبْحـانَ اللهِ وَبِحَمْـدِه</div>
<div dir="rtl">
“Ametakasika Mwenyezi Mungu na sifa njema zote nizake”<br />
(mara mia moja)</div>
<div dir="ltr">
لا إلهَ إلاّ اللّهُ وحْـدَهُ لا شَـريكَ لهُ، لهُ المُـلْكُ ولهُ الحَمْـد، وهُوَ على كُلّ شَيءٍ قَدير</div>
<div dir="ltr">
“Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu peke yake, hana mshirika wake, niwake Ufalme, na nizake sifa njema zote na Yeye juu ya kila kitu ni Muweza”<br />
(mara kumi, au mara moja ukisikia uvivu)</div>
<div dir="ltr">
اللّهُـمَّ إِنِّـي أَسْأَلُـكَ عِلْمـاً نافِعـاً وَرِزْقـاً طَيِّـباً ، وَعَمَـلاً مُتَقَـبَّلاً</div>
<div dir="ltr">
“Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba elimu yenye kunufaisha, na riziki iliyo nzuri, na ibada yenye kukubaliwa”</div>
<div dir="ltr">
أَسْتَغْفِرُ الَّلهَ وَ أَتُوبُ إِلَيْه</div>
<div dir="rtl">
“Namuomba msamaha Mwenyezi Mungu na ninarejea Kwake”<br />
(mara mia kwa siku )</div>
<div dir="ltr">
Alikuwa Mtume صلى الله عليه وسلم akisema asubuhi na jioni :</div>
<div dir="ltr">
أَعُوْذُ بِكَلِماتِ اللَّهِ التَّامَّتِ مِنْ شَرِّ مَا خَلَق</div>
<div dir="rtl">
“Najilinda na maneno ya Mwenyezi Mungu yaliyotimia kutokana na shari aliyoiumba”<br />
(mara tatu)</div>
<div dir="ltr">
Mwenye kuisema jioni mara tatu hatodhuriwa na mdudu wa sumu (kama nyoka au kitumbo-nge) usiku huo .</div>
<div dir="ltr">
اللّهُـمَّ صَلِّ عَلـى مُحمَّـدٍ وَعَلـى أَزْواجِـهِ وَذُرِّيَّـتِه، كَمـا صَلَّيْـتَ عَلـى آلِ إبْراهـيم . وَبارِكْ عَلـى مُحمَّـدٍ وَعَلـى أَزْواجِـهِ وَذُرِّيَّـتِه، كَمـا بارِكْتَ عَلـى آلِ إبْراهـيم . إِنَّكَ حَمـيدٌ مَجـيد</div>
<div dir="ltr">
“Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad, na wake zake, na kizazi chake, kama ulivyowarehemu jamaa wa Ibrahim. Na mbariki Muhammad, na wake zake, na kizazi chake, kama ulivyowabariki jamaa zake Ibrahim, hakika Wewe Umesifika na Umetukuka”</div>
<div dir="ltr">
…."Mwenye kuniombea rehema asubuhi mara kumi na jioni mara kumi, nitamuombea shifaa (msamaha) siku ya kiama "</div>
</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-81127179418230306592015-07-18T17:51:00.001+05:002015-07-18T17:53:59.281+05:00Sita Za Shawwaal Na Swawm Nyinginezo Baada Ya Ramadhan<p dir=ltr><br>
<b>Muhammad </b><b>Baawazir</b></p>
<p dir=ltr><b>  </b><br>
Ndugu Waislam, baada ya kuuaga mwezi mtukufu wa Ramadhwaan, ambao umejaa fadhila nyingi na kheri zisizopatikana katika miezi kumi na moja iliyobaki, kuna umuhimu mkubwa wa kuendeleza zoezi hili la Funga baada ya mwezi huu mtukufu hususan, na kwa mwaka mzima kwa ujumla In shaa Allaah.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Swawm kwa ujumla na Swawm za Sunnah haswa ni jambo kubwa sana la ki-'Ibaadah. Na ni bora sana ieleweke ndugu zangu, kuwa Swawm si 'Ibaadah ifanyikayo katika mwezi wa Ramadhwaan pekee, bali ni jambo ambalo linalofanyika mwaka mzima katika nyakati mbalimbali kama tutakavyoona katika makala haya.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Kama ilivyo katika ‘Ibaadah ya Swalah, kuna Swalah za Sunnah au Rawaatib au Nawaafil, ambazo ndizo zitakazokuwa viraka siku ya Qiyaamah wakati zile Swalah za Fardh zitakapopelea katika Mizani. Nazo Swawm za kujitolea au za Sunnah, ndizo zitakazomuongezea mja thawabu na ujira pamoja na ile Swawm yake ya Fardh ambayo ni Ramadhwaan.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Hapa chini tutaziorodhesha Swawm za SUNNAH ambazo Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kazipendekeza kwetu tuzitekeleze:</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>SWAWM YA SIKU SITA ZA MWEZI WA SHAWWAAL</p>
<p dir=ltr>Swawm hii inafuatia moja kwa moja baada ya mwezi wa Ramadhwaan na siku ya 'Iyd ul Fitr. Na Mtume(Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) anasema:</p>
<p dir=ltr>((من صام رمضان ثم أتبعه ستاً من شوال كان كصيام الدهر)) رواه مسلم و الترمذي و ابن ماجه, أبو داود وأحمد</p>
<p dir=rtl>((Atakayefunga mwezi wa Ramadhwaan, kisha akafuatia kwa kufunga siku sita za mwezi wa Shawwaal, basi atapata ujira wa aliyefunga mwaka mzima)).Imepokewa na ma-Imaam Muslim, At-Tirmidhiy, Ibn Maajah, Abu Daawuud na Ahmad.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>'Ulamaa wanachambua sababu ya kulipwa mja ujira wa mwaka mzima kwa atakayefunga Ramadhwaan na siku sita hizo za Shawwaal, kwa kusema: Jambo zuri hulipwa ujira mara kumi, kwa hiyo mtu akifunga siku 30 za Ramadhwaan atapata ujira mara kumi; nazo zitakuwa 300, ukijumlisha na siku sita za Shawwaal ambazo zikilipwa mara kumi, huwa 60. Kwa hivyo 300 + 60 = 360, mtu atapata hesabu ya mwaka mzima.</p>
<p dir=ltr>Kwa mantiki hii, tunaona kuna umuhimu na ubora mkubwa wa kuifunga Swawm hii ndugu zangu.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>SWAWM YA SIKU YA 'ARAFAH (Kwa wale wasio katika Hajj)</p>
<p dir=ltr>Hadiyth ifuatayo inaonyesha uzito na muhimu wa Swawm ya siku hiyo:</p>
<p dir=ltr>عنْ أَبي قتَادةَ رضِي اللَّه عَنْهُ ، قالَ:سئِل رسولُ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِوسَلَّم: عَنْ صَوْمِ يوْمِ عَرَفَةَ؟ قال:يكفِّرُ السَّنَةَ المَاضِيةَ وَالبَاقِيَةَ  رواه مسلمٌ</p>
<p dir=rtl>Imetoka kwa Abu Qataadah (Radhiya Allaahu 'anhu) kwamba aliulizwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kuhusu Swawm ya 'Arafah akasema ((Inafuta madhambi ya mwaka uliopita na mwaka uliopo)) [Imepokewa na Muslim].</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>SWAWM YA SIKU TATU KATIKA KILA MWEZI <i>'</i><i>AYAAMUL</i><i>-</i><i>BIYDHW</i><i>'</i></p>
<p dir=ltr>Imesimuliwa na Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu 'anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alisema:</p>
<p dir=ltr>((من صام ثلاثة أيام من كل شهر فذلك صوم الدهر فأنزل الله عز وجل تصديق ذلك في كتابه {من جاء بالحسنة فله عشر أمثالها} فاليوم بعشرة أيام)) رواه الترمذي قال الشيخ الألباني : صحيح</p>
<p dir=rtl>((Yeyote atakayefunga kila mwezi siku tatu,ni sawa amefunga mwaka mzima, kisha Allaah Akashusha Aayah ithibitishayo maneno ya Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) isemayo: {{Atakayetenda jambo zuri basi malipo yake ni mara kumi mfano wake}}. Siku moja kwa malipo ya siku kumi))[Imepokewa na At-Tirmidhiy na kasema Shaykh Al-Albaaniy kuwa ni Sahihi].</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Ukiitazama Hadiyth hii, utakuta makusudio yaliyotajwa kuwa malipo ya Funga hiyo ya siku tatu za kila mwezi, ni sawa na ya mwaka mzima, ni kuwa, ukipiga hesabu ya hizo siku tatu za kila mwezi, mara miezi kumi na mbili ya mwaka, ni sawa na siku 36. Na siku hizo 36 mara 10 ambazo ndizo malipo ya kila siku kwa mara kumi, basi utapata jumla ya siku 360 ambazo ni takriban idadi ya mwaka mzima wa Kiislam. Fadhila zilizoje na Ujira mrahisi kiasi gani wa kuuchuma ndugu watukufu.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Masiku haya matatu, Masiku Meupe <i>''</i><i>Ayaamul</i><i>-</i><i>Biydhw</i><i>''</i>, yametajwa katika Hadiyth ifuatayo:</p>
<p dir=ltr>Abu Dharr Al-Ghifaariy anasimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alimwambia:  </p>
<p dir=ltr>((يا أبا ذر إذا صمت من الشهر ثلاثة أيام فصم ثلاث عشرة وأربع عشرة  وخمس عشرة)) رواهالترمذي. قال الشيخ الألباني: حسن صحيح  </p>
<p dir=rtl>((Ee Abu Dharr! Endapo utafunga siku tatu za kila mwezi, basi funga siku ya 13, ya 14, na ya 15)) (Hizi huitwa <i>'</i><i>Ayaam</i><i> </i><i>ul</i><i> </i><i>Biydhw</i><i>'</i> Masiku Meupe kwa sababu katika masiku hayo kunakuwa kweupe zaidi kwa mwanga wa mbalamwezi). [Imepokewa na At-Tirmidhiy na kasema Shaykh Al-Albaaniy kuwa ni Sahihi].</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>SWAWM YA JUMATATU NA ALKHAMIYS</p>
<p dir=ltr>عن أبي هريرة  رضي الله عنه قال: كان رسول الله صلى الله عليه وسلم يصوم الإثنين والخميس وعندما سئل قال: (( تُعْرَضُ الْأَعْمَالُ يَوْمَ الِاثْنَيْنِ وَالْخَمِيسِ فَأُحِبُّ  أَنْ يُعْرَضَ عَمَلِي وَأَنَا صَائِمٌ }))  رواه الترمذي وقال حديث حسن</p>
<p dir=rtl>Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu 'anhu) anasimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akifunga Jumatatu na Alkhamiys. Alipoulizwa sababu ya Swawm katika siku hizo, akajibu: ((Matendo ya Wanaadam huwekwa mbele ya Allaah kila siku ya Jumatatu na Alkhamiys, nami napenda matendo yangu yawekwe mbele ya Allaah nikiwa nimefunga)). [Imepokewa At-Tirmidhiy na kasema ni Hadiyth Hasan].</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>SWAWM YA SIKU YA <i>TAASU'AA</i>NA <i>'</i><i>AASHURAA</i></p>
<p dir=ltr>Hizi ni Swawm za siku ya tisa na ya kumi ya mwezi wa Muharram (Mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiislam). Hizi ni Swawm kwa kumbukumbu na kumshukuru Allaah (Subhaanahu Wa Ta'aalaa) kwa kumuokoa Nabii Muwsaa (‘Alayhis-Salaam) pamoja na watu wake, kutokana na balaa la Fir’awn na jeshi lake.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>SWAWM NYINGINEZO</p>
<p dir=ltr>Swawm katika mwezi wa Muharram zina fadhila nyingi kama Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alivyomwelezea Abu Hurayrah. pia Swawm katika mwezi wa Sha'abaan, ambapo mama wa waumini 'Aaishah (Radhiya Allaahu 'anha) anasema kuwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akikithirisha sana kufunga.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>NIYYAH</p>
<p dir=ltr>Swawm kama amali zingine, ni lazima kuwepo na Niyyah ndani yake. Niyyah pahala pake ni moyoni, na si kutamka, ukishapitisha uamuzi wa kufunga, basi hiyo yatosha na si kukariri maneno au kutafuta mtu akufundishe namna ya kuitamka Niyyah kwa Kiarabu au vinginevyo kama wanavyodhania baadhi ya watu.</p>
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Wa Allaahu A’lam</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-91987852208513274382014-10-06T21:35:00.001+05:002014-10-06T21:38:47.177+05:00Faida za asali<p dir="ltr"><br>
<img src="http://tollyzkitchen.files.wordpress.com/2013/03/250px-runny_hunny.jpg?w=584"><a href="http://tollyzkitchen.files.wordpress.com/2013/03/250px-runny_hunny.jpg"></a></p>
<p dir="ltr">Asali ni chakula kitamu. kinachotengenezwa na nyuki kwa kukusanya nectar kutoka kwenye mauwa.Asali inaweza kaa miaka mingi sana bila kuharibika,asilimi kubwa ya wadudu waaribifu hawawezi kukua ndani ya asali kwani inakiasi kidogo sana cha maji yaani 0.6(WATER ACTIVITY).Tone lolote la maji au mate linapoingia kwenye asali huongeza uwezakano wa kuaribika kwa asali hiyo na kufupisha maisha ya asali.Kwa ufupi naweza sema maji ni adui mkubwa wa asali.<br></p>
<p dir="ltr">Aina na ubora wa asali hutofautiana kutokana na aina ya nyuki walioitengeneza asali hiyo pomoja na aina ya maua ambayo nyuki wamenyonya nectar yake,rangi za asali pia hutofautiana kwa misingi hiyo hiyo.</p>
<p dir="ltr"><img src="http://tollyzkitchen.files.wordpress.com/2013/03/honey-4.jpg?w=584"><a href="http://tollyzkitchen.files.wordpress.com/2013/03/honey-4.jpg"></a></p>
<p dir="ltr">Aina mbalimbali za asali.</p>
<p dir="ltr">Apa nchini Tanzania kuna aina kuu mbili za asali,asali ya nyuki wakubwa na asali ya nyuki wadogo.Asali ya nyuki wakubwa hupatikana kwa wingi zaidi kuliko ya nyuko wadogo,Lakini asali ya nyuki wadogo huuzwa bei ghali zaidi ya asali ya nyuki wakubwa kwani ilithibitika kwamba asali ya nyuki wadogo inatengenezwa kutoka kwenye nectar ya mauwa ambayo miti yake inausali wa dawa.Miti hiyo ni kama Mlonge,mwarubaini,rosella na mingine mingi.</p>
<p dir="ltr">Asali ni chakula kinachotumika kwa mambo mengi sana,unaweza itumia badala ya sukari kwenye vinywaji,kuipakaa kwenye mkate,na kuitumia kama kionjo kwenye vyakula mapishi mbali mbali,pia hutumika kutengeneza urembo wa aina mbalimbali kama mafuta na sabuni na vingine vingi,liakini zaidi ya yote asali hutumika kama dawa.</p>
<p dir="ltr">Ni vyema kujua kwamba asali mbichi(ambayo haijapitishwa kwenye moto)ni nzuri kuliko ile iliyopitishwa kwenye moto,Kwani pale asali inapopitishwa kwenye moto baadhi ya enzymes hufa na virutubisho vingine hupotea.Mara nyingi asali hupitishwa kwenye moto ili kuiyeyusha hasa pale inapotakiwa kuchujwa.</p>
<p dir="ltr"><b>ASALI</b><b> KAMA </b><b>DAWA</b></p>
<p dir="ltr">Asali kama dawa inaweza kutibu matatizo mbalimbali,kumbuka tu tunaongelea asali ambayo haijachanganywa na kitu chochote.</p>
<p dir="ltr"><b>For skin rashes, burns and abrasions</b>.<br>
Apply a small amount of raw honey lightly over the affected area; may cover with a dressing or a dusting of cornstarch to reduce any stickiness.</p>
<p dir="ltr"><b>The ultimate moisturizer.</b><br>
Smooth a small amount of raw honey lightly over the skin; easily remove later with splashes of cold water or comfortable warm water. Leaves skin baby soft.</p>
<p dir="ltr"><b>As a bath and antibacterial soap.</b><br>
Wash with raw honey straight from the jar and enjoy sparkling clean skin. Facial blemishes and acne caused by cosmetics or allergies will clear up quickly using a nightly treatment of RRH. A small amount needed.</p>
<p dir="ltr"><b>For hair and scalp treatment.</b><br>
Apply Really Raw Honey (with or without olive oil) to dry or damp hair about one half hour before washing–you’ll be amazed at your “crowning glory”.</p>
<p dir="ltr"><b>For dental care and mouth sores.</b><br>
Cleans teeth, mouth and dentures and stops bleeding gums. Canker sores, blisters and mouth ulcers respond to application of raw honey.</p>
<p dir="ltr"><b>An astounding natural preservative.</b><br>
Unprocessed honey found in ancient tombs was determined to be edible and was even used to preserve bodies. Keeps foods fresh and moist longer and retards spoilage.</p>
<p dir="ltr"><b>For healing ulcers and burns</b><br>
Also many years ago, a study by <b>Robert Bloomfield,</b> published in the <i>Journal of the American Medical Association</i>, reports “Applied every 2 to 3 days under a dry dressing, honey promotes healing of ulcers and burns better than any other local application. It can also be applied to other surface wounds, including cuts and abrasions…”</p>
<p dir="ltr"><b>Honey has anti-cancer properties.</b><br>
Recent studies by Gribel and Pashinskii indicated that honey possessed moderate antitumor and pronounced anti-metastatic effects in five different strains of rat and mouse tumors. Furthermore, honey potentiated the antitumor activity of chemotherapeutic drugs such as 5-fluorouracil and cyclophosphamide. — Gribel, N.V., and Pashinskii, V.G. <i>Antitumor properties of honey</i>. Vopr. Onkol., 36:704-709, 1990.</p>
<p dir="ltr">C.V. Rao at the American Health Foundation in Valhalla, New York found caffeic acids in propolis are inhibitors of colon cancers in animals. Other research shows hive products have the ability to prevent and halt the spread of malignant diseases. Earlier research by M.T. Huang also published in <i>Cancer Research </i>found caffeic acids effective in inhibiting skin cancer tumors in mice.</p>
<p dir="ltr"><b>Ushauri</b><br>
Ni vyema ukawa na asali nyumbani kwa ajili ya matumizimbalimbali.Kwa matumizi ya asali kama dawa,nashauri asali mbichi ya nyuki wadogo.Najua ni ngumu kujua kama asali mbichi au imepitishwa kwenye moto,Hivyo nashauri utumie asali ya FANO 2010.</p>
<p dir="ltr"><img src="http://tollyzkitchen.files.wordpress.com/2013/03/lulu.jpg?w=450&h=336"><a href="http://tollyzkitchen.files.wordpress.com/2013/03/lulu.jpg"></a></p>
<p dir="ltr">Asali za Fano 2010(Golden Lulu)</p>
<p dir="ltr">Asali za FANO 2010 zinapatika Thanks God supermarket,eneo la sinza madukani.nashauri asali hii kwani ndio asali ninayotumia na ninakuhakikishia kuwa ni asali mbichi,na zaidi ya yote niliwai tembelea workshop ya FANO 2010 na kuona jinsi wanavyochuja asali ,Ndio maana ninanguvu ya kushauri utumie asali hio</p>
<p dir="ltr"><img src="http://tollyzkitchen.files.wordpress.com/2013/03/mmmk.jpg?w=450&h=336"><a href="http://tollyzkitchen.files.wordpress.com/2013/03/mmmk.jpg"></a></p>
<p dir="ltr"><b>ONYO</b></p>
<p dir="ltr">Asali si nzuri kwa watoto wadogo wenye umri wa kati ya siku moja hadi miaka miwili,kwani wakati mwingine asali huwa na endospores wa bacterium clostridium botulinum.Endospores hizo zinaweza kubadilika kua aina ya bacteria wanatoa sumu.Bacteria hawa hushambulia utumbo mwembamba wa mtoto ambao haujakomaa na hivyo huweza msababishia mtoto kuumwa na hata kifo.</p>
<p dir="ltr">Akina mama msikose chupa ya asali jikoni,kwani ajali za kuungua ni kawaida jikoni na asali ni dawa nzuri sana,Ukiungua kitu cha kwanza kabisa pakaa asali nyingi kwenye eneo uliloungua..</p>
<p dir="ltr">Nimalizie kwa kusema.Asali ikichanganywa na dawa zingine za asili au viungo fulani pia huwa dawa ya magojwa mengi zaidi.Naamini makala hii imekufumbua macho na kukufanya uithamini asali</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-85184574077029680492014-09-26T14:25:00.001+05:002014-09-26T15:43:22.672+05:00Uzushi Wa Unoadaiwa Ni Fadhila Za Siku Kumi Za Dhul-Hijjah
<p dir="ltr"><br>
<b>SWALI</b><b>:</b> <br>
<br>
<i>Nimepokea</i><i> e-mail </i><i>iliyotumwa</i><i> </i><i>yenye</i><i> </i><i>kutaja</i><i> </i><i>fadhila</i><i> za </i><i>siku</i><i> </i><i>kumi</i><i> </i><i>kila</i><i> </i><i>siku</i><i> </i><i>kuwa</i><i> </i><i>ni</i><i> jambo </i><i>fulani</i><i> </i><i>limetokea</i><i> </i><i>na</i><i> </i><i>kadha</i><i> </i><i>kama</i><i> </i><i>inavyoeleza</i><i> </i><i>hapa</i><i> </i><i>chini</i><i>. </i><i>Je</i><i> </i><i>hii</i><i> </i><i>ipo</i><i> </i><i>dalili</i><i> </i><i>au</i><i> </i><i>ni</i><i> </i><i>katika</i><i> </i><i>uzushi</i><i>?</i><br>
<br>
<b>Siku</b><b> </b><b>Kumi</b><b> Bora</b></p>
<p dir="ltr">Mwenye-ezi mungu subhanahu wataala ameapa kwa masiku bora katika quraan takatifu sura 89 aya 1-2 isemayo : Mtume Muhammad ( S.A.W.) ametusimulia vilivyotendeka na umuhimu wa siku hizi kumi bora za mfungo tatu (DhulHijja); Rasula-llah atueleza sisi ummati wake kuwa, mwenye kufunga siku hizo hupata fadhla kubwa mno,kwani kila siku ina fadhila na kheri zake:<br></p>
<p dir="ltr"> <b>SIKU</b><b> YA KWANZA YA </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b> Mtume (S.A.W.) asema kuwa - "Ni siku ambayo Mwenye-ezi Mungu alimsamehe Nabii Adam (A.S.) kwa makosa yake".Mwenye kufunga siku hiyo, Mwenye-ezi Mungu humsamehe madhambi yake. <br>
<br>
<b>SIKU</b><b> YA </b><b>PILI</b><b> YA </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b>Mtume(S.A.W.)asema kuwa:-"Ni siku ambayo Mwenye-ezi Mungu alikubali maombi ya Nabii Yunus (A.S.) ya kumtoa katika matumbo ya samaki".Mwenye kufunga siku hiyo, ni kama aliyefanya ibada ya mwaka mzima pasi na kufanya makosa.</p>
<p dir="ltr"> <br>
<b>SIKU</b><b> YA TATA </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b> Mtume(S.A.W.)asema kuwa:-"Ni siku ambayo Mwenye-ezi Mungu aliitikia Dua ya Nabii Zakariya (A.S.) yakumpata mtoto".Mwenye kufunga siku hiyo, Mwenye-ezi Mungu huitikia dua yake.</p>
<p dir="ltr"> <br>
<b>SIKU</b><b> YA NNE YA </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b>Mtume(S.A.W.)asema kuwa:-"Ni siku ambayo alizaliwa Nabii Issa(A.S.)".Mwenye kufunga siku hiyo, Mwenye-ezi Mungu humuondolea matatizo na umasikini.<br></p>
<p dir="ltr"><b> </b><b>SIKU</b><b> YA </b><b>TANO</b><b> </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b> Mtume(S.A.W.)asema kuwa:-"Ni siku alizaliwa Nabii Musa(A.S) "Mwenye kufunga siku hiyo, Mwenye-ezi Mungu humtakasa na unafiki na humuondolea adhabu za kabori.<br></p>
<p dir="ltr"> <b>SIKU</b><b> YA </b><b>SITA</b><b> </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b> Mtume (S.A.W.)asema kuwa:-Ni siku ambayo Mwenye-ezi Mungu alimfungulia Mtume wake (Muhammed (S.A.W.) )kheri".Mwenye kufunga siko hiyo, Mwenye-ezi Mungu humuangalia kwa jicho la huruma wala hapati adhabu siku ya kiyama.</p>
<p dir="ltr"> <br>
<b> </b><b>SIKU</b><b> YA SABA YA </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b> Mtume asema kuwa:-"Ni siku ambayo Milango ya Jahannam(Moto)hufungwa na hayafunguliwi hadi masiku kumi yatimie".Mwenye kufunga Mwenye-ezi Mungu humfungia Milango thelathini ya mambo mazito na humfungulia Milango thelathini ya mambo mepesi.<br></p>
<p dir="ltr"> <b>SIKU</b><b> YA </b><b>NANE</b><b> YA </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b>Mtume(S.A.W.)asema kuwa:-"Ni siku iitwayo Tar-wiya".Mwenye kufunga hupewa malipo ambayo hakuna ayajuwaye isipokuwa Allah SWT.<br></p>
<p dir="ltr"> <b>SIKU</b><b> YA TISA YA </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b>Mtume(S.A.W.)asema kuwa:-"Ni siku iitwayo Arafat".Mwenye kufunga siku hiyo, hufutiwa makosa ya mwaka uliopita, na utakao kuja.<br></p>
<p dir="ltr"><b> </b><b>SIKU</b><b> YA </b><b>KUMI</b><b> YA </b><b>MFUNGO</b><b> </b><b>TATU</b>:- Mtume(S.A.W.)asema kuwa:-"Ni siku ya kuchinja Mnyama(itakuwa Iddi Kubwa), tone la kwanza la damu litakapo tona Mwenye-ezi Mungu humsamehe dhambi zake na za jamaa zake. Na mwenye kumpa chakula Masikini au akatowa sadaka siku hiyo, Myenye-ezi Mungu atamfufua siku ya Kiyama kwa amali na mizani ya uzito, thawabu zake zitashinda uzito wa Mlima Uhud".</p>
<p dir="ltr"> <br>
<b>PLEASE DO NOT FORGET TO ENLIGHTEN OTHER MUSLIMS BY FORWARDING THIS MAIL</b><br></p>
<p dir="ltr"> <br>
<br>
<br>
<b>JIBU</b> Kutoka alhidayah<br>
<br>
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wasallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu 'anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho</p>
<p dir="ltr"> </p>
<p dir="ltr">Tunasikitika kwamba siku hizi fitna za kusambaza uzushi zimezidi kutokana na wepesi wa mawasiliano kupitia barua pepe (e-mail), simu za mkononi n.k. Jambo linaloshangaza ni kwamba Hadiyth zilizo Sahihi zimejaa tele lakini hizo hazisambazwi kama zinavyosambazwa za uzushi. Ni dhahiri kwamba wanaofanya hivyo ima hawajui tofauti ya mafunzo sahihi na yale potofu ima kwa uchache wa elimu, au kwa pupa tu za kutafuta thawabu kwa njia za mkato ndiko kunakowasababisha wao kueneza haya mambo yasiyo na dalili wala asili. Lakini wanaghafilika ndugu hao kutambua madhara yanayopatikana kutokana na hayo wanayoyaeneza kila mara.</p>
<p dir="ltr">Moja ya madhara makuu ni kupoteza mafundisho sahihi ya Dini yetu, na kueneza ya uongo na hivyo kutawala upotofu katika jamii ya Kiislam, Kwani kama wanavyosema wema waliotangulia, kuwa, bid’ah inavyoenea, ndio Sunnah hupotea.</p>
<p dir="ltr">Tumepekuwa vitabu mbalimbali vya Hadiyth vikubwa na mashuhuri na hakuna hata sehemu moja tuliyokuta kuna Hadiyth inayotaja Fadhila za masiku kumi ya Dhul-Hijjah kwa mtindo huo na kwa maelezo hayo! Vilevile Maulamaa waliowahi kukumbana na maelezo hayo, wamesema kuwa ni ‘Mawdhuw’ – yaani ya kutungwa na si ya kweli.</p>
<p dir="ltr">Kuna hatari vilevile ya watu kutumbukia katika maonyo na makemeo aliyoyatoa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam):</p>
<p dir="ltr"><b>((من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار)) </b><b>متفق عليه</b></p>
<p dir="rtl">((Atakayeniongopea makusudi basi ajitayarishie makazi yake motoni)) [Al-Bukhaariy Na Muslim]<br></p>
<p dir="ltr">Ukiwa umeeneza mambo hayo na hali unajua kuwa si sahihi, basi tambua kuwa ushaingia katika walioelezwa ndani ya Hadiyth hiyo.</p>
<p dir="ltr"> </p>
<p dir="ltr">Na ikiwa una mazoea ya kueneza au kutuma kila unachopata ukidhani utapata thawabu kwa kufanya hivyo na hali huna uhakika nacho, au huna elimu ya jambo hilo kama ni sahihi au la, basi utakuwa pia una majukumu kwa kuwa Uislam umesisitiza sana elimu na umuhimu wa kuitafuta; hivyo kwanini ubakie katika ujinga na kutokufahamu unayotuma? Pia ikiwa hujui, ushaelezwa na Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) uulize wenye elimu na upambuzi, je, ulijaribu kufanya hayo kabla hujasambaza mambo hayo ya kutunga yenye kupotezea Waislam muda, juhudi, na hata ‘amali zao kwa kufanya yasiyo sahihi na yasiyo katika mafundisho ya Dini?</p>
<p dir="ltr"> </p>
<p dir="ltr">Na madhara mengine ni kwamba dhambi za mwenye kueneza uzushi huzidi kila uzushi unapozidi kusambaa na mwenye kuanza kueneza uzushi hubeba dhambi za kila mtu anayepokea na kujifunza uzushi huo:</p>
<p dir="ltr"><b> </b><b>عن أبي هريرة رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم أنه قال : ( من دعا إلى هدى كان له من الأجر من أجور من تبعه لا ينقص من أجورهم شيئاً ومن دعا إلى ضلالة كان عليه من الإثم مثل آثام من تبعه لا ينقص ذلك من آثامهم شيئاً) </b><b> </b><b> </b><b>رواه مسلم</b> <b> </b></p>
<p dir="rtl">Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kasema: ((Atakayelingania kwenye uongofu atapata thawabu (ujira) wa yule atakayemfuata bila ya kupungukiwa chochote katika thawabu zao. Na atakayeelekeza katika upotofu atapata dhambi mfano wa dhambi za yule atakayefuata bila ya kupungukiwa chochote katika dhambi zao)) [Muslim]</p>
<p dir="ltr">Tumefanya utafiti mkubwa kutafuta kauli kama hizo kuhakikisha kama ipo kauli ya Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) inayotaja fadhila za siku hizo kama zilivyotajwa humu lakini hatukupata. Mojawapo ya matokeo ya utafiti ni kupata fatwa kutoka kwa Maulamaa kutoka Markaz ya Fataawa walioulizwa kuhusu ujumbe huo nao pia wamehakikisha kuwa ni uzushi usio na dalili yoyote [Markaz al-Fataawa 24 Dhul-Hijjah 1424/16-02-2004].</p>
<p dir="ltr">Tunawanasihi ndugu zetu Waislamu wasome mada muhimu katika kiungo kifuatacho ili watambue hatari ya kueneza uzushi:</p>
<p dir="ltr"> <br>
<b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60">Hatari</a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60"> Ya </a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60">Kueneza</a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60"> </a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60">Hadiyth</a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60"> </a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60">Dhaifu</a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60"> </a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60">Na</a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60"> Visa </a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60">Vya</a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60"> </a></b><b><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/60">Uongo</a></b></p>
<p dir="ltr">Vilevile mtu anatakiwa asome mada hii hapa chini yenye kuhusu uzushi wenye kufanana na huo:</p>
<p dir="ltr"> </p>
<p dir="ltr"><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b>Uzushi</b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b> </b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b>Unaodaiwa</b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b> </b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b>Kuhusu</b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b> Mambo </b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b>Yaliyotokea</b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b> </b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b>Siku</b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b> Ya </b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b>Ashuraa</b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b> </b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b>Tarehe</b></a><a href="http://www.alhidaaya.com/sw/node/430"><b> 10</b></a></p>
<p dir="ltr"> </p>
<p dir="ltr">Jambo jingine muhimu tunalopenda kuwatanabahisha ni kuhusu jinsi hayo majina ya miezi ya Kiislam yanavyoitwa au yalivyozoeleka kuitwa kama tulivyoona kwenye huo ujumbe wa kutungwa kwa jina la mfungo mosi, mfungo pili, mfungo tatu n.k., hakika ni majina yaliyozoeleka lakini si sahihi kwani yanapoteza ufahamu wa majina sahihi na mpangilio wa hiyo miezi ya Kiislam. </p>
<p dir="ltr">Miezi ya Kiislam hujulikana mwezi wa kwanza kama ni Muharram lakini wao huo mwezi wa kwanza umeitwa ni mfungo nne, na mwezi wa Dhul-Hijjah ambao ni mwezi wa kumi na mbili, wao wanauita mfungo tatu! Hivyo Waislam wengi hudhani kuwa huu mwezi wa 12 wa Dhul-Hijjah tulionao sasa kuwa ni mwezi wa 3 badala ya 12. Kutoka katika mpango uliowekwa na Uislam na kufuata mipango na taratibu za kimila na kitamaduni, kunasababisha mafunzo ya Dini kutofahamika kamwe, au kusahaulika kabisa. Leo hii, Waislamu wengi Waswahili hawajui miezi ya Kiislam kwa majina yake ingawa wengi wanaijua hiyo ‘mifungo’. Huo ni ukweli wenye kusikitisha. Na wengi huita kalenda na tarehe za Kiislam kuwa ni tarehe za Kiarabu badala ya Kiislam; ilihali kuna tofauti kubwa kati ya Uislamu na Uarabu. Miezi ya Kiislam ni hiyo tuliyozungumzia hapo juu na tutaweka chini kabisa mpangilio wake wa majina ya miezi yote ya mwaka mzima. Kalenda au tarehe za kiarabu ni tofauti na za Kiislam na mtu akitaka kujua atazame magazeti ya Kiarabu ataona tofauti. Hivyo, Waislam wajizoeshe kuita tarehe za Kiislam au miezi ya Kiislam na si ya Kiarabu, maana kuna Wakristo Waarabu nao hawafuati kalenda yetu ya Kiislam.<br></p>
<p dir="ltr"><b>Miezi</b><b> Ya </b><b>Kiislam</b><b> (</b><b>Kila</b><b> </b><b>Muislam</b><b> </b><b>Ajitahidi</b><b> </b><b>Kuijua</b><b> </b><b>Na</b><b> </b><b>Kuihifadhi</b><b>)</b></p>
<p dir="ltr">1-<b> </b>Muharram<b> </b><b><font color="#339966">محرّم</font></b></p>
<p dir="ltr">2-<b> </b>Swafar<b> </b><b><font color="#339966">صفر</font></b></p>
<p dir="ltr">3- Rabiy’u al-Awwal<b> </b><font color="#339966"><b>ربيع الأو</b></font><b>ل</b></p>
<p dir="ltr">4-<b> </b>Rabiy’u ath-Thaaniy au Rabiy’u al-Aakhir<b><font color="#339966">ربيع الآخر </font></b><b><font color="#339966"> </font></b><b><font color="#339966">أو</font></b><b><font color="#339966"> </font></b><b><font color="#339966">ربيع الثاني</font></b></p>
<p dir="ltr">5-<b> </b>Jumaada al-Uwlaa<b> </b><b><font color="#339966">جمادى الأول</font></b></p>
<p dir="ltr">6- Jumaada ath-Thaaniy au Jumaada al-Aakhir<b> </b><b><font color="#339966">جمادى الآخر </font></b><b><font color="#339966"> </font></b><b><font color="#339966">أو</font></b><b><font color="#339966"> </font></b><b><font color="#339966">جمادى الثاني</font></b></p>
<p dir="ltr">7- Rajab<b> </b><b><font color="#339966">رجب</font></b></p>
<p dir="ltr">8- Sha’abaan<b> </b><b><font color="#339966">شعبان</font></b></p>
<p dir="ltr">9- Ramadhaan<b> </b><b><font color="#339966">رمضان</font></b></p>
<p dir="ltr">10- Shawwaal<b> </b><b><font color="#339966">شوّال</font></b><b><font color="#339966"> </font></b><b> </b></p>
<p dir="ltr">11- Dhul-Qa’adah<b> </b><b><font color="#339966">ذو</font></b><b><font color="#339966">القعدة</font></b></p>
<p dir="ltr">12- Dhul-Hijjah<b><b><b><b><b><b><b><b><b><b> </b></b></b></b></b></b></b></b></b></b><font color="#339966"><b><b><b><b><b><b><b><b><b><b><b><b><b>ذو</b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></font><b><font color="#339966"><b><b><b><b><b><b><b><b><b><b><b><b>الحجة</b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></font></b><br></p>
<p dir="ltr">Inasikitisha sana kuona Muislam</p>
<p dir="ltr"> kahifadhi miezi yote ya kikafiri, lakini hawezi kutaja hata miezi sita ya Kiislam. Sana sana utakuta Muislam anajua ile miezi ya karibu na Ramadhaan kama Rajab, Sha’abaan na pia labda mwezi huu wa Dhul-Hijjah na wengine huujua Rabiy’ul al-Awwal kwa sababu ya kusherekea tu Mawlid na huenda asijue kuwa ni Rabiy’u al-Awwal, bali atakuwa anaujua kwa jina la kijamii ‘Mfungo sita’! Huu ndio msiba tulionao Waislam, inatubidi tuamke hivi sasa na tuzindukane na usingizi wa miaka na miaka. Na silaha pekee ya kuzindukana na hayo, ni ELIMU SAHIHI ya Dini.</p>
<p dir="ltr">Pia tunawaomba ndugu zetu kwamba wanapopata jambo lenye shaka kwanza wawe wanahakikisha kabla ya kutuma kwa wenzao kwani tutambue kuwa Muislamu inapomfikia kauli inayodaiwa kuwa ni ya Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) basi imeshakuwa ni waajib kwake kuhakikisha. Akipata dalili ya usahihi wake atume kwa wenziwe kama tunavyoamrishwa kufikisha kwa wengine japo Aayah moja na kuamrishana mema na kukatazana maovu. Lakini ikiwa hakupata dalili yake ni bora kuacha kutuma kuliko kuleta madhara ya uzushi na kuzidisha ufisadi katika dini na jamii kwa ujumla kwa kupoteza mafunzo sahihi na kueneza mafunzo ya uzushi.<br></p>
<p dir="ltr"><b>Kidokezo</b><b> Cha </b><b>Kuweza</b><b> </b><b>Kutambua</b><b> </b><b>Hadiyth</b><b> </b><b>Zisizo</b><b> </b><b>Sahihi</b><b> </b><b>Au</b><b> </b><b>Ujumbe</b><b> Wa </b><b>Uongo</b><b>:</b></p>
<p dir="ltr">Ndugu Muislam, ukitaka kugundua haraka ujumbe ulioupata kwenye barua pepe (e-mail) au ujumbe kwenye simu za mkono, kwanza kitakachokujulisha kuwa ujumbe huo una utata na sio sahihi, ni kuwa, mara nyingi maelezo yaliyomo ndani ya ujumbe huo zikiwemo zinazosemwa ni Hadiyth, utakuta hazitajwi zilipotolewa, kama ni Hadiyth utaona haisemwi nani kasimulia, nani kapokea, kitabu gani, hakuna hata Imaam wa Hadiyth (Muhaddith) aliyetajwa kwenye Hadiyth hiyo n.k. Hayo yote yanatosha kumtia mashaka mtu kuhusiana na alichokipokea. Hivyo, endapo utapokea ujumbe au Hadiyth ambayo imekuja tu na kudaiwa kasema Mtume, bila kutajwa zaidi ya hivyo… basi mrudishie aliyekutumia na muombe akueleze Hadiyth hiyo iko kwenye kitabu kipi, na nani kaisimulia na kama ni sahihi au dhaifu. Usiwe na pupa ya kueneza au kusambaza kwa wengine hadi kwanza upate uhakika 100%. Vilevile unaweza kutuandikia <a href="mailto:maswali@alhidaaya.com"><b>maswali</b></a><a href="mailto:maswali@alhidaaya.com"><b>@</b></a><a href="mailto:maswali@alhidaaya.com"><b>alhidaaya.com</b></a>kuulizia masuala kama hayo na inshaAllaah tutakusaidia haraka katika masuala hayo.</p>
<p dir="ltr"> </p>
<p dir="ltr">Na Allaah Anajua zaidi</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-22335171314182636742014-09-08T09:55:00.001+05:002014-09-08T09:55:37.933+05:0017 Rules of Islamic Dream Interpretations<p dir=ltr><br>
Ibn Qutaybah ad-Dinawari رحمه الله says in his book about dream interpretations, “There is nothing in which people deal with from the different sciences that is more obscure, delicate, exalted, noble, difficult and problematic than dreams because they are a type of revelation and type of Prophethood.”</p>
<p dir=ltr>Narrated Anas bin Malik رضي الله عنهAllah’s Messenger صلى الله عليه و سلمsaid, “A good dream (that comes true) of a righteous man is one of forty-six parts of prophet hood.” [Sahih al-Bukhari]</p>
<p dir=ltr>Some scholars tried to give explanation to this ratio of 1:46. We have no way to find out that if their explanation is correct or not. Prophet hood of Prophet صلى الله عليه و سلم extended from 40 to 63 years meaning for 23 years. We know from Seerah that six months before becoming a Prophet, Messenger of Allah صلى الله عليه و سلمwas seeing dreams that would come out to be true on a very frequent basis so much so that he would see a dream one night and it would come to be true the next morning. So the ratio of 6 months to 23 years is 1:46.</p>
<p dir=ltr>1) There are 3 types of dreams: Imam at-Tirmidhi رحمه الله narrates from Muhammad Ibn Sirin رحمه الله who narrates from Abu Hurairah رضي الله تعالى عنه that Prophet صلى الله عليه وسلم said, “There are three types of dreams: 1) True Dreams 2) A dream in which a person is speaking to himself (i.e. whatever you were thinking about in the day time, you see at night) 3) A dream from shaytaan in which he wants to make you sad ”</p>
<p dir=ltr>In one hadith it is mentioned that one should stand up and pray and in another the he should not mention it to anyone.</p>
<p dir=ltr>Abu Salamah رضي الله عنه once said, “Sometimes I would see a dream that would be heavier on me than carrying a mountain. But since I heard this hadith I wouldn’t care about the bad dream I would see.”</p>
<p dir=ltr>Narrated Abu Sa‘id Al-Khudri رضي الله عنه: The Prophet صلى الله عليه و سلم said, “If anyone of you sees a dream that he likes, then it is from Allah, and he should thank Allah for it and narrate it to others; but if he sees something else, i.e., a dream that he dislikes, then it is from Satan, and he should seek refuge with Allah from its evil, and he should not mention it to anybody, for it will not harm him.” [Sahih Muslim]</p>
<p dir=ltr>Q1) A question arises, is every dream that a believer sees good?</p>
<p dir=ltr>A1) Al Muhallab رحمه الله says, “Most of the dreams of the righteous people are good dreams because sometimes a righteous person could see a dream that is meaningless but that is not very frequent because shaytaan’s control on them is very weak. And the opposite is true with other people because shaytaan has a stronger grasp over them. People are of the categories:</p>
<p dir=ltr>1) The Prophets: all of their dreams are truthful and but sometimes they need interpretation. The good dream is divided into 2 categories:<br>
a) Direct dream: something one would see in a dream and the exact scene repeats itself in day-time when you are awake and this dream does not need interpretation.<br>
b) A dream the comes in symbols and it needs to be interpreted.</p>
<p dir=ltr>2) The righteous: most of the time their dreams are truthful (most of them need to interpreted) and sometimes their dream are direct.</p>
<p dir=ltr>3) Rest of the people: most of their dreams are not true but some of them could be true.” [Fath al-Bari bi Sharh Sahih al-Bukhari]</p>
<p dir=ltr>2) Do not mention the dream for interpretation except to a scholar or a person who would advise you sincerely.</p>
<p dir=ltr>Prophet صلى الله عليه و سلم said, “You should not mention this dream to an envious person…”</p>
<p dir=ltr>There is also evidence for this in the Qur`an: (Remember) when Yûsuf (Joseph) saidto his father: “O my father! Verily, I saw (in a dream) eleven stars and the sun and the moon, I saw them prostrating themselves to me.” He (the father) said: “O my son! Relate not your vision to your brothers, lest they arrange a plot against you. Verily! Shaitân (Satan) is to man an open enemy! {Surat al-Yusuf, ayatyn 4-5}</p>
<p dir=ltr>3) Seeing Prophet صلى الله عليه و سلم:</p>
<p dir=ltr>Narrated Anas رضي الله عنه the Prophet صلى الله عليه و سلم said, “Whoever has seen me in a dream, then no doubt, he has seen me, for Satan cannot imitate my shape. [Sahih al-Bukhari]</p>
<p dir=ltr>Q2) There is an issue here, what if a person sees Prophet صلى الله عليه و سلم and he feels that it is him but his description in the dream if different than the one we know of from ahadith. So is the person in the dream Prophet صلى الله عليه و سلم?<br>
A2) Az-Zuhri رحمه الله says that Ibn Sirin رحمه الله said, “If you see him according to his description.” An-Nawawi رحمه الله, however, has a contrary view and he says, “As long as you felt in your dream that the person you saw was Prophet صلى الله عليه و سلم then it is him even if he comes in a different form.” Ibn Taymiyyah رضي الله عنه supports the view of Ibn Sirin رحمه الله</p>
<p dir=ltr>4) A repetition of a dream is a sign of its truth. It does not matter if the same person sees the dream more than once or more than one person.</p>
<p dir=ltr>‘AbduLlah ibn ‘Umar رضي الله عنهما reported that some people were shown the Night of Qadr as being in the last seven days (of the month of Ramadan). The Prophet صلى الله عليه و سلم said, “I see that your dreams strengthen each other that Night of Qadr is in the last seven nights of Ramadhan so whoever searches for it, would search for it in the last seven days (of Ramadan).” [Sahih al-Bukhari]</p>
<p dir=ltr>Also the dream about Adhan when 2 Sahabah ضي الله عنهما saw the same dream.</p>
<p dir=ltr>5) Q3) When is the most expected time to see a righteous dream? At night or day time? Are all the times equal (whether seen at the beginning of the night or end of the day)?</p>
<p dir=ltr>A3) Ibn Sirin رحمه الله said, “Dreams of day time are equal to the dreams of night.” [Sahih Muslim]</p>
<p dir=ltr>6) Ibn Battal رحمه الله said, “Dreams are of two types: a clear evident dream like somebody would dream about himself giving dates to someone and during the day time he would give somebody dates. This type of dream doesn’t need any interpretation. Secondly, a dream that comes in symbols and this type you would understand its meaning unless you get it interpreted by a person who has knowledge and experience dream interpretation because sometimes the symbols are very delicate and sophisticated.”</p>
<p dir=ltr>Like the dream Prophet صلى الله عليه و سلم saw in which he was drinking milk from a vessel and when some of it was remaining, he gave it ‘Umar رضي الله عنه. Prophet صلى الله عليه و سلم interpreted it as knowledge. This means that Prophet صلى الله عليه و سلم absorbed the knowledge and he mentions that the milk was so much that it started flowing beneath his nails. So he had so much knowledge in him, that it started flowing from him.</p>
<p dir=ltr>7) Dreams can be about the past or the present or the future.</p>
<p dir=ltr>8) True dreams increase towards the end of times.</p>
<p dir=ltr>Ibn Sirin رحمه الله said,” I heard Abu Hurairah saying, ‘Prophet صلى الله عليه و سلم said, “When Time approaches, the dream of the believer rarely would lie.’” [Sahih al-Bukhari]</p>
<p dir=ltr>“When Time approaches…”is explained in two different opinions:</p>
<p dir=ltr>1)Al-Khattabi رحمه الله said, “The meaning of ‘When Time approaches…” is the time of night and the time of day. When the time of night approaches the length the time of day, then the dreams of the believer will be true. These are the two times when flowers open up and when fruits are ripe. The scholars of dream interpretation actually state that these are the two time when the dreams are most likely to be true.”</p>
<p dir=ltr>2)Al-Qurtubi رحمه الله says, “What is meant by this hadith, and Allah سبحانه و تعالى knows best, is the end of times and it is talking about the group of believers that will be with ‘Isa ibn Maryam عليه سلام after he kills dajjal.”</p>
<p dir=ltr>Ibn Abi Jamrah رحمه الله says,” The reason why the believer sees true dreams at the time is because the believer will be ghareeb (stranger) as was mentioned in the hadith, ‘Islam began as something strange and it will return to the way it began being strange so give glad tidings to the strangers so give glad tidings to the strangers.’”</p>
<p dir=ltr>Ibn Hajar al-‘Asqalani رحمه الله comments on all the opinions by saying, “Whenever the times are difficult for the believer, he will see dreams that are true frequently because he needs help. When the believer is alone, when the times are difficult, when you don’t find people supporting on truth, then Allah سبحانه و تعالى will inspire you to give you glad tidings through the good dreams you would see and this is to give the believers in those difficult and testing times gives the believers strength, it gives them confidence, it gives them hope so they would see a lot of dreams that would come true.”</p>
<p dir=ltr>For example the brothers who are doing Jihad feesabiliLlah see a lot of dreams that come out to be true because they are being tested by Allah سبحانه و تعالى thus He assists them.</p>
<p dir=ltr>9) Most of the times, if the dream is a glad tiding from Allah سبحانه و تعالى it would take a long for it to occur while if it is a warning it would occur swiftly.</p>
<p dir=ltr>For example Yusuf عليه سلام’s dream took a very long time for it to happen around 40 years. Some scholars say this is because Allah سبحانه و تعالى gives the believer glad tidings early on to give him confidence and hope, to inspire him in his life. While if it is a warning, you would see it and it would occur very soon so that it would be the reason of fear in your heart.</p>
<p dir=ltr>10) Dreams are glad tidings and warnings but can not be used as a source of Shari‘ah.</p>
<p dir=ltr>Ash-Shatbi رحمه الله says regarding this, “Benefit of the dream in giving the believer a glad tiding or warning not in legislation and judgement or rulings.”</p>
<p dir=ltr>11) If one sees a dream that is very long like a movie or someone is chasing you and it never ends then most likely that dream doesn’t mean anything. True dreams are short and concise.</p>
<p dir=ltr>12) The dream of a believer pleases him but it does not make him proud or over confident.</p>
<p dir=ltr>Ibn Muflih رضي الله عنه mentions in his book Adaab ash-Shar‘iyah, “Ibrahim al-Humaydi was righteous man and Imam Ahmad bin Hanbal visited him so Ibrahim told Imam Ahmad, ‘My mother has seen a dream for you where she saw this-and-that for you,’ and then he mentioned Jannah. Imam Ahmad said, ‘My brother, Sahl ibn Salamah, people used to see dreams for him similar to what you mentioned and in the end he ended up shedding blood so the dream pleases the believer, it doesn’t make him boastful.”</p>
<p dir=ltr>13) Dream interpretation is not certain but presumptive and Allah سبحانه و تعالى says in Surah Yusuf: “And he said to the one he presumed to be saved…” {ayah # 42}</p>
<p dir=ltr>Ibn Kathir رحمه الله mentions in his An-Nihayah wal Bidayah that there was a caliph (not a good one) of Ibn ‘Abbas who saw dream that he was climbing a dream with 28 steps. So he had that dream interpreted. The one who interpreted his dream told him that the meaning of this dream is, “You will rule for 28 years.” But he died six months later. He died at the age of 28 so the steps were representing his age not the time for his rule.</p>
<p dir=ltr>There was a woman who dreamt that her daughter would break three banners (flag carried in war time). So she went to Ibn Sirin رحمه الله and he interpreted that dream saying, “If her dream is true, it means that she would marry three noble men all of them would be killed.” When her daughter grew up, she married Yazid ibn al-Muhallab who was a great leader in ‘Iraq and he was killed. Later on, she married ‘Amr ibn Yazid at-Taymi and he was killed. Her third marriage was with al-Hasan ibn ‘Uthman ibn ‘Abdur Rahman ibn ‘Awf رحمه الله, the grandson of the Sahabi ‘Abdur Rahman bin ‘Awf. She had an argument with him and she told him, “In the Name of Allah, you would be killed.” He asked her the reason and she told him about her dream. He said, “Alright, I am going to divorce you since you think I am going to be killed now!” Finally, she married al-‘Abbas ibn ‘AbdiLlah ibn Harith ibn Nawfal ibn Harith ibn ‘Abdul Muttalib and he was killed.</p>
<p dir=ltr>One man saw in a dream, during the plague, that caskets were coming out of his house and the number of them was equal to the number of his family. So, he interpreted the dream that his entire family would be killed in the plague. And the dream started to manifest itself. His family were dying one after the other and all the bodies were coming out of his house exactly how he saw in his dream until he was the last member of his family left so he was pretty sure that he would be killed by the plague because his dream was, until now, true. But a thief came into his house and was struck by the plague, he fell ill in his house, he died and he was the last body to leave the house and not the person who saw the dream.</p>
<p dir=ltr>14) It is haram and a great sin to claim that one has a seen a dream whilst he has not seen it or to lie in it.</p>
<p dir=ltr>Narrated ‘AbduLlah ibn ‘Abbas رضي الله عنه that the Prophet صلى الله عليه و سلم said, “Whoever claims to have seen a dream that he has not seen, would be told to tie between two hairs on the Day of Judgement.”</p>
<p dir=ltr>15) A dream could be seen by a person but it could be for someone else.<br>
Al Hakim and ‘AbduLlah Ibn Mubarak narrate that someone saw a dream for Abu Jahl that he became a Muslims and pledged allegiance to Prophet صلى الله عليه و سلم. But this never happened. So this dream was for his son, ‘Ikrimah رضي الله عنه who became a Muslim and pledged allegiance to Prophet صلى الله عليه و سلم later on.</p>
<p dir=ltr>A dream was seen for Usayd bin Abil ‘Aas that he became the governor of Makkah and he never did but his son ‘Attab became the governor of Makkah.</p>
<p dir=ltr>16) Same symbol in a dream could mean different things for different people</p>
<p dir=ltr>For example: A man came to Ibn Sirin رحمه الله and told him that he had seen himself in a dream giving Adhan. Ibn Sirin رحمه الله replied, “You will make Hajj.” Another man came with the same dream and Ibn Sirin رحمه الله replied, “You are a thief!” Ibn Sirin رحمه الله was asked the reason of him giving different interpretations of the same dream to different people and he said, “Because I saw in the first man’s face righteousness and Allah سبحانه و تعالى says in the Qur`an that Ibrahim عليه سلام made adhan calling people to Hajj so I interpreted this mean that this person would make Hajj. Whilst I saw evil on the face of the other man and Allah سبحانه و تعالى says in Surah Yusuf, ‘then a crier cried: ‘O you (in) the caravan! Surely, you are thieves!’ so I interpreted it to mean that this person is a thief.’”</p>
<p dir=ltr>17) Prophet صلى الله عليه و سلم said, “A dream is hanging on the leg of a bird (and in another narration on the wing of the bird) as soon as it is interpreted, it happens as it was interpreted.” So some scholars say that if you take your dream to a scholar, it would happen as it is interpreted by him so that’s why you must take it to a person who has knowledge about dream interpretation and or a person who would give you a sincere advice and not to the person who is envious so if the dream is interpreted it would happen as he interpreted.</p>
<p dir=ltr>However,</p>
<p dir=ltr>there is a difference of opinion regarding this issue.</p>
<p dir=ltr>And Allah سبحانه و تعالى knows best.</p>
<p dir=ltr>Source: Islam best Religion website. </p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-43187694114500235022014-08-01T14:39:00.001+05:002014-08-01T15:31:00.981+05:00SIKU YA IJUMA NA HUKMU ZAKE <div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr">
Makala hii imetaarishwa na swahiliminbar.com<br />
<br />Siku ya Ijumaa, ni siku bora kabisa iliyotokewa na jua. Katika siku hii Mwenyezimngu Alimuumba Adam,na Kiyama kitasimama siku ya ijuma, na ni siku ya Idi kwa Waislamu. Kwa hivyo, yameamrishwa baadhi ya mambo katika siku, miongoni mwao: hutuba ya Ijumaa,kuoga, kujitia manukato, kwenda Ijumaa kwa kuvaa vazi zuri zaidi napambo zuri zaidi, kwenda Ijumaa mapema, kukaa karibu na imamu na kuutayarisha moyo kusikiliza mawaidha na utajo wa Mwenyezi Mungu.<br />
<br /><b>Utangulizi</b><br />
<b><br /></b> Enyi watu, Mcheni Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala). Na mjuwe ya kuwa hakika Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) huumba atakavyo na huchagua atakavyo. Amesema Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala):<br />
<br />قال تعالى: {وَرَبُّكَ يَخْلُقُ مَا يَشَاءُ وَيَخْتَارُ مَا كَانَ لَهُمُ الْخِيَرَةُ } [القصص: 68]<br /><br />
{{ Na Mola wako huumba atakavyo na huchagua atakavyo, hawana viumbe hiari}}.. Na Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) ndie anaye jua hekima kwa kila kitu anacho kichagua miongoni mwa viumbe vyake. Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) huchagua Mitume miongoni mwa Malaika na watu. Na Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) ameufadhilsha Mji wa Makka kushinda sehemu nyingine. Na akauchagua Mji wa Madina kuwa ni mji aliohamia Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) na Masahaba. Kisha akauchagua Baytul Maqdis akajalia ni sehemu ya Mitume wengi ambayo Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) ametuelezea habari zao katika Qur’an Tukufu. Na Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) amefadhilisha baadhi ya Miezi kuliko mingine na Usiku na Mchana. Akachagua Miezi mine Mitukufu (Dhul-qa’ada, Dhul-hijja, Muharam na Rajab). Na bora wa masiku ni siku ya Ijumaa. Kwa hivyo, mtukuzeni Allah (Subhaanahu wa Taala) na kumsifu na kumsalia Mtume Muhammad (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam).<br />
<br /><b>Hukumu</b><b> ya </b><b>Swala</b><b> ya </b><b>Ijumaa</b><br />
<b><br /></b>Swala ya Ijumaa ni miongoni mwa swala muhimu za faradhi. Na sharia imetia mkazo zaidi na kusisitiza kutekelezwa swala ya ijumaa kwa jamaa. Na malipo yake ni makubwa zaidi.<br />
<br /><b>Fadhila</b><b> za </b><b>siku</b><b> ya </b><b>Ijumaa</b><b>:</b><br />
<b><br /></b>1. Kupata Thawabu na Malipo kwa kila hatua ya kwenda Msikitini sawa na Mtu aliyesimama kuswali na kufunga Mwaka mzima. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) : [ Mwenye kuoga na kujisafisha, kisha akaenda Msikitini na mapema na akamkurubia Khatibu na akasikiliza kwa utulivu. Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) atamlipa kwa kila hatua malipo sawa na Mtu aliyesimama kuswali na kufunga Mwaka mzima] (Imepokewa na Ahmed).<br />
<br />2- Kusamehewa Madhambi yake ya wiki mzima pamoja na siku tatu za ziada. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) : [ Mwenye kutawadha vizuri, kisha akaja Msikitini na akamsikiliza Khatibu na kunyamaza. Anasemehewa Madhambi yake ya wiki mzima pamoja na siku tatu]. Imepokewa na Muslim.<br />
<br />3- Kukubaliwa dua katika siku hii tukufu. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) : [Hakika katika Siku ya Ijumaa kuna wakati, haafikiwi Muislamu na wakati huo hali akiwa anamuomba Allah, ila Mwenyezi Mungi humkubalia Dua yake].<br />
<br /><b>Adabu</b><b> </b><b>na</b><b> </b><b>Sunna</b><b> za </b><b>Siku</b><b> ya </b><b>Ijumaa</b><b>:</b><br />
<b><br /></b>- Kuoga na kujisafisha na kupaka manukato mazuri pamoja na kuondosha harufu mbaya mwilini.. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) : [Mwenye kuoga siku ya Ijumaa, kisha akaenda Msikitini na mapema. Mfano wake ni kama mtu aliyetowa sadaka ya Ngamia].<br />
<br />- Kwenda Msikitini mapema na kumkurubia khatibu. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) : [Nedeni mkasali sala ya Ijumaa, na mkae karibu na khatibu].<br />
<br />- Kujishughulisha kwa Kumtaja Allah, kusoma Qur’an, kuomba msamaha, kuomba dua kwa wingi na kumsalia Mtume Muhammad (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam).<br />
<br />- Kumsilikiza Khatibu kwa utulivu, bila ya kujishughulisha na mambo mengine.Asema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) : [Mwenye kutawadha vizuri, kisha akaja Msikitini na akamsikiliza Khatibu na kunyamaza. Anasemehewa Madhambi yake ya wiki mzima pamoja na siku tatu]. Imepokewa na Muslim.<br />
<br /><b>Mambo </b><b>yalio</b><b> </b><b>katazwa</b><b> </b><b>katika</b><b> </b><b>swala</b><b> ya </b><b>Ijumaa</b><b>:</b><br />
<b><br /></b>- Kuja Msikitini kuchelewa na kukata safu kwa kuruka watu, kwa lengo la kutaka kukaa safu ya mbele. Siku moja Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) alimuona mtu akikata safu na kuruka watu; Akamuambia kaa chini kwa hakika umewaudhi watu na umefanya maasi makubwa.<br />- Kuwashawishi waja wa Mwenyezi Mungu, kwa kusoma Qur’an kwa sauti kubwa, au kufanya Dhikri kwa sauti ya juu. Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) aliwakataza Masahaba kusoma kwa sauti ya juu, na akawambia; Asisome mmoja wenu Qura’n kwa sauti ya juu kuliko mwingine.<br />- Kuzungumza wakati wa Khatibu anatoa khutbah ya Ijumaa. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) : [Ukimuambia mwenzako nyamaza na Khatibu akiwa anazungumza, kwa hakika umeharibu swala ya Ijumaa].<br />
<br /><b>Khatari</b><b> ya </b><b>kuacha</b><b> </b><b>kuswali</b><b> </b><b>swala</b><b> ya </b><b>Ijumaa</b><br />
<b><br /></b>Mtume Muhammad amesisitiza na kutilia mkazo juu la suala la kutekeleza swala ya Ijumaa. Na akawatahadharisha Waislamu wanaoacha kutekeleza swala hii. Adhabu kubwa watakayo pata watu hao hapa duniani ni nyoyo zao kuwa ngumu na kupigwa muhuri wa kughafilika. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam): [ Hawataendelea watu kuacha swala ya Ijumaa, mpaka Mwenyezi Mungu apige muhuri nyoyo zao, kisha watakuwa niwenye kuishi katika mughafala].<br />
<br /> Ndugu Waislamu, tujihadhari sana na kuacha swala ya Ijumaa, kwasababu adhabu yake ni nzito sana. Moyo ukiwa mgumu, basi mwanadamu anakuwa sawa na myama, hajali lolote wala chochote. Utamuona hamuogopi Mwenyezi Mungu, kwa kufanya maasi usiku na mchana.<br />
<br /> Tunamuomba Allah (Subhaanahu wa Taala) athibitishe nyoyo zetu juu ya twaa yake, na atulinde na machafu yote.<br />
<br /><b>KHUTBA</b><b> YA </b><b>PILI</b><br />
<b><br /></b>Ndugu Waislamu, katika Mafundisho ya Mtume Muhammad (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) ni kuitukuza siku hii ya Ijumaa, kwani hii ni siku tukufu ilio chaguliwa na Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Taala) na kupatiwa Umma huu wa mwisho.<br />
<br />Mtume Muhammad (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) alikhusisha baadhi ya vitendo katika siku ya Ijumaa:<br />- Kusoma Surat Sijdah na Surat Insaan katika swala ya Al-Fajiri. Imepokewa na Abu Hureirah – Radhi za Allah ziwe juu yake- { Alikuwa Mtume akisoma katika swala ya Al-Fajri siku ya Ijumaa (Surat Sijdah) katika rakaa ya kwanza. Na katika rakaa ya pili (Surat Insaan) } Muslim.<br />- Kusoma Surat Al-Kahfi. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam): {Mwenye kusoma Surat Al-Kahfi siku ya Ijumaa, Mwenyezi Mungu anampa mwangaza baina ya Ijumaa mpaka Ijumaa nyingine}. Al-Bayhaqi na Haakim.<br />
<br />- Kuzidisha kwa wingi kumsalia Mtume Muhammad (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam). Amesema Ibnu-Qayyim: “Mtume wa Mwenyezi Mungu ni Bwana wa viumbe vyote, na siku ya Ijumaa ni bwana wa siku zote. Kumswalia Mtume siku hii ina malipo mengi kushinda siku nyingine”.<br />- Kuzidisha kumuomba Allah (Subhaanahu wa Taala) katika siku hii. Kwasababu kuna wakati wa kukubaliwa dua ya Muislamu. Amesema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) : [Hakika katika Siku ya Ijumaa kuna wakati, haafikiwi Muislamu na wakati huo hali akiwa anamuomba Allah, ila Mwenyezi Mungu humkubalia Dua yake].<br />
<br /><b>Mwisho</b><br />
<b><br /></b>Ndugu katika Imani, kama tulivyo sikia umuhimu wa siku ya Ijumaa, na namna sheria ilivyo tilia mkazo siku hii. Na vilivile malipo na thawaabu nyingi kwa Yule atakae tekeleza ibada kwa masharti yake na nguzo zake. Ni jukumu letu kufanya bidii kwa kufanya ibada mbali mabali kama alivyo tufundisha Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam), ili tuweze kupata malipo na thawabu nyingi kutoka kwa Allah (Subhaanahu wa Taala). Enyi Waislamu, Tushindaneni kufuata Sunna na Mafundisho ya Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam) katika siku hii kuu.<br />
<br />Mwenyezi Mungu atujaalie miongoni mwa waja wake wema na atupe uwezo wa kufuata Sunna za Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam). Tunamuomba Allah atukubalie ibada zetu na atupe mwisho mwema tukiondoka duniani.</div>
</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-90815397971985477882014-07-21T08:02:00.001+05:002014-07-21T08:02:44.698+05:00Dua za Mtume Muhammad s.a.w<p dir=ltr><br>
Du’aa katika Sunnah zik<u>o</u> nyingi sana. Aghlabu ya du’aa za Mtume (صلى الله عليه وسلم) zilikuwa za mukhtasari wa maneno kwa maana kauli zake fupi lakini zenye maana tele na hikma kama alivyosema mwenyewe katika usimulizi ufuatao:</p>
<p dir=ltr>عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ (صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ) قَالَ: "فُضِّلْتُ عَلَى الأَنْبِيَاءِ بِسِتٍّ: أُعْطِيتُ جَوَامِعَ الْكَلِمِ, وَنُصِرْتُ بِالرُّعْبِ, وَأُحِلَّتْ لِيَ الْغَنَائِمُ, وَجُعِلَتْ لِيَ الأَرْضُ طَهُورًا وَمَسْجِدًا, وَأُرْسِلْتُ إِلَى الْخَلْقِ كَافَّةً, وَخُتِمَ بِيَ النَّبِيُّونَ</p>
<p dir=rtl> </p>
<p dir=ltr>Imepokewa kutoka kwa Abu Huraryah (رضي الله عنه) kwamba Mtume (صلى الله عليه وسلم) amesema: ((Nimefadhilishwa juu ya Manabii kwa mambo sita; nimepewa ‘Jawaami’al-Kalimi’[1] na nimenusuriwa kwa [kutiwa] hofu [katika nyoyo za maadui] na nimehalalishiwa ghanima[2] na nimefanyiwa ardhi kuwa kitoharishi na masjid [mahali pa kuswali], na nimetumwa kwa viumbe wote, na Manabii wamekhitimishwa kwangu))[3]</p>
<p dir=ltr>Tunazigawanya Du’aa hizo katika maudhui mbali mbali na kutokana na hali zinazomkabili Muislamu:</p>
<p dir=ltr>-Du’aa Alizokuwa Akiomba Sana Mtume (صلى الله عليه وسلم ) </p>
<p dir=ltr>Kuomba kheri za dunia na Akhera<br></p>
<p dir=ltr>رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً وَفِي الأَخِرَةِ حَسَنَةً وَقِنَا عَذَابَ النَّارِ<br></p>
<p dir=rtl>Rabbaana aatinaa fid-dduniya hasanatan wafil Aakhirati hasanatan wa qinaa adhaaban-naari[4]<br></p>
<p dir=ltr>Mola wetu, tupe katika dunia mema na katika Akhera mema na Tukinge adhabu ya Moto[5]<br></p>
<p dir=ltr>Kuthibitika Katika Dini Na Utiifu</p>
<p dir=ltr>‏ يَا مُقَلِّبَ الْقُلُوبِ ثَبِّتْ قَلْبِي عَلَى دِينِك<br></p>
<p dir=rtl>Yaa muqallibal quluwbi, thabbit qalbiy ‘alaa Diynika</p>
<p dir=ltr>Ee Mwenye kupindua nyoyo, Thibitisha moyo wangu katika Dini Yako[6]<br></p>
<p dir=ltr>اللَّهُمَّ مُصَرِّفَ الْقُلُوبِ صَرِّفْ قُلُوبَنَا عَلَى طَاعَتِكَ</p>
<p dir=rtl>Allaahumma Muswarrifal quluwbi, swarrif quluwbanaa ‘alaa twaa’atika</p>
<p dir=ltr>Ee Allaah, Mwenye kugeuza nyoyo, zigeuzi nyoyo zetu katika utii Wako[7]<br></p>
<p dir=ltr>-Du’aa Za Maombi Ya Ujumla<br><br></p>
<p dir=ltr>‏ اللَّهُمَّ إِني أسْأَلُكَ مِنْ الْخَيْرِ كُلِّهِ عَاجِلِهِ وَآجِلِهِ مَا عَلِمْتُ مِنْهُ وَمَا لَمْ أعْلَمْ، وَأعُوذُ بِكَ مِنَ الشَّرِّ كُلِّهِ عَاجِلِهِ وَآجِلِهِ مَا عَلِمْتُ مِنْهُ وَمَا لَمْ ‏‏ أعْلَمْ، اللَّهُمَّ إِنِّي أسْأَلُكَ مِنْ خَيْرِ مَا سَألَكَ عَبْدُكَ وَنَبِيُّكَ، وَأعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ مَا استعَاذَ بِكَ مَنْهُ عَبْدُكَ وَنَبِيُّكَ، اللَّهُمَّ إنِّي أسْأَلُكَ الْجَنَّةَ وَمَا قَرَّبَ إلَيْهَا مِنْ قَوْلٍ أوْ عَمَلٍ وَأعُوذُ بِكَ مِنْ النَّارِ وَمَا قَرَّبَ إِلَيْهَا مِنْ قَوْلٍ أوْ عَمَلٍ، وَأسْأَلُكَ أنْ تَجْعَلَ كُلَّ قَضَاءٍ قَضَيْتَهُ لِي خَيْرًا<br></p>
<p dir=rtl>Allaahumma inniy as-aluka minal-khayri kullihi ‘aajilihi wa aajilihi, maa ‘alimtu minhu wamaa lam a’lam. Wa a’uwdhu Bika minash-sharri kullihi ‘aajilihi wa aajilihi maa ‘alimtu minhu wamaa lam a’lam. Allaahumma inniy as-aluka min khayri maa saalaka ‘Abduka wa Nabiyyuka, wa a’uwdhu Bika min sharri masta’aadha Bika minhu ‘Abduka wa Nabiyyuka. Allaahumma inniy as-alukal-Jannata wamaa qarraba ilayhaa min qawlin aw ‘amal, wa a’uwdhu Bika minan-nnaari wamaa qarraba ilayhaa min qawlin aw ‘amal, wa as-aluka antaj-’ala kulla qadhwaai qadhwaytahu liy khayraa<br><br></p>
<p dir=ltr>Ee Allaah, hakika mimi nakuomba kheri zote zilizokaribu na mbali nizijuazo na nisizozijua. Najikinga Kwako shari zote za karibu na za mbali nizijuazo na nisizozijua. Ee Allaah, hakika nakuomba kheri alizokuomba mja Wako na Nabii Wako, na najikinga Kwako shari alizojikinga nazo mja Wako na Nabii wako. Ee Allaah, hakiki mimi nakuomba Pepo na yanayokaribisha kwayo katika kauli au amali, na najikinga Kwako Moto na yanayokaribisha kwayo katika kauli au amali, na nakuomba Ujaalie kila majaaliwa yangu [uliyonikidhia] yawe kheri[8]<br></p>
<p dir=ltr>‏ اللَّهُمَّ إِنِّي أسْألُكَ الْهُدَى وَالتُّقَى وَالْعَفَافَ وَالْغِنَى<br></p>
<p dir=rtl>Allaahumma inniy as-alukal-hudaa wat -ttuqaa wal ‘afaafa wal ghinaa<br></p>
<p dir=ltr>Ee Allaah hakika mimi nakuomba uongofu na ucha-Mungu na kujichunga[9] na kutosheka[10]<br></p>
<p dir=ltr>Kuomba Hidaaya:<br></p>
<p dir=ltr>اللَّهُمَّ اهْدِنِي وَسَدِّدْنِي, اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ الْهُدَى وَالسَّدَادَ <br><br></p>
<p dir=rtl>Allaahumma-hdiniy wasaddid-niy, Allaahumma inniy as-alukal-hudaa was-ssadaad</p>
<p dir=ltr>Ee Allaah, niongoe na nionyoshe sawasawa. Ee Allaah hakika mimi nakuomba hidaaya na unyofu[11]</p>
<p dir=ltr>Kuomba hesabu ya sahali Aakhirah Na Kuwa pamoja na Mtume (صلى الله عليه وسلم ) Peponi. </p>
<p dir=ltr>اللَّهُمَّ حَاسِبْنِي حِسَابًا يَسِيرًا</p>
<p dir=rtl>Allaahumma haasibniy hisaaban -yasiyraa</p>
<p dir=ltr>Ee Allaah nihesabie hisabu iliyo sahali[12]</p>
<p dir=ltr>اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ إِيمَانًا لاَ يَرْتَدُّ, وَنَعِيمًا لاَ يَنْفَدُ, وَمُرَافَقَةَ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ فِي أَعْلَى غُرَفِ الْجَنَّةِ جَنَّاتِ الْخُلْدِ</p>
<p dir=rtl>Allaahumma inniy as-aluka iymaanan laa yartaddu, wa na’iyman laa yanfaddu, wa muraafqatan-Nabiyyi Swalla-Allaahu ‘alayhi wa sallam fiy a’-laa ghurafil-Jannah, Jannaatil-khuldi</p>
<p dir=ltr>Ee Allaah, hakika nakuomba imani isiyoritadi [isiyobadilika], na neema zisizoisha na kuambatana na Nabii Swalla-Allaahu ‘alayhi wa sallam katika vyumba vya ghorofa za juu kabisa Peponi, Pepo za kudumu milele[13]</p>
<p dir=ltr>-Kuomba Wingi Wa Iymaan, Taqwa Na Hifadhi</p>
<p dir=ltr>اللَّهُمَّ أَعِنِّي عَلَى ذِكْرِكَ وَشُكْرِكَ وَحُسْنِ عِبَادَتِكَ</p>
<p dir=rtl>Allaahumma a’inniy ‘alaa dhikrika, wa shukrika wa husni ‘ibaadatika</p>
<p dir=ltr>Ee Allaah nisaidie juu ya utajo Wako [kukudhukuru], na kukushukuru na uzuri wa ‘ibaadah Zako[14]</p>
<p dir=ltr>‏‏اللَّهُمَّ اقْسِمْ لَنَا مِنْ خَشْيَتِكَ مَا يَحُولُ بَيْنَنَا وَبَيْنَ مَعَاصِيكَ، وَمِنْ طَاعَتِكَ مَا ‏ ‏تُبَلِّغُنَا ‏بِهِ جَنَّتَكَ، وَمِنْ الْيَقِينِ مَا تُهَوِّنُ بِهِ عَلَيْنَا مُصِيبَاتِ الدُّنْيَا، وَمَتِّعْنَا بِأسْمَاعِنَا وَأبْصَارِنَا وَقُوَّتِنَا مَا أحْيَيْتَنَا, وَاجْعَلْهُ ‏الْوَارِثَ مِنَّا، وَاجْعَلْ ثَأرَنَا عَلَى مَنْ ظَلَمَنَا وَانْصُرْنَا عَلَى مَنْ عَادَانَا، ولا تَجْعَلْ مُصِيبَتَنَا فِي دِينِنَا، وَلا تَجْعَلْ الدُّنْيَا أكْبَرَ هَمِّنَا وَلا مَبْلَغَ عِلْمِنَا، وَلا تُسَلِّطْ عَلَيْنَا مَنْ لا يَرْحَمُنَا</p>
<p dir=rtl>Allaahumma-qsim-lanaa min khash-yatika maa yahuwlu baynanaa wa bayna ma’swiyk, wamin twaa’atika maa tuballighunaa bihi Jannatak, wa minal-yaqiyni maa tuhawwinu bihi ‘alaynaa muswiybaatid-duniya, wa matti’-naa biasmaa’inaa wa abswaarinaa wa quwwaatinaa maa ahyaytanaa waj-’alhul-waaritha minnaa waj-’al thaaranaa ‘alaa man dhwalamanaa wanswurnaa ‘alaa man ‘aadaana, walaa taj-’al muswiybatanaa fiy diyninaa, walaa taj-’alidduniya akbara hamminaa walaa mablagha ‘ilminaa, walaa tusallitw ‘alaynaa man-llaa yarhamunaa</p>
<p dir=ltr>Ee Allaah tugawanyie sisi hofu Yako itakayotenganisha baina yetu na baina maasi Yako, na utiifu utakaotufikisha katika Pepo Yako, na yaqini itakayotusahilishia misiba ya dunia, na tustareheshe kwa masikio yetu, na macho yetu, na nguvu zetu madamu Utatuweka hai, na yajaalie yawe ni urithi wetu na Jaalia iwe lipizo kwa anayetudhulumu, na tunusuru dhidi ya anayetufanyia uadui, na wala Usitufanyie msiba wetu ni Dini yetu, wala Usifanye dunia kuwa ndio hima yetu kubwa kabisa, na wala upeo wa elimu yetu, wala Usitusaliti kwa asiyetuhurumia[15]</p>
Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-19964636043383807682014-07-19T22:03:00.001+05:002014-07-19T22:03:31.365+05:00HALI ZA WEMA WALIOPITA NDANI YA RAMADHAN<p dir=ltr>Makala imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr>Kila sifa njema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe vyote. Sala na salamu zimuendee Mtume wetu Muhammad (swalla Allahu alaihi wa sallam) na ahli zake na maswahaba wake. </p>
<p dir=ltr>Kutoka kwa Abi Hurayra (radhiya Allahu anhu), Amesema Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) ““Yoyote atakaefunga Ramadhan, kwa imani na kwa kutarajia malipo atasamehewa dhambi zake zilotangulia”. Bukhari na Muslim. </p>
<p dir=ltr>Katika makala hii leo tutaelezea vipi Mtume (swalla Allahu alayhi wasalla), maswahaba,matabiina na wema wengine waliopita walivyokuwa wakiuthamini mwezi wa Ramadhan. Na vipi walikuwa wakijitahidi katika kufanya ibada ndani ya Ramadhan ili waweze kufikia malengo ya Ramadhan pamoja na kupata ujira mkubwa kutoka kwa Allah (subhanahu wataala) ikiwemo kusamehewa dhambi zao zilizopita. <br>
<br>
Wengi wetu tunafunga ila bidii inayotakiwa ambayo tuifanye ndani ya Ramadhan hatuioneshi au haitoshelezi na ndio maana kila mwaka tunafunga na hatuoni matunda ya funga zetu wala hatuoni raha ya mwezi mtukufu wa Ramadhan. </p>
<p dir=ltr>Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) alikuwa ni mwenye kuupokea mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa kufunga sana ndani ya mwezi wa Shaaban. Pia unapoingia mwezi wa Ramadhan alikuwa ni mwingi wa kufanya ibada na zaidi huzidisha pale linapoingia kumi la mwisho pia hukaa iitikafu. Amesema Bibi Aisha (radhiya Allahu anha) "Zilipokuwa zikiingia siku kumi za mwisho (za Ramadhan), Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) alikuwa akiuhuisha usiku kwa kufanya ibada, akiamsha familia yake usiku, na akikaza Izaar yake (shuka inayovaliwa kiunoni makusudio hapa ni kuwa alikuwa akijibidiisha sana). Bukhari na Muslim. <br>
Pia imepokewa kutoka kwa Aisha (Radhiya Allaahu anhaa) kwamba: Mtume (swalla Allaahu alayhi wa sallam) alikuwa akifanya Itikaaf kila Ramadhaan siku kumi, ulipofika mwaka wake wa kuaga dunia alifanya Itikaaf siku ishirini" Bukhari </p>
<p dir=ltr>Pia alikuwa Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) akisoma Quraan pamoja na kuja kusomeshwa Quraan na mwalim wake Sayydina Jibri. “Mtume (Swalla Allaahu alayhi waaalihi wasallam) alikuwa ni mbora (mwenye matendo mema) kwa watu, na alikuwa mbora zaidi katika Ramadhan kwa sababu Jibril alikuwa akimjia kila usiku wa Ramadhaan akimfundisha Qur-aan” Al-Bukhaari </p>
<p dir=ltr>Huyu ndie aliekuwa kipenzi cha Allah (subhanahu watala) akifanya matendo kama hao. Kipenzi ambae ameshasamehewa dhambi zake zilizopita na zijazo. Je vipi mimi na wewe? </p>
<p dir=ltr>Vipi yalikuwa mapokezi ya wema waliopita kwa ajili ya Ramadhan? Wema waliopita walikuwa wakiupokea mwezi wa Ramadhan kwa furaha pamoja na maandalizi mazuri na makubwa ya kuupokea mwezi mtukufu wa Ramadhan. Anasema Muala Ibn Fadhwal “ Walikuwa watu wema miezi sita wakimuomba Allah (subhanahu wataala) awafikishe Ramadhan ” </p>
<p dir=ltr> Wema waliopita walizifahamu hadithi hizi na ndio maana nao walijibidiisha katika kufanya mazuri ndani ya Ramadhan. Dua zao njema walizielekeza kwa Allah (subhanahu wataala) awafikishe mwezi wa Ramadhan wakiwa ni wazima ili waweze kufunga na kutekeleza ibada mbali mbali ndani ya Ramadhan. Pia walikuwa wakimuomba Allah (subhanahu wataala) daima wawe katika uongofu ili isije ikaingia Ramadhan na wao hawako katika utiifu wa Allah (subhanahu wataala). Pia wakimuomba Allah (subhanahu wataala) awatakabalie saumu zao watakazokuja kuzifunga. </p>
<p dir=ltr>Ukiangalia ni namna gani ambavyo walikuwa wakiuthamini mwezi huo. Mtu huanza kuupokea kwa dua za kumuomba Allah awafikishe miezi sita kabla ya kuingia Ramadhan na miezi iliyobaki hujibidiisha na kufanya Ibada. Sisi umma wa sasa tunasubiri karibu Ramadhan kufika ndio tunaanza kujiandaa nao tena kwa kuwaza vyakula tena kufanya israfu na sio vipi mtu atajipanga kwa ajili ya Ibada. </p>
<p dir=ltr>Wema waliopita waliitumia Ramadhan kwa kufanya matendo mema. Matendo yale yale ambayo alikuwa akiyafanya Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) kwani walifahamu kuwa kigezo chao ni Mtume Muhammad (swalla Allahu alayhi wasallam) na wakajibidiisha katika kumfuata. </p>
<p dir=ltr>Sasa tuangalie mifano hai vipi waliingia kwenye milango ya Kheri ya ndani ya Ramadhan : </p>
<p dir=ltr>Kusoma Quraan </p>
<p dir=ltr>Mwezi wa Ramadhan ni mwezi wa Quraan na ndio mwezi ambao imeteremshwa Quraan. Mtume(swalla Allahu alayhi wasallam) alikuwa mwingi wa kusoma Quraan ndani ya Ramadhan na wema waliopita walitumia Ramadhan kwa kusoma Quraan. </p>
<p dir=ltr>Sayyidina Othmaan Ibn Affan alikuwa akimaliza msahafu kila sik umara moja. <br>
Az zuhr mmoja ya wema waliopita wakati ilipokuwa ikiingia Ramadhan alikuwa akiacha kusoma hadithi na elimu nyengine alikuwa akiutumia muda wake wote kuisoma Quraan. </p>
<p dir=ltr>Qatadah alikuwa akimaliza kusoma Quraan kikawaida kila siku 7 mara moja lakini ndani ya Ramadhan kila baada ya siku 3 mara moja. </p>
<p dir=ltr>Kusali sala za Usiku </p>
<p dir=ltr>Kama tulivyoona kuwa Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) alikuwa ni mwenye kusali usiku na alikuwa akiwaamsha watu wake katika kumi la mwisho. Ummul Muuminina Aisha (Radhiya Allaahu anhaa):“Msiwache kuswali usiku (Qiyaamul Layl), kwani hakika Mjumbe wa Allah (Swalla Allaahu alayhi waaalihi wasallam) alikuwa hawachi kuswali usiku, na alikuwa Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kama anaumwa au anaona uvivu huswali kwa kukaa.” Imepokelewa na Ahmad. </p>
<p dir=ltr>Hivyo hivyo na watu wema nao walimfuata Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam). Amepokea Zayd bin Aslam kutoka kwa baba yake kuwa:“Alikuwa Umar bin Al-Khattwaab (Radhiya Allaahu anhu) akiswali usiku Anavyomjaaliya Allah, hadi inapokuwa Aakhirul Layl -mwisho wa usiku– huwaamsha ahli zake kwa Swalah; huwaambia: Swalah Swalah, kisha husoma Aayah hii: “Na waamrishe watu wako Swalah, na ufanye subira kwa hayo. Sisi hatukuombi wewe riziki, bali Sisi ndio tunakuruzuku. Na mwisho mwema ni kwa mcha Mungu” (Twaahaa: 132). Imepokelewa na Maalik, katika Al-Muwattwa </p>
<p dir=ltr>Na katika Hadiyth ya nyengine ya Abdullaah bin Abi Bakr (Radhiya Allaahu anhu) amesema: Nimemsikia baba yangu Abu Bakr (Radhiya Allaahu anhu)- akisema:” Tulikuwa tukimaliza -Qiyaam- katika Ramadhaan basi tunawaharakisha wasaidizi kwa chakula kuchelea Alfajiri (isitukute)” Imepokelewa na Maalik katika Al-Muwattwa. </p>
<p dir=ltr>Kutoa Sadaka na Kumfturisha aliyefunga </p>
<p dir=ltr>Siku moja Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wasallam) aliulizwa Swawm ipi bora baada ya Ramadhaan? Akajibu: “Shaban… pakaulizwa Sadaka ipi bora? Akajibu: “Sadaka katika Ramadhaan” .Imepokelewa na At-Tirmidhiy. </p>
<p dir=ltr>Amesema Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam): “Atakayemfuturisha aliyefunga, atapata ujira kama ujira wake -aliyefunga- bila ya kupungua chochote katika ujira wa yule aliyefunga.” Imepokelewa na Ahmad </p>
<p dir=ltr>Masahaba na wema waliopita walijitahidi sana katika kutoa sadaka pamoja na kuftarisha wenziwao kwa kujua fadhila na utukufu wa jambo hili. </p>
<p dir=ltr>Imepokewa Abu As-Siwar Al adwi amesema “ Kundi la wanaume katika kabila la la Bani Adi walikuwa wakisali msikitini. Na hakukuwa na hata mmoja aliyekuwa akifungua peke yake. Akimuona mtu wa kula pamoja nae alikuwa anakula pamoja nae na ikiwa atakosa basi anakwenda na chakula chake msikitini ili ale chakula chake pamoja na wenzake. <br>
<br>
Huu ni kwa uchache vipi watu wema walikuwa wakijibidiisha katika kupata matunda ya mwezi wa Ramadhan.</p>
<p dir=ltr> Nasaha kwako ewe msomaji jitahidi kuiga mifano hii ya watu wema ili nawe uwe ni mwenye kupata matunda ya mwezi wa Ramadhan kwa uwezo wake Allah (subhanahu wataala).</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-65604947223091511992014-07-19T22:01:00.001+05:002014-07-19T22:01:23.217+05:00TAQWA NA VIPI TUTAIPATA TAQWA NDANI YA RAMADHANI
<p dir=ltr>Makala Imeandaliwa na Raudhwah Islamic Grou<u>p</u></p>
<p dir=ltr>Allah (subhanahu wataala) ametufaradhishia juu yetu kufunga. Na pale alipotufaradhishia akatuambia kuwa lengo kuu la kutufaradhishia funga ni kupata uchamungu(Taqwa). Pale aliposema “Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.”(2:183). Suali linaweza kuja nini maana ya uchamungu. Na vipi mtu anaweza kuupata uchamungu ndani ya Ramadhan? Kwa uwezo wa Allah kwa uchache majibu ya masuala hayo yatapatikana ndani ya makala hii. </p>
<p dir=ltr>TAQWA </p>
<p dir=ltr>Taqwa ni vazi ambalo anatakiwa avae kila muislamu. Vazi ambalo limekusanya yale yote aliyoamrisha Allah (subhanahu wataala) ambayo yanatakiwa yatekelezwe na yale yote yaliyoharamishwa ambayo yanatakiwa kuachwa. Msingi mkuu wa taqwa ni kufuata Quraan na Sunna za Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam). Na vazi hili la uchamungu ndio vazi bora kuliko vazi jengine lolote. Anasema Allah (subhanahu wataala) “Enyi wanaadamu! Tumekuteremshieni nguo za kuficha tupu zenu, na nguo za pambo. Na nguo za uchamungu ndio bora…”(7:26). </p>
<p dir=ltr>Taqwa ni amri kutoka kwa Allah. Allah ametuamrisha tumche yeye pekee hapa ulimwenguni. Na akatuambia tuchukue zawadi ya uchamungu kwani ndio zawadi iliyokuwa bora kabisa na ndio itakayomfaa mwanadamu siku ya kukutana na mola wake. Anasema Allah (subhanahu wataala) “Na jitengezeeni zawadi. Na hakika bora ya zawadi ni uchamngu. Na nicheni Mimi, enyi wenye akili! (2:197). </p>
<p dir=ltr>Pia Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) amelisisitiza hilo kwa kututaka tuwe wenye kumcha Allah (subhanahu watala)popote tulipo iwe peke yake mtu au mbele za watu. Kutoka kwa Abu Dharr Jundub Ibn Junaada na Abu Abdur Rahmaan Muadh Ibn Jabal (radhi za Allah ziwe juu yao) kutoka kwa Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) amesema: "Mche Allah popote pale ulipo, na fuatisha kitendo kibaya kwa kitendo kizuri kitafuta kitendo kibaya, na kaa na watu kwa uzuri" At-Tirmidhiy. </p>
<p dir=ltr>Sayyidina Ali Ibn Abi Taalib (radhiya Allahu anhu) aliulizwa nini maana ya uchamungu? Akajibu “ Kumuogopa Allah, Kufanyia kazi yaliyoteremshwa (Quraan na Sunna), na kuridhia kwa kidogo (alichoruzukiwa mtu na Allah), na kujiandaa na siku ya kuondoka(kifo). </p>
<p dir=ltr>Pia Sayyidina Umar Ibn Khattwaab (radhiya Allahu anhu) aliulizwa kuhusu uchamungu. Akamuuliza yule muulizaji nini utafanya ikiwa unatembea katika njia yenye miba? Yule mtu akajibu nitatembea kwa tahadhari ili isinichome miba. Sayyidina Umar akamwambia basi huo ndio uchamungu wakati unapoishi katika ulimwengu huu. Kwa maana yale yote ya haramu mtu anatakiwa achukue tahadhari nayo ili yasije kumuingiza katika moto. Na yale ya halali ndio sehemu ya mtu kuweka mguu wake.</p>
<p dir=ltr> Kwa ujumla kabisa Taqwa ni mtu kumuogopa Allah (subhanahu wataala) na kufanya yale yote aliyoamrishwa na kuwa mbali na yale aliyokatazwa na Allah (subhanahu wataala). <br>
<br>
NI YAPI MALIPO YA MWENYE KUMCHA ALLAH (SUBHANAHU WATAALA) </p>
<p dir=ltr>1-	Kupata wepesi wa mambo yake kutoka kwa Allah (subhanahu wataal). Anasema Allah (subhanahu wataala)“Na anaye mcha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu humfanyia mambo yake kuwa mepesi.” (65:4). <br>
2-	Kusamehewa dhambi zake na Allah (subhanahu wataala). Anasema Allah (subhanahu wataala) “Na anaye mcha Mwenyezi Mungu atamfutia maovu yake, na atampa ujira mkubwa.”(65:5). <br>
3-	Kupata njia ya kutokea katika mambo yake na kuruzukiwa bila ya kutarajiwa. Anasema Allah (subhanahu wataala) katika Suratu Twalaaq “na anaye mcha Mwenyezi Mungu humtengezea njia ya kutokea.(2) Na humruzuku kwa jiha asiyo tazamia…(3). <br>
4-	Kupata pepo ya Allah subhanahu wataala. Tujue kuwa ndani ya pepo ya Allah hatoingia ila yule ambae ni mchamungu. Anasema Allah (subhanahu wataala) : <br>
“Na yakimbilieni maghfira ya Mola wenu Mlezi, na Pepo ambayo upana wake ni mbingu na ardhi, iliyo wekwa tayari kwa wachamngu,”(3:133). <br>
<br>
“Hiyo ndiyo Pepo tutayo warithisha katika waja wetu walio kuwa wachamngu.”(19:63). <br>
<br>
Na kwa upande wa hadithi kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu anhu) Amesema: Na aliulizwa Mtume (swalla Allahu ayahi wasallam ni kitu gani kitakachowaingiza watu kwa wingi peponi? Akasema: "Kumcha Mwenyeezi Mungu na tabia njema" Na akaulizwa tena ni kitu gani kitakachowaingiza watu wengi kwa wingi motoni? Akasema "kinywa (mdomo) na utupu." Imepokelewa na At-Tirmidhiy. <br>
<br>
VIPI TUTAIPATA TAQWA NDANI YA RAMADHANI <br>
<br>
Muislamu anaweza kuupata uchamungu kutoka kwenye Ramadhan kwanza kwa kufunga saumu yake kwa imani na kutarajai malipo kutoka kwa Allah. Unapofunga kwa imani unaamini kuwa hiyo ni amri ya Allah ambayo inatakiwa kutekelezwa kwa vile ambavyo Allah (subhanahu wataala) ameamrisha itekelezwe.</p>
<p dir=ltr> Mwenye kufunga kwa imani daima atakuwa ni mwenye kukaa mbali na kufanya na maasi. Pia kwa kutaraji malipo. Mwanadamu akiahidiwa pesa nzuri au mshahara mzuri kutokana na kazi yake atakayoifanya basi bila ya shaka atakuwa na jitihada kufanya kazi ile kwa uzuri wa hali ya juu kabisa. Je vipi ikiwa malipo yenyewe yanatoka kwa Allah? Bila ya shaka utakuwa ni mwenye jitihada za hali ya juu kabisa kwa sababu unajua unaemfanyia jambo hilo yeye hafaidiki na kitu ila wewe ndio unafaidika na pia wewe ndio unafaidika na malipo anakupa yeye. Tuangalieni uzito wa jambo hili. <br>
<br>
Pili kuwa na Ikhlaas katika ibada zetu zote. Ikhlaas ni kufanya jambo kwa ajili ya Allah (subhanahu wataala) pekee. Na lazima mtu awe mbali kabisa na ajiepushe na masuala ya kujionesha. Sio mtu afunge ili watu wamuone. Au afanye jambo lolote la kheri kwa sababu tu watu wapate kumuona au kumsifia. Hayo ni makosa na muislamu hatakiwi kufanya hayo. <br>
<br>
Tatu kujibidiisha katika kuswali sala za faradhi kwa uzuri na kwa khushui. Na pia kusali sala za Sunna. Mwenye kusali sala kwa khushui na kwa ajili ya Allah (subhanahu wataala) basi kwa hakika atakuwa mbali na maasi na ndipo atakapoweza kuupata uchamungu. Allah (subhanahu wataala) anasema “Hakika Sala inazuilia mambo machafu na maovu.”(29:45). <br>
<br>
Kujibidiisha kufanya ya kheri ikiwemo kusoma quraan kutoa sadaka,kufanya umra na mengineyo. <br>
<br>
Muislamu ajitahidi kufanya mambo kama haya ya kheri. Na mwisho abakie kumuomba Allah (subhanahu wataala) amjaalie awe miongoni mwa wacha mungu. Kwani bila ya tawfiq ya Allah hatuwezi kufika katika darja kama hizo. <br>
<br>
Pia muislamu anatakiwa awe mbali kabisa na kujitukuza na kujiona kuwa yeye ni mchamungu kwa sababu tu anajitahidi kufanya ibada na anakuwa mbali na mambo ya haramu. Hakuna anaeweza kujijua kuwa yeye ni mchamungu isipokuwa Allah (subhanahu wataala) ndie anaetujua sisi. Anasema Allah (subhanahu wataala) “Basi msijisifu usafi. Yeye anamjua sana mwenye kujikinga na maovu “(53:32). Tuwe na tahadhari nalo sana. Muhimu ni kuwa na bidii na mwisho ni kumuomba dua Allah atuwafikishe katika hayo. </p>
<p dir=ltr>Allah atujaalie tuwe miongoni mwa wachamungu. Aaamin.</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-75018201976841187832014-07-19T21:58:00.001+05:002014-07-19T21:58:13.044+05:00ISTIGHFAAR<p dir=ltr>Makala Imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr> <br>
Kila sifa njema zinamstahikia Allah (subhanahu wa ta‘ala) Muumba wa kila kilichomo katika ulimwengu huu. Swala na salamu zimuendee Mtume wetu Muhammad (swalla Allahu alaihi wa sallam). </p>
<p dir=ltr>Nini maana ya Istighfaar.? </p>
<p dir=ltr>Sayyidina Ally (radhi za Allah ziwe juu yake) alimsikia mtu mmoja akisema: Astaghfirullah. Akamuuliza unajua maana ya Istighfaar? Naye akamuuliza nini maana yake ewe Amirul muuminiin? Akajibu Sayyidina Ally: “Istighfaar ni daraja la juu la uchamungu (ililyiin) nalo ni jina lenye maana ya vitu sita: Kwanza kujuta kwa yale makosa uliyoyafanya, Kuazimia kutorejea makosa uliyoyafanya, Kuwapa watu haki zao mpaka ukutane na Allah bila ya kubaki na deni hata moja, Kutekeleza fardhi zote kwa ukamilfu, usile haramu,Uonje na utamu wa kutenda mema kama ulivyoonja utamu wa maasi, ukishakuyatekeleza hayo ndipo useme: ASTAGHFIRULLAH hali ya kuwa unajua maana yake”. </p>
<p dir=ltr>Sayyidina Ally (radhi za Allah ziwe juu yake) ameelezea kwa undani ni nini maana ya mtu kusema Astaghfirullah. Wengi wetu tumekuwa tukitamka tu katika midomo yetu bila ya kujua maana yake. <br>
Ni wajibu wetu waislamu kudumu na kufanya istighfaar daima na iwe kila siku. Kwani Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) ambae alisamehewa na Allah (subhanahu wataala) madhambi yake yaliyopita na yatakayokuja ila bado alikuwa akileta istighfaar kila siku. Je vipi sisi ambao daima ni wenye kumuasi Allah (subhanu wataala) usiku na mchana? Imetoka kwa Abu Hurayrah (radhi za Allah ziwe juu yake) alimsikia Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) akisema: "Wallaahi mimi naomba maghfirah kwa Allaah na kutubu Kwake zaidi ya mara sabiini kwa siku" Bukhaariy </p>
<p dir=ltr>Sisi tunamuasi Allah (subhanahu wataala) na tunajisahau kuwa tutaondoka hapa duniani na ndio maana hatuandai mazingira ya kukutana na mola wetu. Daima tuwe ni wenye kudumu na istighfaar. Na iwe ni istighfaar kutoka ndani ya nyoyo zetu itakayothibitishwa na vitendo vyetu vyema. Istighfaar ndio jahazi la kumuokoa muumini katika dunia hii kutokana na maasi anayomuasi Allah (subhanahu wataala) asubuhi na usiku. Na ndio maana Mtume wetu (swalla Allahu alayhi wasallam) ambae ndio kigezo chetu akawa ni mwenye kudumu na istighfaar. </p>
<p dir=ltr>Anasema Sufyan “ Ajabu kwa mwenye kuzama na pamoja yake jahazi la kumuokoa.” Wakauliza walio pamoja nae “Na ni lipi hilo jahazi la uokovu? Akajibu ISTIGHFAAR” </p>
<p dir=ltr>MANENO YA KUMPA FARAJA MWENYE KUASI </p>
<p dir=ltr>Anasema Allah (subhanahu wataala) “ Sijapata kumghadhabia mtu kama ninavyomghadhabia mtu ambae anaona dhambi yake ni kubwa kuliko msamaha wa Allah” </p>
<p dir=ltr>Maneno haya yanatupa picha halisi kuwa Allah (subhanahu wataala) anataka aombwe msamaha na wala mtu asione kafanya kubwa ambalo hawezi kusamehewa na Allah. Juu ya lolote ambalo mtu amelifanya basi alete istighfaar kwa Allah (subhanahu wataala) nae atamsamehe kwani hakika ya Allah ni mwingi wa kusamehe. "Na hakika Mimi ni Mwingi wa Kusamehe kwa anayetubia, na akaamini, na akatenda mema, tena akaongoka" (Twaaha:82) </p>
<p dir=ltr>Imetoka kwa Anas (Radhiya Allahu anhu) ambaye amesema: Nimemsikia Mtume (Swalla Allahu alayhi waaalihi wasallam) akisema: "Amesema Allahِ: Ewe Mwanadam! Hakika ukiniomba na ukanitaraji (kwa malipo) Nitakusamehe yale yote uliyonayo na wala Sijali, Ewe Mwanadam! Lau zingefikia dhambi zako ukubwa wa mbingu, kisha ukaniomba msamaha, Ningekughufuria bila ya kujali (kiasi cha madhambi uliyoyafanya). Ewe Mwanadam, Hakika ungenijia na madhambi yakaribiayo ukubwa wa ardhi, kisha ukakutana nami na hali hukunishirikisha chochote, basi Nami Nitakujia na msamaha unaolingana nao"Imepokelewa na At-Tirmidh </p>
<p dir=ltr>Hivyo ndugu zangu wakiislamu daima tuwe ni wenye kuomba msamaha kikweli kwa Allah (subhanahu wataala) ili turudi kwa Allah akiwa yupo radhi na sisi na tusiwe wenye kukata tamaa na rehma za Allah (subhanahu wataala). </p>
<p dir=ltr> BAADHI YA ISTIGHFAAR MUHIMU <br>
Bwana wa Istighfaar <br>
Imetoka kwa Shaddaad Bin Aws (radhi za Allah ziwe juu yake) kwamba Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) kasema: Bwana wa Istighfaar ni kusema: "Allaahumma Anta Rabbiy laa ilaaha illa Anta, Khalaqtaniy wa-ana ‘Abduka, wa-ana ‘alaa ‘Ahdika wa-Wa’dika mas-tatwa’tu. A’uudhu Bika min sharri maa swana’tu, abuu Laka Bini’matika ‘alayya wa abuu bidhambi, Faghfir-liy fainnahu laa yaghfirudh-dhunuuba illa Anta" <br>
Maana yake ni : <br>
"Ee Allaah, Wewe ni Mola wangu, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, Umeniumba mimi na mimi ni mja Wako, nami niko juu ya ahadi Yako, na agano lako, kiasi cha uwezo wangu, najilinda Kwako kutokana na shari ya nilichokifanya, nakiri Kwako kwa kunineemesha, na nakiri kwa madhambi yangu, basi nakuomba unisamehe kwani hasamehi madhambi ila Wewe"Bukhaariy. </p>
<p dir=ltr>Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) amesema " Yeyote atakaesema "ASTAGHFRIULLAHA LLADHY LAA ILAHA ILLA HUWAL HAYYUL QAYYUM WA-ATUBU ILAYHI" <br>
“Namuomba msamaha Allah ambaye hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila yeye, aliye hai aliyesimama kwa dhati yake, na ninatubia kwake”………Allah atamsamehe hata kama ana makosa ya kukimbia vitani’ <br>
<br>
DUA YA NABII YUNUS <br>
Dua ya Nabii Yuunus (alayhis-salaam) alipokuwa tumboni mwa samaki alisema maneno yafuatayo "Laa ilaaha illa Anta Subhaanaka inniy kuntu minadh-dhwaalimiyn" <br>
“Hapana mungu isipo kuwa Wewe Subhaanaka Uliyetakasika. Hakika mimi nilikuwa miongoni mwa wenye kudhulumu" (Suratul Anbiyaa: 87). <br>
<br>
NI ZIPI FAIDA ZA ISTIGHFAAR? </p>
<p dir=ltr>Kutoka kwa Abdillah bin Abbas radhi za Allah ziwe juu yao amesema, amesema Mtume (swallalahu alayhi wasallam): “ Mwenye kuleta Istighfaar/akaomba msamaha, Allah humjaalia mtu huyo katika kila zito na tatizo apate ufunguzi, na kila tatizo atapata faraja, na atamruzuku bila ya yeye kutegemea.” <br>
Hadithi hii inatuonesha kwa namna gani mtu anapoleta istighfaar na kuomba msamaha Allah humpa kheri tofauti tofauti. </p>
<p dir=ltr>Faida nyengine ya istighfaar tutaipata kutoka ndani ya Quraan kupitia kisa cha Hassan Al Basri. <br>
Mtu wa kwanza alimuendea Hassan Al Basri akamuambia kuwa nina tatizo la mtoto Hassan Al basri akamjibu lete istighfaar.Mtu wa pili akamuendea Hassan Al Basri akamwambia nina ugumu wa maisha na hali yangu ni maskini.Nini nifanye nipate wepesi? Akamwambia lete istighfaar.Mtu wa tatu akamuendea Hassan Al Basri akamwambia mazao yangu yanakauka na mvua hakuna.Nini nifanye?akamwambia lete istighfaar.Watu waliokuwa wakisikia yale majibu wakamwambia vipi leo mbona kila anaekuja na jambo lake unamwambia lete istighfaar.au hujui nini wafanye? Hassan Al Basri akawajibu hivi mumesahau katika Suratu Nuuh aya 9-12 ya ALLAH aliwaambia waja wake walete istighfaar ili wapate watoto,wapate mali na wapate mvua kwa ajili ya mazao yao.” Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe(10) Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.(11) Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.(12). </p>
<p dir=ltr>Hii yote inaonyesha jinsi gani madhambi ndio yanayoleta balaa na mitihani duniani, kama ni bakora na adhabu kwa watu kama Allah alivoeleza kisa cha watu wa bustani na visa vya kaumu zilizopita, baada ya kukufuru na kutenda dhambi Allah aliwapa njaa na kiu pamoja ukame. Ila njia pekee ni kurudi kwa Allah (subhanahu wataala) na kuleta istighfaar. </p>
<p dir=ltr>Usiende kwa mganga kumshirikisha Allah ewe mwanadamu una matatizo, mambo yako hayakai vizuri basi kimbilia kuleta istighfaar ya kweli kutoka ndani ya moyo basi Allah (subhanahu wataala) atakusamehe dhambi zako na atakuneemesha neema mbali mbali kama alivyosema katika Quraan. </p>
<p dir=ltr>Hizi fadhila na faida kubwa katika istighfaar pale mja anapoomba msamaha kwa mola wake subhaanahuu wataala. Je ni wangapi ambao huleta istighfaar na wakapata kheri na neema hizi alizoahidi Allah (subhaanahuu wataala). Daima tudumu na kuleta ISTIGHFAAR. </p>
<p dir=ltr>Allah ni mjuzi zaidi.</p>
Unknownnoreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-72315749644241988012014-07-19T21:56:00.001+05:002014-07-19T21:56:12.949+05:00VIPI UTAIPA NGUVU IMANI YAKO
<p dir=ltr>Makala imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr>Kila sifa njema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe vyote. Sala na salamu zimuendee Mtume wetu Muhammad (swalla Allahu alaihi wa sallam) na ahli zake na maswahaba wake.<br>
<br>
Imani ya mja huwa inapanda na kushuka. Na hii ni miongoni mwa tabia za muislamu. Kuna wakati muislamu imani yake humjaa na huwa anajitahidi katika Ibada. Sala tano hazimpiti tena kwa jamaa. Funga za sunna huwa ndio vazi lake. Adhkaar na sala za usiku ndio mapambo yake. Lakini baada ya muda haya mambo yote huwa hayafanyi tena. Na huanza uvivu wa kutekeleza mambo hayo. </p>
<p dir=ltr>Wengine wao huwa na imani kubwa sana na hamu ya kutenda matendo mema na nia hasa pale wanapokumbushwa. Ila baada ya muda hamu ile ya kufanya ibada inapotea. Lakini hawa wote tujiulize ni kipi kinachowafanya wawe hivyo? Tatizo lao ni udhaifu wa imani au kushuka kwa imani. Imani inapokuwa juu basi ndipo kheri zote huzikimbilia au ndipo hamu ya kufanya ibada humjaa mtu. Lakini imani inaposhuka basi huyu mtu huwa hana tena hamu ya mambo hayo na huwa na uvivu. Sasa nini afanye ili aipe nguvu imani yake? Leo katika makala hii tutajaribu kuelezea baadhi ya njia ambazo muislamu anaweza kuzifanya ili aweze kuipa nguvu imani yake. Njia zenyewe ni kama zifuatazo : </p>
<p dir=ltr>1-Kusoma Quraan kwa mazingatio <br>
Endapo muislamu anapohisi imani yake imeshuka au inatetereka basi akimbilie kusoma sana Quraan. Ila aisome Quraan kwa mazingatio kwa kujua ni kipi ambacho Allah (subhanahu wataala) anakielezea ndani ya Quraan. Na ikiwa mtu hajui tafsiri ya Quraan basi asome kwa kutumia msahafu wa tafsiri. </p>
<p dir=ltr> Hakuna yeyote ambae amesoma Quraan kwa mazingatio isipokuwa umelainika moyo wake. Na hapo ndipo sifa ya muum,ni inapopatika. Na endapo ukaona kuwa unasoma Quraan na moyo wako hauathiriki na chochote basi jua wewe ni maiti inayotembea duniani. Allah (subhanahu wataala) anasema “Hakika Waumini ni wale ambao anapo tajwa Mwenyezi Mungu nyoyo zao hujaa khofu, na wanapo somewa Aya zake huwazidisha Imani, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.” (8:2). Aya hii inaonesha wazi kuwa yeyote yule anaesoma Quraan kwa ufahamu na mazingatio basi kwa hakika imani yake itapanda. </p>
<p dir=ltr>Pia Allah (subhanahu wataala) anasema ndani ya Suratu Muhammad aya ya 24 “Je! Hawaizingatii hii Qur'ani? Au kwenye nyoyo (zao) zipo kufuli?” Je sisi waumini hatuna mazingatio na aya za Allah? Au nyoyo zetu zimefungwa? Ndipo Allah akauliza au zina kufuli? Kwa maana zimefungika hakuna ndani yake kinachoingia. Tujitahidini tulainishe nyoyo zetu ili Quraan iwe ni ukumbusho kwetu. </p>
<p dir=ltr>Vipi watu wema walikuwa wakiathirika kwa kusoma Quraan kwa mazingatio ? Tuangalie mifano ifuatayo halafu tujiulize na sisi nafsi zetu zipo sehemu gani? </p>
<p dir=ltr>Siku moja Sayyidina Omar (radhiya Allahu anhu) alikuwa akiisoma aya katika aya za Quraan. Alipozisoma akaanza kulia na kulia. Mpaka akawa anashindwa kutoka nje ya nyumba yake kwa sababu ya kilio alichokuwa nacho. Je alilia tu bure bure? Hapana alilia kwa sababu aliyafahamu maneno ya Allah kwa upeo wa juu na akawa anajiuliza vipi yeye hali yake itakuwa. Aya yenyewe aliyoisoma ni “Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi hapana shaka itatokea.(7) Hapana wa kuizuia.(8). Machozi yake yalishindwa kujizuia akikaa akijiuliza vipi adhabu za Allah (subhanahu wataala) zitakuwa. Vipi mimi na wewe tunapozisoma aya kama hizi? Je nyoyo zetu hazipaswi kunyenyekea na kuwa na mazingatio? </p>
<p dir=ltr> Tumuangalie nae Omar Ibn Abdul Aziz. Siku moja Omar Ibn Abdul Aziz alisikilikana analia kwa sauti na kushindwa kujizuia.Jirani yake akaenda kumuuliza “Je ni kipi kimekusibu hadi unalia?”Omar Ibn Abdul Aziz akamwambia ”Hakuna kinachoniliza isipokuwa aya hii ndani ya Quraan,Allah(subhanahu wataala)anasema “…Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni”(42:7).Najiuliza ndani ya nafsi yangu je nitakuwa katika kundi lipi kati ya haya mawili?. </p>
<p dir=ltr>Hebu tuangalie vipi wenzetu wamekuwa wakiathirika na kusoma Quraan. Vipi mimi na wewe? Je hatuzipiti aya hizi? Je tunaisoma Quraan kwa mazingatio? Hawa ni wachache tu ambao wanaathirika kwa kusoma Quraan. Mifano ipo mingi ndugu zangu wakiislamu. Tujitahidini sana kuisoma Quraan kwa mazingatio ili tuweze kuzikuza imani zetu. </p>
<p dir=ltr>2- KUKITHIRISHA KUKUMBUKA MAUTI </p>
<p dir=ltr>Mauti ni safari ya lazima kwa kila mwanadamu. Nayo ni safari ya kutoka katika dunia katika maisha ya mpito na kuelekea katika maisha ya akhera. Mwanadamu yanapomkuta mauti basi muda wa mtihani wake ndio unakuwa umekwisha na kinachobaki ni kwenda kukutana na hesabu. Je ulishwahi kujiuliza ni vipi roho yako itatolewa? Itatolewa kwa ajili ya kwenda jannah au itatolewa kwa ajili ya kwenda motoni? Je ulishawahi kujiuliza vipi itakuwa hali yake pale utakapokuwa umebebwa kwenye jeneza? Je ulishawahi kukaa na kujiuliza vipi utaikuta hesabu yako? Je umeshawahi kujiuliza nini utamjibu Allah pale utakaposimamishwa mbele yake? Mauti ni mazingatio tosha kwa muislamu na kumkumbusha ili aweze kukaa katika njia ya Allah (subhanahu wataala). </p>
<p dir=ltr>Mtihani mkubwa zaidi ni watu kuyachukia mauti. Na wapokuwa wakikumbushwa kuhusu mauti huwa wanachukia na kuona Sheikh hakuwa na mawaidha ila ya kuwatisha. Kumbe wanasahau kukumbushwa mauti ni kumfanya mtu aizidishe imani yake na kujiandaa na siku ya kutoka roho. </p>
<p dir=ltr>Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) anasema katika hadithi “ Kithirisheni katika kukumbuka chenye kukata ladha “ Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) ameyaita mauti kama ni kikata ladha. Ndiyo mauti ni yenye kukata ladha ya starehe za uongo za dunia. Mwnadamu anapokumbuka mauti basi awe anajiuliza masuala ya msingi ambayo atakutana nayo. Na endapo muislamu ataona kuwa hata akikukumbuka mauti moyo wake hauthiriki basi pi ana yeye ataingia katika kundi la wale maiti wanaotembea katika dunia hii. <br>
Anasema Allah (subhanahu wataala) ““Kila nafsi itaonja mauti. Na bila shaka mtapewa ujira wenu kamili Siku ya Qiyaama.”(3:185). </p>
<p dir=ltr>Tujiandaeni mauti na tujitahidini katika kukithirisha kukumbuka mauti kila wakati hili litamsaidia muumini na kumuasi Allah (subhanahu wataala). </p>
<p dir=ltr>3-KUTEMBELEA MAKABURI </p>
<p dir=ltr>Makaburi nayo yana siri nzito ndani yake. Tayari tumeshamuhifadhi ndugu yetu katika kuelekea katika maisha yake ya milele. Nini kinachojiri ndani ya mauti. Mwanadamu atakapokaa na kuliwaza kaburi, giza lake na juu yake kufukiwa na michanga. Vipi atakaa ndani ya shimo hilo? Je ulishawahi kujiuliza vipi itakuwa usiku wa kwanza ndani ya kaburi lako?Je wakati watu watakapokuwa washamzika ataweza kujibu maswali ya Munkar na Nakir? Je kaburi lake litakuwa ni bustani katika bustani ya peponi au mashimo katika mashimo ya motoni? </p>
<p dir=ltr>Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) ametuusia kutembelea makaburi pale aliposema “Mtume (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wasallam) amesema, “Nilikuwa nimewakataza kwanza kuzuru makaburi lakini kuanzia sasa yatembeleeni.” (Muslim) katika riwaya nyingine , “Kwani huko kuzuru makaburu hukukumbusheni na akhera.” (Ahmad) .Kutembelea huku sio ule wakati wa kwenda kuzika. Mtu awe anapanga siku maalum kwenda kuyatembelea makaburi kwa lengo iwe ni mazingatio kwake yeye. Kwa lengo na yeye ajiulize vipi itakuwa hali yake pale atakapowekwa ndani ya kaburi. </p>
<p dir=ltr> Sayyidina Othman Ibn Affan (radhiya Allahu anhu) alikuwa akitajiwa kuhusu moto na adhabu za Allah analia. Lakini anapotembelea makaburi huwa analia zaidi mpaka ndevu zake zikarowa machozi. Maswahaba wakamuuliza ni kipi kinachomfanya hivyo ? Sayyidina Othman akajibu kaburi ndio nyumba ya kwanza ya maisha ya akhera. Ikitengenea hali ndani ya kaburi ndio yametengenea mengine na hali ikiwa mbaya basi ndio mwanadamu amekhasirika. Sasa najiuliza vipi kaburi langu litakuwa? </p>
<p dir=ltr>Mmoja ya watu wema alikuwa akiingia sehemu ya makaburi basi huuziba uso wake kwa kilemba chake. Kwa nini huuzibaa? Ili asionekane akilia kwani alikuwa anashindwa kujizuia asilie akikaa akiliwaza kaburi lake. Litakuwa na hali gani. </p>
<p dir=ltr>Hawa ndio ambao wakikumbuka vitu kama hivi huvikumbuka kwa mazingatio makubwa ndani yake. Je vipi mimi na wewe? Sio wale ambao tunaenda kwenye makaburi na simu zetu za kuchat mkononi? Sio sisi tunaenda kwenye makaburi na mazungumzo ya kusema watu yapo kwenye midomo yetu? <br>
Tembelea makaburi ili uizidshe imani na uwe ni mwenye kujiandaa daima na kukaa katika kaburi lako. <br>
<br>
4- KUKAA NA MARAFIKI WEMA NA KUSHIRIKI VIKAO VYA KHERI </p>
<p dir=ltr>Rafiki huchangia kwa kiwango kikubwa maisha ya binaadamu. Na hili linathibitishwa na Mtume Muhammad(swalla Allahu alayhi wasallam) kwa kauli yake pale aliposema “ Mtu hufuata mwenendo wa rafiki yake,basi aangalie mmoja wenu ni nani anaemfanya kuwa ni rafiki” Attirmidhy. </p>
<p dir=ltr>Jitahidi sana na kuwaepuka marafiki waovu kwani hawawezi kukusaidia katika kuikuza imani yako. Kaa na rafiki mwema rafiki ambae daima atakuwa ni mwenye kukuhimiza katika kufanya yalo mema na yaliyo mazuri. Tumeona mifano ya wengi ambao wamepotoka kwa sababu tu ya marafiki. </p>
<p dir=ltr> Na Allah (subhanahu wataala) anatuambia ndani ya Quraan “Wala usimt'ii tuliye mghafilisha moyo wake asitukumbuke, na akafuata matamanio yake yakawa yamepita mpaka.”(18:28). Aya hii ni ukumbusho kwa muumini awe mbali na wale ambao hawako katika kumtii Allah (subhanahu wataala) nao hufuata matamanio ya nafsi zao. </p>
<p dir=ltr>Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) anasema "Mfano wa rafiki mwema na rafiki mbaya ni kama ule wa muuzaji wa misk na mhunzi. Basi kwa muuzaji wa misk, imma atakunusisha, au utanunua kwake ama angalau utafurahia harufu nzuri kwake. Na kwa yule mhunzi, imma atakuchomea nguo au utapata harufu mbaya kutoka kwake.” [Al-Bukhaariy na Muslim]. </p>
<p dir=ltr>Katika tafsiri ya Hadiyth hii, Imam An-Nawawiy alisema: Mtume ((Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)) alilinganisha rafiki mzuri na muuzaji misk kwasababu, kwa rafiki mzuri mwenye tabia ya upole, na elimu, utapata faida kwake. Na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alitukataza kukaa na wale wenye kufanya maovu. </p>
<p dir=ltr>Hivyo ndugu yangu muislamu tafuta rafiki mwema ambae daima mazungumzo yenu yatakuwa ni ya kheri na ni yenye kuhimizana kufanya mema na kukumbushana pale mtu anapokosea. </p>
<p dir=ltr> Pia kushiriki katika vikao vya kheri katika misikiti,kwenda katika mihadhara kwani katika vikao hivyo hukumbushwa yaliyo mema na kukatazwa yaliyo mabaya ambayo mtu yatamfaa katika maisha yake ya dunia na kesho akhera. Na tusichoke kuhudhuria kwa wingi na kwa wakati mwingi kama vile tunavyotumia wakati mwingi katika kuangalia michezo,mipira au kupoteza wakati kwa kuchat na ndani ya facebook. <br>
Mwisho kabisa ndugu yangu wa kiislamu nakuusia mambo mawili. Jambo la kwanza kithirisha sana katika kumuomba dua Allah (subhanahu wataala) katika kuifanya imani yako isiwe yenye kutetereka na aijaalie imani yako iwe ni yenye kuzidi pale unapokutana na misukosuko. Pia kuwa ni mwenye kuihesabu nafsi yako daima kabla ya kulala hii itasaidia katika kukuzindua ni kwa kiasi gani uko mbali na Allah. Na hesabu hiyo uwe unaifanya ni sababu ya wewe kujiepusha na maasi yale ambayo umeyatenda. </p>
<p dir=ltr>Namuomba Allah atujaalie imani zetu ziwe thabiti na aturidhie pale tutapoondoka hapa duniani. Aaamin.</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-12563286923865018252014-07-19T21:53:00.001+05:002014-07-19T21:54:24.458+05:00KWA NINI HATUATHIRIKI NA FUNGA ZETU?
<p dir=ltr>Makala Imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr>Kila sifa njema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe vyote. Sala na salamu zimuendee Mtume wetu Muhammad (swalla Allahu alaihi wa sallam) na ahli zake na maswahaba wake. </p>
<p dir=ltr>Allah (subhanahu wataala) ametufaradhishia juu yetu kufunga. Na pale alipotufaradhishia akatuambia kuwa lengo kuu la kutufaradhishia funga ni kupata uchamungu(Taqwa). Pale aliposema “Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.”(2:183). <br>
Analolisema Allah (subhanahu wataala) lazima tuliamini na mwenye kuwa na shaka na kauli za Allah (subhanahu wataala) basi huyo anatoka kwenye uislamu. Funga kwa uhakika lengo lake ni kutufanya sisi tuwe wachamungu. Lakini masuali ya kujiuliza Je kweli tunakuwa wachamungu? Je tunaathirika na funga zetu? Malengo mengine ya saum Je tunayafikia? </p>
<p dir=ltr>Majibu ni wachache wenye kufikia hayo na kutambua hayo. Ila ni yapi hasa matatizo yanayotufanya tusifikie malengo ya funga?. Leo katika makala hii tutaelezea miongoni mwa sababu ambazo zinapelekea waislamu kutopata matunda ya funga zetu na kutoathirika nazo. <br>
Ama sababu zwenyewe ni : </p>
<p dir=ltr>1-KUTOWEZA KUTAMBUA THAMANI YA MUISLAMU KUIDIRIKI RAMADHAN <br>
Mwanadamu anapojua thamani ya kitu huwa ni mwenye kukithamini kitu kile pia na kuwa na tahadhari ya juu ili kitu kile kisiweze kupata madhara. Chukulia mfano mtu amepata Almasi vipi atakuwa mwenye kuithamini? Kwa vile anajua thamani ya almasi ni kubwa hivyo atakuwa na tahadhari ya hali ya juu asije kuitupa hali kadhalika atakuwa ni mwenye furaha kwani anajua kuwa almasi ile inaweza kuwa sababu ya kuondoka umasikini wake. </p>
<p dir=ltr>Tuje kwenye Ramadhan wengi wetu hatujui thamani ya Ramadhan na ndio maana hatuuthamini au wenye kujua thamani ya mwezi huo basi hawaupi ile thamani inayostahiki. Nizungumzie mawili tu katika mengi ambayo tunayapata ndani ya Ramadhan. La kwanza ni usiku wenye cheo. Anasema Allah (subhanahu wataala) “Hakika Sisi Tumeiteremsha (Qur-aan) katika Laylatil-Qadr (usiku wa cheo). Na nini kitakachokujulisha ni nini huo (usiku wa) Laylatul-Qadr? (Usiku wa) Laylatul-Qadr ni (usiku) mbora kuliko miezi elfu Wanateremka humo Malaika na Ruwh (Jibriyl) kwa idhini ya Mola wao kwa kila amri (jambo). (Usiku huo ni) Amani mpaka kuchomoza Alfajiri. (Al-Qadr: 97). Ni nani asiyeutaka usiku huu umkute ikiwa yumo ndani ya Ibada? Tunatambua uzito wake ila hatuoneshi thamani yake kivitendo. Bali vitanda vyetu ndivyo tunavyovithamini. </p>
<p dir=ltr>Ama jambo la pili ni kutoka katika hadithi sahihi ya Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) iliyopokelewa na Bukhari,Muslim na Nasai Rahimahumullah na kusimuliwa na Abu-Hurayra radhiallahu anhu :“Yoyote atakaefunga Ramadhan, kwa imani na kwa kutarajia malipo atasamehewa dhambi zake zilotangulia”. </p>
<p dir=ltr> Wako wasiyoyajua haya ndio maana hawauthamini na wako wenye kujua ila hawafanyi bidii za kuonesha thamani ya mwezi wa Ramadhan. <br>
Hivyo basi Yule mwenye kutaka kupata uchamungu basi kwanza authamini. Na kuuthamini kwenye kuwe kwa vitendo vyema na ibada hapo ndipo mja ataweza kufikia lengo la funga. </p>
<p dir=ltr>2-KUTOJIANDAA NA KUIPOKEA MWEZI WA RAMADHAN </p>
<p dir=ltr>Ramadhan inahitaji maandalizi. Maandalizi yanayoihitaji kwanza ya kielimu. Ni lazima mwenye kutaka kufunga ajue nguzo za funga,yanayobatilisha funga,yaliyo sunna kwa mwenye kufunga. Mambo haya mtu akiyajua basi alau atakuwa anajua nini anachokifanya ndani ya funga. </p>
<p dir=ltr>La muhimu zaidi katika yaliyosahaulika na ni ambalo lenye kufunguza ajue maneno machafu na kusema uongo pia nayo yanafunguza.. Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) inayosema " Yule ambae haachi kusema uongo na haachi vitendo viovu. Allah (subhanahu wataala) hana haja na funga yake." Bukhari na Muslim. Ikiwa mwenye kufunga hayajui haya vipi ataweza kuyachunga ikiwa kusema uongo ni haramu halafu yeye ndio imekuwa ada yake? Vipi unadhani mtu kama huyu anaweza kufikia malengo ya funga? </p>
<p dir=ltr>Maandalizi mengine ni ya kimwili. Wako baadhi ya watu miili yao imeshalemaa haiwezi kabisa kuamka usiku. Haiwezi kabisa kuacha vitanda na kumuabudu Allah (subhanahu wataala) katika thuluthi ya mwisho ya usiku. Lazima mwanadamu auzoeshe mwili wake kutopenda kitanda na awe ananyanyuka kusali usiku kabla ya Ramadhan kuingia ili ramadhan ikifika awe ni mwenye kuendelea tu na ibada.</p>
<p dir=ltr>Jambo hili la maandalizi wengi wetu yamekuwa ni madogo bali tumekuwa ni wazuri wa kujiandaa na vyakula na nguo za sikukuu na tunaisahau kabisa Ramadhan. Tusikubali kutekwa na nafsi zetu lazima turejeshe mioyo yetu kwa ajili ya kupata kheri za Ramadhan. </p>
<p dir=ltr>3-KUTOKUWA NA MAAMUZI YA KIUKWELI YA KUBADILIKA NAFSI ZETU </p>
<p dir=ltr>Maamuzi ya kikweli yanakosekana ndani ya Ramadhan. Mtu husema ndani ya nafsi yake Ramadhan hii ikifika nataka nijibadilishe kabisa. Lakini maneno haya huwa ni kutoka katika ulimi tu ila ndani ya moyo huwa hayapo. </p>
<p dir=ltr>Mwenye kutaka kubadilika kwa haki basi lazima atakuwa na bidii ya hali ya juu. Na mwenye kujitahidi katika njia ya Allah basi lazima atafanikiwa. Allah (subhanahu wataala) anasema “Na wanao fanya juhudi kwa ajili yetu, Sisi tutawaongoa kwenye njia zetu. Na hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na watu wema” (Ankabut : 69). </p>
<p dir=ltr>Maneno ya Allah ni ya kweli na daima yataendelea kubakia kuwa ni ya kweli. Suali la kujiuliza ikiwa Allah (subhanahu wataala) ametuambia hayo je kweli sisi tunayo dhamira ya kweli katika kubadilika? Au kutaka kubadilika kwetu huwa ni maneno tu kutoka katika vinywa vyetu na sio kutoka ndani ya nyoyo zetu?<br>
<br>
Vipi mwenye kutaka kubadilika bado anaendelea kuyafanya yale ya haramu anayotaka kuyawacha. Vipi mwenye kutaka kubadilika bado anaendelea kukaa na marafiki waovu? Vipi mwenye kutaka kubadilika hajihimizi na vikao vya kheri,kusoma Quraan? </p>
<p dir=ltr> Mwezi wa Rehma wenye fadhila nyingi ni miongoni mwa sababu kubwa ya kumfanya mja aweze kubadilika. Tusikose kuitumia fursa hii kwani hatujui kuweza kufika ramadhan ijayo. </p>
<p dir=ltr>4-KUJISHUGHULISHA ZAIDI NA DUNIA NA KUSAHAU IBADA </p>
<p dir=ltr>Unapoingia mwezi wa Ramadhan muislamu lazima ajipange vizuri ili adumishe ibada. Ila sisi dunia imetuteka na ndio maana hatufikii malengo ya funga. Mfanyabiashara anajua ndio mwezi wa kuchuma pesa akili yote ipo katika kuutafuta mzigo wa kuuza, wengine ndio wanaona mwezi wa kuwakomoa watu na bei. Wanunuzi nao wanawaza kwenda kununua na ndio maana kwenye maduka watu wanajaa katika mwezi wa Ramadhan. </p>
<p dir=ltr>Sisemi watu wasinunue na wasiuze bali wajipangie vizuri ili wapate na alau muda wa mtu kufanya ibada. Mfanyabiashara daima ajiweke vizuri mapema kabla ya kuingia Ramadhan ili ikifika ramadhan asiwe mwenye kushughulishwa. Na mnunuzi nae ajipangie vizuri. Unapohangaika kutwa nzima bila ya kupumzika basi usidhanie kama utapata alau muda wa kumuabudu Allah kwani machofu yatatawala katika mwili wako. <br>
Pia mambo yote ya haramu tunayaweka usiku baada ya kumaliza kuftari. Sasa vipi mtu anafunga lakini baada ya funga tu magharibi anayakimbilia maasi. Huku ni kuipenda dunia na kusahau akhera. <br>
Tusipe thamani kubwa dunia itatupeleka pabaya enyi ndugu zangu wa kiislamu. Daima tuwe wenye kujishughulisha na ibada kwani ndizo zitakazotufaa siku ya Qiyama. </p>
<p dir=ltr>5-KUPOTEZA WAKATI KATIKA MAMBO YASIYOKUWA NA MSINGI </p>
<p dir=ltr>Wakati ni jambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu ndio maana Allah (subhanahu wataala) ameapa na wakati ndani ya sura mbali mbali. Mwanadamu unapokwisha wakati wake wa kuishi duniani ndio mauti yake yamefika na anaondoka katika dunia. </p>
<p dir=ltr>Ni wachache kati yetu wenye kujua thamani ya wakati na kuutumia vizuri wakati wetu. Wengi kati yetu tumekuwa ni wenye kuupoteza wakati wetu katika mambo yasiyokuwa na maana. Funga na malengo yake ili tuweze kupata fadhila zake na kufikia malengo yake ni lazima tuutumie wakati wetu katika kheri kwa kufanya ibada na kusoma Quraan,na ibada nyengine za kheri. </p>
<p dir=ltr>Sasa ikiwa tunafunga ili tufikie lengo la kumcha Allah (subhanahu watala), kwa nini waislamu wanatumia wakati wao katika michezo ya kipuuzi ikiwemo kuangalia mipira, kuangalia sinema zisizokuwa na maana, kucheza makeram, karata, zumna nk. Sasa vitu hivi vinatupelekea kusahau lengo la funga kwa sababu ya kupoteza wakati mwingi katika mambo hayo. Kwani wakati huo ungetafuta la kheri ungekuwa umejichumia thawabu ngapi? Na wengine husema kabisa anafanya hayo ili wakati upotee funga yake isiwe tabu kwake. </p>
<p dir=ltr>Kwa hiyo ndugu zangu wakiislamu hatutaathirika na funga kwa sababu tuanaendekeza anasa za kidunia na tunaacha mambo yanayotupelekea tupate huo uchamungu tuliouelezea. <br>
<br>
Lau tungejua yale ambayo yamo ndani ya mwezi wa Ramadhan tusingeiwacha hata sekunde moja ndani ya mwezi huu itupite bila ya mtu kufanya kheri. </p>
<p dir=ltr>Nasaha kwenu enyi ndugu zangu wakiislamu lengo la funga ni kumcha Allah kama alivyosema Allah katika Quraan Uchamungu hauji tu kwa kutamani bali kuna sababu nyingi zitakazo kufanya uupate uchamungu. Sababu zenyewe pale unapofunga basi uwe ni mwenye kudumisha ibada za faradhi na unajishughulisha na kufanya ibada mbali mbali za sunna, kama kusoma Qur-an, kuswali sala za sunna,kutoa sadaka, kuleta dhikri nk. Na hizi ndizo ibada zitakazokupelekea upate lile lengo la funga. </p>
<p dir=ltr>Tujitahidini kuzifanya kwa hima na tumuombe Allah (subhanahu wataala) atuwafikishe katika hayo.</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-7464734038231736182014-07-07T05:49:00.001+05:002014-07-07T05:49:57.056+05:00MILANGO YA KHERI NDANI YA RAMADHAN<p dir=ltr><br>
Makala imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr> MILANGO YA KHERI NDANI YA RAMADHANI </p>
<p dir=ltr>Kila sifa njema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe vyote. Sala na salamu zimuendee Mtume wetu Muhammad (swalla Allahu alaihi wa sallam) na ahli zake na maswahaba wake. </p>
<p dir=ltr>Milango ya kheri ndani ya Ramadhani hii ni milango ambayo muislamu ajitahidi aifungue na aingie ndani yake kwa ajili ya kupata radhi za Allah (subhanahu wataala) pia kwa ajili ya kupata matunda ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Milango ya kheri ndani ya Ramadhani ni mingi mno. Ila tutaielezea baadhi ambayo muislamu ajitahidi aifanyie kazi. </p>
<p dir=ltr>1-KUFUNGA KWA IMANI NA KUTARAJI MALIPO </p>
<p dir=ltr>Jambo la kwanza kabisa ambao muislamu anatakiwa alifanye ni kufunga Ramadhani kwa imani na kwa kutaraji malipo. Mwenye kufunga kwa imani na kutaraji malipo basi husamehewa dhambi zake zote zilizopita. Kwa ushahidi amesema Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam)katika hadith sahihi, iliyopokelewa na Bukhari,Muslim na Nasai Rahimahumullah na kusimuliwa na Abu-Hurayra radhiallahu anhu :“Yoyote atakaefunga Ramadhan, kwa imani na kwa kutarajia malipo atasamehewa dhambi zake zilotangulia”. <br>
Hili ni jambo la kwanza muhimu kabisa mtu alifanye ili aweze kusamehewa dhambi zake. </p>
<p dir=ltr>2-KUSALI SALA ZA USIKU <br>
Muislamu ajitahidi sana kusali tarawehe,sala za usiku (tahajjud). Mtume (Swalla Allaahu alayhi waaalihi wasallaam) amesema: "Atakayesimama (kwa Swalah ya usiku) kwa imani na kutaraji malipo, atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia" Bukhaariy na Muslim </p>
<p dir=ltr>Sala ya tahajjud hii ni sala inayosaliwa wakati wa usiku katika thuluthi ya tatu ya usiku, kuanzia saa saba mpaka saa kumi na sunna zaidi mtu alale aamke. </p>
<p dir=ltr>Na sala hii husaliwa rakaa nane na kumalizia rakaa za witri 1,3,5 kwa rakaa mbili mbili na kumaliza na rakka moja ya witri, au tatu au tano. </p>
<p dir=ltr>Kwa ushahidi wa hadithi aliyopokea Ibnu Abbas radhi za Allah ziwe juu yake anasema, “Nilienda kumtembelea Mtume Swallalahu alayhi wasallam tukalala usiku wake akaamka akatia udhu wa kuswali, akasimama kisimamo cha rakaa mbili, akaatoa salamu, akasali tena rakaa mbili refu zaidi kuliko za mwanzo, akafanya hivo mpaka rakaa nane, ndipo akasimama kuswali rakaa moja, riwaya nyengine akasali rakaa tatu mfululizo bila ya kutoa salamu. </p>
<p dir=ltr>Sala hizi zote mtu akisali humuweka karibu mja na Allah subhaanahuu wataala na kupanda darja katika imani na uchamungu. </p>
<p dir=ltr> 3-KUMFTARISHA YULE ALIYEFUNGA </p>
<p dir=ltr>Amesema mtume swallalahu alyhi wasallam “Atakayemfutarisha aliyefunga , atapata ujira sawa na Yule aliyefunga bila ya kupungua chochote katika ujira wa Yule aliyefunga” ıimepokelewa na Imam Ahmad na Annasaiy). </p>
<p dir=ltr>Wengi wa watu wanajisahau hapa. Watu huwaftarisha wale wenye uwezo na kusahau maskini. Ili mtu apate ujira zaidi basi awe ni mwenye kuwaftarisha wale wahitaji zaidi. Kwani ndani ya jamii zetu kuna watu wanafunga lakini ftari zao hawajui n inini kwa sababu ya umaskini. </p>
<p dir=ltr>4-KUKAA ITIKAFU KATIKA MSIKITI </p>
<p dir=ltr>Kutoka kwa bibi A’aisha radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Alikuwa Mtume swallalahu alyhi wassalam akikaa itikaafu katika kumi la mwisho wa mwezi wa Ramadhani, na mwaka ambao aliondoka duniani alikaa siku ishiriini” (Imepokelewa na Imam Bukhary)<br>
<br>
Hadithi inaonesha fadhila za iitikafu nayo ni kukaa kikao katika msikiti kwa kuleta adhkaar, kusoma qur-an, kusikiliza mawaidha, kusoma darsa za dini nk. </p>
<p dir=ltr>Kufanya hivi mtu huandikiwa thawabu kwa muda wote aliokaa katika masjid mpaka atakapoondoka. <br>
5- USIKU WENYE CHEO (LAYLATUL QADRI) </p>
<p dir=ltr>Laylatul Qadri ni usiku mmoja ndani ya mwezi wa Ramadhan. Usiku huu ni usiku bora kwa zaidi ya miezi elfu moja (miaka 83) kwa usiku wa kawaida. Anasema Allah (subhanahu wataala) “Hakika Sisi Tumeiteremsha (Qur-aan) katika Laylatil-Qadr (usiku wa cheo). Na nini kitakachokujulisha ni nini huo (usiku wa) Laylatul-Qadr? (Usiku wa) Laylatul-Qadr ni (usiku) mbora kuliko miezi elfu Wanateremka humo Malaika na Ruwh (Jibriyl) kwa idhini ya Mola wao kwa kila amri (jambo). (Usiku huo ni) Amani mpaka kuchomoza Alfajiri. (Al-Qadr: 97). </p>
<p dir=ltr>Yeyote utakaomdiriki usiku huu anafanya ibada basi Allah (subhanahu wataala) anamuandikia ibada zake sawa na ibada ya miaka 83. Imehisabiwa mtu atakapofanya ibada katika usiku huo mmoja ni kama amefanya ibada sawa na miaka 83 na hii ni katika fadhila kubwa kabisa. Na katika kitabu Muwatwaa, Imamu Maalik amesema. Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) ameona umri wa umma za mwanzo ni mrefu, na umri wa ummah wake ni mfupi akapewa usiku wa Laylatul-Qadr uwe ni bora kuliko miezi elfu. </p>
<p dir=ltr>Usiku huu haujulikani lini ila kauli yenye nguvu zaidi ni kumi la mwisho ndani ya ramadhani. Ili muislamu aweze kuupata usiku huu basi awe ni mwenye kufanya ibada kwa wingi nyakati za usiku. Na azidishe zaidi katika kumi la mwisho wa Ramadhani. <br>
<br>
6- KUKITHIRISHA KUSOMA QURAAN </p>
<p dir=ltr>Muislamu ajitahidi sana kusoma Quraan tena aisome kwa mazingatio. Mwezi wa Ramadhan ndio mwezi ambao imeteremshwa Quraan. Anasema Allah (subhanahu wataala)” Mwezi wa Ramadhaan ambao imeteremshwa humo Qur-aan ili iwe Hidaaya kwa watu na hoja bayana za Hidaaya na Al-Furqaan (Upambanuzi). (Al-Baqarah: 185). </p>
<p dir=ltr>7- AKITHIRISHE KUTOA SADAKA <br>
Mtume (Swalla Allaahu alayhi waaalihi wasallaam) amesema: "Sadaka iliyo bora ni ile inayotolewa katika mwezi wa Ramadhaan" At-Tirmidhiy. </p>
<p dir=ltr>8- KUKITHIRISHA KULETA ISTIGHFAAR </p>
<p dir=ltr>Muislamu aitumie vizuri fursa ya Ramadhan kumuomba msamaha Allah (subhanahu wataala) kutoka na makosa yake. Hivyo basi akithirishe kuleta istighfaar. Ili asije akaingia katika wale wanaokula khasara. Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) aliitikia Aamin kutokana na dua iliyoombwa na Jibril kuwa amekula khasara yeyote yule ambae ameidiriki ramadhani na hakusamehewa dhambi zake. </p>
<p dir=ltr>Na nyakati nzuri zam tu kuleta istighfaar ni katika thuluthi ya mwisho ya usiku. Anasema Allah (subhanahu wataala) “Na kabla ya Alfajiri wakiomba maghfira (Adh-Dhaariyaat: 18). </p>
<p dir=ltr>Tujitahidini katika kuyafanyia kazi haya tunayoambizana. Na tuitumie fursa ya ramadhani kwa ajili ya kupata rehma za Allah (subhanahu wataala) na kusamehewa dhambi zetu. Allah atuwafikishe katika hayo. Aaamin.</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-78413596346950824402014-07-07T05:48:00.001+05:002014-07-07T05:48:05.231+05:00RAMADHANI NA QUR-AN<p dir=ltr><br>
                  Imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr>             Sifa zote njema zinamstahikia Allah Subhaanahu Wataala Muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo ndani yake, Sala na salamu zimuendee kipenzi cha umma bora Mtume Muhammad Swalla Allahu Alayhi Wa Sallam pamoja na Ahli zake na Swahaba zake na walio wema hadi siku ya malipo.</p>
<p dir=ltr>            Ndugu yangu katika Imani hatuna budi kumshukuru Allah Subhaanahu Wa Taala kwa kutujaalia kuwemo miongoni mwa waja wake aliowachagua kuudiriki mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.</p>
<p dir=ltr>Tunamuomba Allah Subhaanahu wa Taala atuwezeshe kuzitekeleza Ibada zote kwa wingi na atujaalie kuwa miongoni mwa waja wake watakaofikia lengo la kufunga mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani na siku ya malipo ikifika atujaalie kwa Rehma zake kuingia katika Pepo yake kwa daraja za juu bila ya hisabu.</p>
<p dir=ltr>            Ndugu yangu katika Imani, katika makala yetu tutajaribu kuzungumzia kuhusu kufungamana kwa Ramadhani na Qur-an. </p>
<p dir=ltr>             Ibada baada ya Sala na Zakka iliyofaradhishwa kwetu na Allah Subhaanahu wa Taala ni Funga ya Ramadhani. Ibada hii ya kufunga imefaradhishwa katika sheria za Mitume wote tangu mwanzo. Umma zote zilizopita zilikuwa zikifunga kama Umma huu wa Mtume Muhammad Swalla Allahu Alayhi wasallam unavyofanya.  Lakini kuhusu masharti ya kufunga na idadi ya siku za kufunga vilikuwa vikitafautiana kwa kila sheria ya kila umma. Historia hii fupi ya Funga imethibitishwa ndani ya Qur-an katika Suratul BAQARA  aya ya 183, pale Allah Subhaanahu wa Taala aliposema :- “Enyi mlioamini! Mumefaradhishiwa kufunga kama walivyofaradhishiwa waliopita kabla yenu ili mupate kuwa Wacha-Mungu.” </p>
<p dir=ltr>               Kutokana na aya hii inaonesha wazi kwamba katika kila sheria aliyoleta Allah Subhaanahu Wa Taala kwa kila Umma basi haikukosekana Ibada ya Funga.</p>
<p dir=ltr>             Ndani ya mwezi wa Ramadhan muislamu anatakiwa ajibidiishe katika kufanya yaliyo ya kheri kuanzia ya faradhi na yale ya sunna. Pia muislamu anatakiwa ajitahidi  aisome sana Quraan ndani ya mwezi wa Ramadhan. Na usomaji wenyewe uwe tofauti na usomaji mwengine. Uwe ni usomaji wenye mazingatio. Ili muislamu atumie chuo cha Ramdhani katika kuiweka sawa imani yake na kuzingatia ujumbe kutoka kwa mola wake. Ndani ya mwezi wa Ramadhani ndipo ilipoteremshwa Qur-an Tukufu kwa namna tofauti.</p>
<p dir=ltr>Amesema Allah Subhaanahu wa Taala katika Sura ya pili (2) (AL-BAQARA), Aya ya 185 :- “Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa Qur-an ili iwe uongofu kwa watu, na hoja zilizowazi za uongofu na upambanuzi (wa baina ya haki na batili)………”</p>
<p dir=ltr>                   Aya hii inatuthibitishia wazi kuwa Qur-an iliteremshwa katika mwezi wa Ramadhani, kwa hiyo inaonekana wazi kwamba mwezi huu wa Ramadhani haukuchaguliwa kuwa mwezi wa kufunga bure bure tuu bila ya sababu, isipokuwa mwezi huu umechaguliwa kwa sababu ndio mwezi ambao ndani yake iliteremshwa Qur-an kwa namna tofauti na nyakati tofauti. Na Quraan ndio nuru kwa umma.</p>
<p dir=ltr>QUR-AN<br>
                    Qur-an Tukufu ni kitabu cha Allah Subhaanahu wa Taala kilichoteremshwa kwa Mtume Swalla Allahu Alayhi wa Sallam ili iwe uongofu kwa watu wote (viumbe vyote).</p>
<p dir=ltr>                  Qur-an ni kitabu kilichokusanya mambo yote ya maisha ya kidunia  na Akhera  ya mwanzo na ya mwisho, Pia ni kipambanuzi cha haki na batili. Pia ni yenye kuwaonya waumini na  kwa maana hizo tunaona wazi kwamba Allah Subhaanahu wa Taala ameiteremsha Qur-an ili tupate kujua namna ya kuishi maisha bora ya utii hapa duniani ili kupata Rehma za Allah Subhaanahu wa Taala katika maisha ya duniani na akhera.</p>
<p dir=ltr>Anasema Allah (subhanahu wataala) :<br>
“Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi.”(Baqara :185).<br>
“……Hizi ni Aya za Kitabu na Qur'ani inayo bainisha.”(Hijri :1).</p>
<p dir=ltr>“Ametukuka aliye teremsha Furqani kwa mja wake, ili awe mwonyaji kwa walimwengu wote” (Furqaan :1).<br>
                  Qur-an Tukufu ilikuwa imehifadhiwa katika Ubao unaoitwa “LAUHI-MAHFOODH”. Anasema Allah (subhanahu wataala) katika Suratul Buruj “Bali hii ni Qur'ani tukufu(21)Katika Ubao Ulio Hifadhiwa. (22)<br>
Na baada ya hapo iliteremshwa hadi katika wingu wa kwanza wa dunia kwa ujumla wake, wakati huo ilikuwa katika mwezi wa Ramadhani. Na baadae ilianza kuteremshwa kwa Mtume Muhammad Swalla Allahu Alayhi wa Sallam kidogo kidogo, Mara ya kwanza kuanza kuteremshwa kwa Mtume Swalla Allahu Alayhi wa Sallam ilikuwa katika mwezi wa Ramadhani katika kumi la mwanzo, na aya za mwanzo kuteremshwa ni aya tano za mwanzo za Suratul-Alaq. Na ilikuwa ikiteremshwa na Malaika mtukufu JIBRIL Alayhi Salaam ambaye alikuwa akiwashukia Mitume wote kwa ajili ya kuwapelekea Wahyi kutoka kwa Mola wao.</p>
<p dir=ltr>                  Kutokana na Historia hiyo fupi tunaona wazi kwamba Qur-an imefungamana na mwezi wa Ramadhani kwa sababu ndio mwezi ulioteremshwa Qur-an kwa namna tofauti na nyakati Tofauti. </p>
<p dir=ltr>                       Ndugu yangu katika Imani, hakika ya Funga pamoja na kusoma Qur-an ni Ibada zilizokuwa kubwa zaidi na zenye malipo makubwa. Lakini kuisoma Qur-an kusiwe juu juu tuu na sauti zilizokuwa nzuri zenye kuvutia. Isipokuwa kuisoma Qur-an kunatakiwa umakini mkubwa pamoja na kuizingatia vizuri tafsiri yake na kuifanyia kazi katika maisha. Allah (subhanahu wataala) anasema “Je! Hawaizingatii hii Qur'ani? Au kwenye nyoyo (zao) zipo kufuli?”( Suratu Muhammad :24). Hivyo basi na sisi tuisome Quraan kwa mazingatio makubwa kwa sababu kwenye Qur-an ndipo tunapopata kila kitu juu ya maisha tunayotakiwa tuishi. Kwa hivyo tunapofunga katika mwezi huu wa Ramadhani tujitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu wote kuisoma Qur-an kwa wingi na kwa mazingatio pamoja kuifanyia kazi mafundisho yake ili tupate kuongoka. Tunapofanya hivyo ndipo tunapofikia yale malengo ya kufunga mwezi wa Ramadhani nayo ni kufikia daraja za Ucha-Mungu.</p>
<p dir=ltr>Fadhila za kusoma Quraan hatutozielezea kwani tayari tumezieleza katika darsa zetu nyengine.</p>
<p dir=ltr>                     Tumuombe Allah Subhaanahu wa Taala atuwafikishe kuifunga Funga hii ya Ramadhani na atuwezeshe kuisoma Qur-an kwa mazingatio na atujaalie kuwa miongoni mwa waja wake watakaofikia daraja ya Ucha-Mungu, na Siku ya malipo ikifika atuingize Peponi kwa Rehma zake. Aaamin.</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-85927897281435074172014-07-04T19:28:00.001+05:002014-07-04T19:28:42.629+05:00REHMA ZA ALLAH (SUBHANAHU WATA‘ALA) KWA WAJA WAKE
<p dir=ltr><br>
Makala imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr>Kila sifa njema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe vyote. Sala na salamu zimuendee Mtume wetu Muhammad (swalla Allahu alaihi wa sallam) na ahli zake na maswahaba wake. </p>
<p dir=ltr>Ndugu zangu wa kiislamu Mtume (swalla Allahu alayhi wasalam) anatuambia kuwa Ramadhan imegawika katika makumi matatu. Kumi la kwanza ni REHMA, la pili ni MAGHFIRA na la tatu ni KUACHWA HURU NA MOTO. Kwa hakika sasa hivi tuko katika kumi la Rehma. Rehma za Allah kwa waja wake ni nyingi na hatuwezi kuzielezea au kuzizungumza na tukaweza kuzimaliza. Hivyo basi tutazungumza kwa uchache kuhusu Rehma za Allah kwa waje. Muislamu atakapoyafahamu vizuri haya ndipo atakapojua umuhimu wa yeye daima kuomba Rehma za Allah (subhanahu wata‘ala). </p>
<p dir=ltr>Awali kabisa katika mada hii napenda nielezee maneno haya mawili nayo ni ARRAHMAAN NA ARRAHYM. Maana ya maneno haya ni kuwa Allah ni mwingi wa Rehma na mwenye kurehemu. Maneno haya ni majina miongoni mwa majina ya ALLAH kwani ALLAH (subhanahu wata‘ala) ana majina mengi. Na kwa kuangalia maana ya majina haya kwa haraka kabisa utaona kuwa yana maana moja kwa sababu yanatokana na neno Rehma (huruma). Ila maana zake kiundani ni kuwa, ARRAHMAAN maana yake ni rehma za ALLAH kwa waja wake wote hapa ulimwenguni. Kila kiumbe chake Allah basi anapata rehma kutoka kwa muumba wake. Anasema Allah (subhanahu wata‘ala): “Na rehema yangu imeenea kila kitu.” (7:156). Na neno ARRAHYM hizi ni rehma maalum kwa waja wake walioamini pekee katika siku ya malipo pale Allah aliposema katika suratul Ahzaab mwisho wa aya ya 43: “Naye ni Mwenye kuwarehemu Waumini.” </p>
<p dir=ltr>Rehma za Allah (subhanahu wata‘ala) kwa waje wake ni nyingi mno. Na huruma za Allah kwa viumbe vyake ni kubwa sana. Hebu tuangalie kwa uchache baadhi ya mifano ya rehma za Allah (subhanahu wata‘ala) kwetu. </p>
<p dir=ltr>Hebu angalia rehma za Allah (subhanahu wata‘ala) kwa mtoto mchanga ndani ya tumbo la mama yake. Mbali ya kuwa mtoto yumo ndani ya tumbo na hana anaemuona wala kumshughulikia, Allah (subhanahu wata‘ala) anajaalia mtoto yule anakuwa vizuri na anapata rizki zake akiwa yumo mule mule ndani ya tumbo la mama yake. </p>
<p dir=ltr>Mtoto amezaliwa tayari wako baadhi yao wamezaliwa wakiwa na upungufu wa viungo na wengine wakiwa na viungo kamili. Wote hawa kuzaliwa na hali yoyote ile basi huwa ni rehma kwao. Leo binaadamu hajakaa kumuomba Allah (subhanahu wata‘ala) ampe macho, masikio, miguu wala akili ila Allah (subhanahu wata‘ala) amemjaalia kiumbe yule amezaliwa akiwa na viungo vyote hivyo na hajaviomba. Jee hatuoni kuwa hii ni rehma katika rehma zake Allah (subhanahu wata‘ala) kwetu? </p>
<p dir=ltr>Wengine wamezaliwa hawaoni, hawasikii au hawatembei vipi tutasema kwao wao ni rehma? Ndio ni rehma kwani tayari wameshapewa takhfif ya mtihani huko akhera. Mtihani ambao kila aliyepewa neema hizo lazima akazielezee vipi amezitumia. Mwenye macho ataulizwa vipi ameyatumia macho yake, jee ameyatumia katika halali au haramu? Ila yule aliyekosa macho basi hatokuwa na mtihani huo kwani jicho lake halikuwahi kudiriki kuona. Hivyo tuwe waangalifu na ambayo tunayafanya. </p>
<p dir=ltr>Rehma nyengine ya Allah kwetu sisi ni kuwa tumezaliwa katika neema kubwa ya Uislamu. Si kwa ubabe wetu wala uhodari wetu bali ni kwa rehma zake Allah (subhanahu wata‘ala) kwetu sisi. Kwani wako wengine wanazaliwa hali ya kuwa si Waislamu. Suala litakuja je hawa wamekosa rehma za Allah? Hapana hawakukosa rehma za Allah. Zipo rehma za Allah kwake na ndio maana akampa akili na baadae kumpelekea mjumbe wa kumlingania katika haki. Allah (subhanahu wata‘ala) hataki hata mja wake mmoja afe hali ya kuwa anamuasi. Ila sisi wenyewe ndio tunaojiingiza katika maangamizo. </p>
<p dir=ltr> Pia ni katika Rehma za Allah kwetu sisi kutujaalia tumezaliwa tukiwa tumo katika Umma bora, umma wenye kitabu bora pamoja na kuletewa Mtume bora. Je hatujui sisi kuwa katika wakati huu pekee ni rehma za Allah (subhanahu wata‘ala) kwetu sisi. Nabii Mussa alayhi salaam alitamani awe mfuasi tu ndani ya Ummat Muhammad. Jee mimi na wewe tunathamini hilo? Jee tunajua kuwa ni rehma zake Allah (subhanahu wata‘ala) kutujaalia sisi kuwa katika Umma huu? </p>
<p dir=ltr>Ndugu zangu wa kiislamu rehma za Allah kwetu sisi ni kubwa mno. Hatuwezi kumaliza mifano kwa kuiandika wala kuzungumza. </p>
<p dir=ltr>Tutosheke na mifano hiyo michache ambayo iwe ni mazingatio kwetu sisi.</p>
<p dir=ltr> KIMBILIA KATIKA KUZIPATA REHMA ZA ALLAH NA USIKATE TAMAA KUTOKANA NA REHMA ZAKE </p>
<p dir=ltr>Mifano tuloitaja juu ni mifano ya rehma za Allah (subhanahu wata‘ala) kwetu sisi. Mifano ambayo hatukukaa kuiomba bali mwenyewe Allah ametujaalia. Muislamu hatakiwi kukaa tu akasema rehma za Allah zipo tu kwangu na zitakuja. Lazima Muislamu wa kweli ajibidiishe katika kuzitafuta rehma za Allah. Hakika kila mmoja wetu ni muhitaji wa rehma za Allah (subhanahu wata‘ala) kwa kila jambo. Hakuna mtu anaeweza kusema kuwa ametosheka na rehma za Allah. </p>
<p dir=ltr>Jee Muislamu ili azipate rehma za Allah afanye nini? Jambo la kwanza Muislamu anatakiwa awe ni mwingi wa kufanya mazuri na kujiepusha na haramu. Kufanya hivyo kutamfanya aweze kupata rehma za Allah kwa ushahidi wa Quraan: “Hakika rehma za Allah zipo karibu kwa wenye kufanya mazuri(muhsinin).” (7:57). <br>
Aya hapo juu inaonyesha wazi kabisa rehma za Allah ziko na wenye kufanya mazuri. Hivyo Muislamu azitafute rehma za Allah kwa kukimbilia kufanya mazuri na kujiepusha na kufanya madhambi. <br>
Jambo la pili ni kwa Muislamu kuzidisha dua kumuomba Allah (subhanahu wata‘ala) aweze kumpa rehma zake. Msingi wa ibada ni dua. Wakati watu wanakimbilia kuomba majumba, fedha na utajiri ndugu yangu Muislamu wewe kimbilia katika kuomba rehma za Allah (subhanahu wata‘ala). </p>
<p dir=ltr>Latatu Muislamu akithirishe katika kumtaka msamaha Allah (subhanahu wata‘ala) kwa wingi itamfanya aweze kupata rehma za Allah. Ukiangalia katika Quraan sehemu nyingi ambazo Allah anataja kuhusu msamaha au yeye Allah ni mwingi wa kusamehe basi hutaja mbele yake neno RAHIIM. Hii ni kuonyesha wazi kwetu sisi tunapotaka rehma za Allah basi tukimbilie katika kuomba msamaha wa kweli kwa Allah ili tuzipate rehma zake. </p>
<p dir=ltr>Mfano wa aya hizo ni: <br>
1. “Waambie waja wangu ya kwamba Mimi ndiye Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.” (15:49). <br>
2. “Na ALLAH ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.” (2:218). <br>
3. “ Ni vyeo hivyo vinavyo toka kwake, na maghfira na rehema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira na Mwenye kurehemu.” (4:96). </p>
<p dir=ltr>Lamuhimu kuambizana ni kuwa tuombe msamaha wa kweli kwa Allah basi atatusamehe kwa rehma zake na tutazipata rehma za mambo mengine. Miongoni mwa rehma anazozipata mwenye kuomba msamaha ni kule kujaaliwa dhambi zake kuwa ni thawabu. “Isipo kuwa atakaye tubu, na akaamini, na akatenda vitendo vyema. Basi hao Mwenyezi Mungu atayabadilisha maovu yao yawe mema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.” (25:70). Lakini haya hayapatikani isipokuwa mtu kuomba msamaha wa kweli kwa Allah (subhanahu wata‘ala).</p>
<p dir=ltr> Mwisho kabisa natoa nasaha kwa Waislamu wote kuwa mtu asikate tamaa na rehma za Allah (subhanahu wata‘ala). Kadri utakavyokuwa umemuasi Allah basi utakapoamua kurudi kwake kikweli basi Allah atakupokea na atakusamehe dhambi zako. Muhimu ni mtu kuamua kurudi kikweli kwa Allah (subhanahu wata‘ala). Pia hata yule asiyekuwa Muislamu basi atasamehewa dhambi zake na kuwa kama mtoto mchanga pale anapozaliwa wakati atakapoingia katika Uislamu. </p>
<p dir=ltr>Na angalia rehma za Allah kwa waje wake. Mja juu ya kumuasi Allah bado Allah anamwita mja huyo kwa jina la Mja ( abdu). Mwanadamu akikerwa kidogo tu basi yule aliyemkera humwita kila aina ya majina kuonyesha hasira zake. Ila Allah (subhanahu wata‘ala) juu ya mja kumuasi bado humuita kwa jina la abdu. Na anamwambia arudi kwake na asikate tamaa. Vipi rehma za Allah zilivyokubwa kwetu sisi. Allah (subhanahu wata‘ala) anasema: “Sema: Enyi waja wangu walio jidhulumu nafsi zao! Msikate tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.” (39:53). </p>
<p dir=ltr>Tusikate tamaa na rehma za Allah (subhanahu wata‘ala) na tujitahidini kuzitafuta rehma zake kwa kuyafanya yale aliyotuamrisha. Allah atuwafikishe. Aaamin.</p>
Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-12897533861936023862014-07-02T15:46:00.001+05:002014-07-02T15:46:43.070+05:00TUNAKUOMBA UDHURU RAMADHAN<p dir=ltr><br>
Makala imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr>Ni wajibu wetu kuiomba msamaha Ramadhan na ni haki yake kutusamehe au kututosamehe,kukubali udhuru wetu au kuukataa udhuru wetu.</p>
<p dir=ltr>Kwanini tuiombe msamaha Ramadhan? Ni kwasababu ilipokuja mwaka jana, tuliazimia kufanya mengi, na baada ya kutushinda kuyatekeleza, tukaazimia kuyafanya tena mwaka huu, na kujiapiza kua tutayatekeleza kwa hali yoyote ile. Lakini ndio hiyo inaendelea kwenda kumalizika bila ya kutekeleza hata nusu ya tuliyoyaazimia. </p>
<p dir=ltr>Tunarejea makosa yaleyale tuloyayafanya Ramadhan zilopita. Tunarejea kukosa sala za jamaa, na kutosheka mtu kusali ndani ya wakati tu,tunarejea kosa la kuzungumza maneno maovu, na kusahau kua tunatakiwa tusifunge matumbo yetu tu, bali hata midomo yetu na viungo vyenginevyo. Tunarejea tena kosa la kutosoma Qur-an, na anaesoma hazingatii maana yake.</p>
<p dir=ltr>Je tunajua kwanini tunashindwa kuyatekeleza hayo yote na kutoipa Ramadhan haki yake? Ni kwasababu moja tu; na si nyengineo nayo ni kua TUNATAKA KUFANYA MAMBO AMBAYO HATUKUZOEA KUYAFANYA KABLA YA RAMADHAN. Hatukuzoea kusimama usiku kusali alau rakaa moja ya witri. Hatukuzoea kusoma Qur-an alau juzuu moja kwa siku, na tukakhitimisha baada ya mwezi,hatukuzoea kukaa miskitini katika vikao vya kheri na kusikiliza darsa,na hatukuzoea kusali sala za sunnah, hivyo tunashindwa kudumu na tarawehe. Hatukuzoea kua na khushui ndani ya swala hivyo hata anaeswali tarawehe na sala za usiku haathiriki na kinachosomwa kwani akili haipo, na ipo kwenye mechi ya leo nani atakua mshindi. Hatukuyazoea yote hayo na ndio yanatushinda kuyafanya, na anaefanya hushindwa kudumu nayo.</p>
<p dir=ltr>Tunahitaji kuiomba radhi Ramadhan kwa sababu kwa wengi imekuja wakati sio, kwani tumeghafilika na kutizama kandanda, na kupanga mechi, hivyo hatuhitaji kushughulishwa na jengine. Na hivyo ndivyo itakavyokua hali mpaka kinapomjia mtu kiama chake kidogo, (kutokwa na roho) au kikubwa atakua ameghafilika. Amesema Allah subhanah katika Suratul-Anbiyaa aya ya 1-3 “IMEWAKARIBIA WATU HESABU YAO, NA WAO WAMEGHAFILIKA NA KUPUUZA.HAYAWAJII MAWAIDHA MAPYA KUTOKA KWA MOLA WAO, ILA HUYASIKILIZA HALI YAKUA WANACHEZA. ZIMEGHAFILIKA NYOYO ZAO………..”. Hivyo Ramadhan una haki kutusamehe au kutotusamehe, lakini udhuru wetu ndio huo.</p>
<p dir=ltr>Amesema Mtume rehma na amani ziwe juu yake kuwabashiria maswahaba zake ilipoingia Ramadhan:“Umekujieni mwezi wa Ramadhan,mwezi wenye Baraka. Mumefaradhishiwa ndani yake Funga.Milango ya pepo hufunguliwa, na kufungwa ya moto. Ndani yake kuna usiku bora kuliko miezi elfu,atakaeharamishiwa kheri za usiku huo basi uyo ameharamishiwa. (kikweli kweli ameharamishiwa kheri zote)” (Nasai). </p>
<p dir=ltr>Jee sisi tunabashiriana kwa lipi? Au tunabashiriana kwa ushindi wa timu zetu? Amesema Mtume wa Allah katika hadith inayosimuliwa na Jaabir “Pua lake lirambe mchanga, (amepata hasara), anaeidiriki Ramadhan, kisha asisamehewe dhambi zake” . Lakini Jee kusamehwa dhambi ni kwa kila mtu atakaefunga?. Laa hasha wa kalla. Yule atakaefunga kwa Imani na kutarajia malipo, akajiepusha na mambo ya kipuuzi na kusema maneno yasiyokua ya kheri, huyo ndio iliyokamilika funga yake, kwani ameyafunga na kuyazuia matamanio ya tumbo lake,utupu wake, ulimi wake na viungo vyenginevyo.</p>
<p dir=ltr>Hivyo ndivyo walivyokua waja wema waliotangulia kuanzia maswahaba matabiina na wengineo,kwao wao mwaka mzima ulikua Ramadhan. Walijiandaa kuipokea Ramadhan, na wakimuomba Allah miezi sita awafikishe Ramadhan, na miezi sita baadae kuomba wakubaliwe waloyoyatenda Ramadhan.Walijua thamani ya funga itoshe hadithi ya Rasuul kua “Atakaefunga siku moja katika njia ya Allah, ataepushwa na moto mwendo wa miaka sabini”(Muttafaqun alayhi).</p>
<p dir=ltr>Walidumu na funga si za Ramadhan tu, bali na za Sunnah. Ramadhan waliipa haki yake, na ndipo wakaweza kufunga na za Sunnah. Sayyidina Uthmaan radhia Allahu anhu ameuwawa hali ya kua amefunga, na alikua akisoma Qur-an, ni kweli mtu hufa kwa amali aloizoea kuifanya.</p>
<p dir=ltr>Inasimuliwa kua Ibnu Umar yeye na baba yake radhia Allahu anhuma walikua hawafungi wanapokua safarini, na walikua hawali wanapokua nyumbani ,zaidi ya siku zilizoharamishwa kufunga. Lakini jee sisi tunaweza hayo au ndio tunatamani Ramadhan iishe ili jukumu la kufunga lituishie? Wengine kufikia kusingizia maradhi ya vidonda vya tumbo, ili tusifunge. Tumesahau kua aliefaradhisha Funga, ni mwenye kusikia na mwenye kuona, na anajua kila kitu,hakifichiki kwake kitu kama anavosema “…Na anajua yaliyomo barani na baharini,na halianguki jani ila anajua,wala punje katika giza la ardhi(ila anajua)…” (An-am :59).</p>
<p dir=ltr>Wengine wakafikia kuhama miji yao, na kwenda miji ya makafiri kwa kukimbia funga.Kwa kweli tunahitaji kuiomba radhi si ramadhan pekee bali na aloileta Ramadhan.</p>
<p dir=ltr>Allah ameeleza Lengo la kutufaradhishia funga, na si jengine zaidi ya kutaka tuwe wacha-mungu, kwa maana nyengine tumuogope yeye subhaanah,lakini je tumelifikia lengo hilo? Ramadhan ngapi zishapita na bado hatujalifikia lengo hilo. Kiukweli tunahitaji kuiomba msamaha Ramadhan.</p>
<p dir=ltr>Ramadhan ni mwezi ulioteremshwa Qur-an, na fadhila za kusoma Qur-an tumeona katika makala mbali mbali na kuzungumizwa na masheikh wengi, lakini Je tumezingatia fadhila hizo au ndio tuko na mashughuli ya kidunia na kusahau Akhera?. Kiasi Mtume wa Allah atushtaki pale aliposema “Na akasema Mtume:Ewe Mola wangu,hakika watu wangu wameihama Qur-an” (Fur-qaan 30). Na sisi hatufai kutushtakiwa kwa kuihama Qur-an tu, bali tunahitaji kushtakiwa kwa kutoipa hadhi yake stahiki Ramadhan.<br>
Ramadhan ni mwezi wa maghfira,na toba na kuwachwa huru na moto. Lakini je tumayakimbilia haya?<br>
Ramadhan ni mwezi wa subra na sadaka, na kuhurumiana baina ya watu na kuunganisha koo Lakini jee tunayafanya haya?</p>
<p dir=ltr>Ramadhan ni mwezi kushkuru na kuomba dua, na ndio mwezi wa ushindi,kwa waislamu kama tutakavyoona katika mada ya “Matukio muhimu ndani ya Ramadhan,”basi kwa nini wasifurahi waumini kwa hili na wanafurahia mengine?</p>
<p dir=ltr>Ramadhan ni mwezi wa adhkaar,itikafu,qiyamul-layl,tarawehe na kuengezewa mema na kufutiwa madhambi. Tunayafanya haya? au ndio tumeigeuza kuwa ndio mwezi wa kula na kunywa na kuchezacheza. Amesema Allah kumwambia Mtume wake “Waachie wale, na wacheze na yawapoteze matamanio na karibuni watajua”(Hijri 3). Tumeilizangatia onyo hili? Kwani ndo hali yetu wengi,tunakula,tunakunywa na kuchezacheza.</p>
<p dir=ltr>Maswahaba waliyafahamu haya, na ndio wakaipa Ramadhan thamani stahiki. Waliufahamu wasia wa Mjumbe wa Allah, na kama alivyosema swahaba wake mtukufu Abu-Dardai radhia Allahu anhu nilikua mfanya biashara mashuhuri, niliekua na mafanikio katika biashara zangu alipotumwa Muhammad, nikaona biashara na ibada haviendani, (kutokana na mishughuliko ya kibiashara) nikaamua kuchagua ibada na kuacha biashara. Amesema kweli Allah pale alipowasifu watu kama hawa na mfano wake: “Wanaume ambao haiwashughulishi biashara wala mauzo,(kuwasahaulisha) kutokana na kumkumbuka Allah,na kusimamisha sala,na kutoa Zakka,na wanaiogopa siku zitakapobadilika nyoyo na macho (Qiyamah)”( Nuur 37) .<br>
Hii ndo ilikua hali yao, basi ni ipi hali yetu ? Jee sisi tumechagua nini; Ramadhan au Mashughuliko ya kidunia? Tusameh Ramadhani</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-52115557902104955292014-07-01T14:24:00.001+05:002014-07-01T14:24:54.148+05:00KOMBE LA DUNIA (WORLD CUP) NA RAMADHAN
<p dir=ltr> </p>
<p dir=ltr>Makala imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group <br>
<br>
“IMEWAKARIBIA WATU HESABU YAO, NA WAO WAMEGHAFILIKA NA KUPUUZA. <br>
<br>
HAYAWAJII MAWAIDHA MAPYA KUTOKA KWA MOLA WAO, ILA HUYASIKILIZA HALI YAKUA WANACHEZA. ZIMEGHAFILIKA NYOYO ZAO………..” (AL-ANBIYAA 1-3) <br>
<br>
Ni suali wanalojiuliza walimwengu wote, kuhusu nani atakaekua bingwa wa soka mwaka huu? Ni kike kwa kiume, wakubwa na wadogo, WAISLAMU na wasiokua waislamu,hukusanyika chini ya vioo vya televishen ifikapo usiku, na kupoteza dakika 90 au zaidi, kuangalia michuano ya soka la kombe la dunia. <br>
Tumejisahau kama tuko ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhan. Tumesahau kua wakati huo wa usiku, Allah hushuka katika wingu wa dunia, na kuuliza nani anaeniomba nimjibu? Nani anaeniuliza nimpe? Na nani anaenitaka msamaha nimsamehe,?(Imesimuliwa na Abu-Hurayra na kupokewa na Muslim na Tirmidhy).</p>
<p dir=ltr> Je sisi tuko katika kundi gani, tunalomuomba ili atupe au kumtaka msamaha atusamehe? Ni kweli imekaribia hesabu ya watu, lakini wenye kuhesabiwa WAMEGHAFILIKA juu ya hilo. Hivi hatuoni kua ni kumfanyia istihzai Allah (subhanahu wataala), kua anashuka kwa ajili yetu na sisi tumeshughulika tukishangiria kandanda? Mara moja alipita Hassanulbasry rahimahullah ,akamkuta mtu anacheka kupindukia, akamuuliza: Je umeweza kuvuka katika Swiraat? Akamjibu: Laa, akamuuliza Je umevuka kutokana na Jahannam? Akamjib: Laa, akamuliza basi hicho kicheko ni cha nini?. Basi nasi tujiulize hivi vicheko vya nini? Au jibu ni kua timu yangu imeshinda? </p>
<p dir=ltr>Tunajiuliza kuhusu nani atashinda mechi ya leo, na nani atanyakua ubingwa, huku tukisahau kujiuliza nini tufanye ili tuifaidi Ramadhan? Je tukifa wakati huu, tunacho cha kumjibu Allah (subhanahu wataala? Tumejiandaa vipi kwa mauti na sakarati yake,kaburi na giza lake,ufufuo na zahma zake,hesabu na undani wake,na mwishowe Jahannam na joto lake?</p>
<p dir=ltr> Mara moja alipita Sayyidina Aliy kwenye kaburi akaliuliza: Je nikupe habari za duniani, ili na mimi unipe za uko ulipo? Akamwambia ama za duniani: Wake zenu wameshaolewa,majumba yashakaliwa na mali zenu zishagaiwa, na kama ungeliweza kunambia habari za uko ulipo, nadhani ungenambia kua :“Chukueni masurufu, kwani safari ya Akhera ni ndefu.” <br>
<br>
Amesema Mtume swalla Allahu alayhi wasallam katika hadithi inayosimuliwa na Abi-Ya’ala: “Mwenye akili ni yule anaejipima nafsi yake, na akafanya yatakayomsaidia baada ya mauti.Na mjinga ni yule anaendekeza matamanio ya nafsi yake, na akatarajia mazuri kutoka kwa Mola wake” (Tirmidhy). Je sisi tuko katika kundi gani? La Wenye akili ama wajinga kutokana na hadithi hii. <br>
<br>
Si kama haijulikani kama mwezi huu ni mwezi wa ibada, lakini makafiri hawatoacha kufanya kila aina ya hila, ili waislamu waghafilike, na kwa hilo wamefanikiwa. Amesema ALLAH subhanah“Na hawatoacha kukupigeni vita (makafiri),mpaka wakurejesheni kwenye dini yao ikiwa wataweza”.(Baqarah :217). Umma wa kiislamu umekua ukijua habari za ulimwengu wa mipira, kuliko habari zinazoendelea katika ulimwengu wa sasa wa kiislamu, seuze habari za wema walotangulia, ambapo habari zao wameachiwa wenyewe.</p>
<p dir=ltr> umesahau kua, waislamu wenzetu wanafunga lakini hawajui watakula nini. Na wengine wanafunga, huku wakiwa hawana uhakika kama wataimalizia funga ile palepale nyumbani au hospitalini, baada ya kujeruhiwa na risasi au wataimalizia kaburini. Hii ndio hali ya waislamu nchini Syria, Palestina, Iraq, Myenmaar (Burma), Kashmiir, Afganistan, Chechenia, Somalia,Afrika ya kati na kwengineko. Lakini tuliobaki tumejishau kua tuko katika neema, na ndio tunaitumia neema hiyo, ya uhai ,uzima na amani katika michuano ya kombe la dunia. Amesema Mtume wa Allah (swalla Allahu alayhi wasallam)“Asiejali mambo ya waislamu basi si katika sisi.” <br>
<br>
Yamehifadhiwa majina ya wachezaji ,mwaka alozaliwa, mwaka alojiunga na klabu, pesa ilonunuliwa mkataba wake, mwaka gani atastaafu, anachezea mguu gani ,anapenda nini na hata nani atakaemuoa.Imesahauliwa historia ya Rasuul na nasaba yake,na yule alokua anadai kua anajitahid katika mambo ya dini, basi atamjua mpaka babu yake Abdul-Muttalib. Masahaba 10 walobashiriwa pepo hawajulikani. Majina ya Wake za Mtume na baba zao hayajulikani. Vita vya badri havijulikani vimepiganwa mwaka gani,na idadi ya waislamu walopigana,wala idadi ya mashahidi, Lakini ratiba za mechi na saa zilochezwa fainali zote, tokea mtu apate akili zake anazijua. <br>
<br>
Tumeanza kuwapenda wachezaji, mpaka kusahau imani zetu kua sisi ni waislamu na wao ni makafiri, na hatuna uhusiano nao. Tumesahau kua sahaba alimuua baba yake katika vita vya Badri, kwa sababu anaipinga dini ya Allah, na Allah akateremsha aya kumsifia kwa kitendo hicho cha ki-imani na kishujaa, lakini sisi ndio kwanza tunawakumbatia na kujinasibisha nao. Amesema Allah subhanah“Hutowakuta watu wanaomuamini Allah na siku ya mwisho, wakawa wanawapenda wale wanaompinga Allah na Mtume wake, hata wakiwa baba zao, au watoto wao, au ndugu zao, au jamaa zao.” (Mujadalah: 22). </p>
<p dir=ltr>Akasema tena katika suratu-Tawbah 23: “Enyi mloamini,msiwafanye baba zenu na ndugu zenu,kua ni vipenzi vyenu,ikiwa watapenda kufru badala ya Imani” Ikiwa hali ndo hiyo ata kwa jamaa wa karibu, madamu kafiri basi hutakiwi kumpenda, seuze wachezaji mipira ambao hata hajui kama kuna watu wanalia anapouumizwa.</p>
<p dir=ltr> Tumeanza kuwapenda na baadae tukawaiga mikato yao, mienendo yao,na hatimae hadi majina yetu tukaengeza viambishi ili kufanana na yao. Mchezaji kamaliziwa na “vin” basi na mimi jina langu litakua ni “Saidivin”. Tumesahau kua jina la Said lina maana ya kua ni mtu mwema, sasa sijui kua likiengezewa na “vin” litaleta maana gani. Tumesahau kua Said ni jina la sahaba alobashiriwa pepo na mtu analikataa, na badala yake anaeka jina la kafiri. Na mfano wa majina kama hayo yapo mengi. Amesema Allah subhanah“Hawatoridhika mayahudi wala manasara mpaka uwafate mila zao” (Baqarah 120), na ndo izo tunazifuata na kuziiga. <br></p>
<p dir=ltr>Tumekatazwa kufanya urafiki na makafiri na kuwakumbatia ikawa ndio vipenzi vyetu. Amesema Allah(subhanahu wataala) “Enyi mloamini msiwafanye mayahudi na manasara, kua ni vipenzi vyenu.” (Maidah :51). Je tumeizingatia aya hii au ndio tunalia kwa kifo cha kafiri, na kusahau kua yeye alimkana Mola ambae wewe unadai kua ni Mola wako? Amesema Mtume wa Allah (swalla Allahu alayhi wasallam) katika hadithi iliyopokelewa na Ibnu-Hibbaan na kusimuliwa na Ibnu-Umar,“Atakaejifananiza na kaumu basi nae ni miongoni mwao” Tunawapenda watu ambao Allah amewalaani.</p>
<p dir=ltr> Wangapi kati ya wachezaji huvaa herini? Jee hayo si katika mapambo ya wanawake? Tumesahau kua wanaojifananisha na wanawake Allah amewalaani? Wangapi katika wachezaji hukata mikato ya ki fir-aun? Bado tu tunaendelea kuwapenda,? na hao ambao watasemwa kua ni waislamu, basi matendo yao hayatofautiani na makafiri kwani hutia herini kama wanavyotia wachezaji wenzake,hufanya mengineo kama wanavyofanya wenzake. Basi ni lipi la kuwatofautisha? </p>
<p dir=ltr>Tunasahau kua wanawafanya waungu watatu kua ndo wanaondesha ulimwengu huu kama familia,kuna baba, mwana na roho mtakatifu.Imekuja sura nzima kuwazungumzia mayahudi na manasara kua wamekufuru, na sisi waislamu hatutakiwi kua na mapenzi nao, badala yake tuwe na juhudi ya kuwalingania, na sio kufurahia matendo yao na kuyaiga. Amesema Allah (subhanahu wataala) katika Suratul-Maidah aya ya 73“Hakika wamekufuru wale wailosema Allah ndie Masih Issa bin Maryam, na akasema katika aya inayofata “. Hakika wamekufuru wale walosema kua Allah ni mmoja kati ya waungu watatu. Hakuna Mola wa haki zaidi ya Allah” Basi ni nani hao zaidi ya hao hao makafiri tunaowashabikia, na kufikia kujiua pindi timu zao zinapofungwa?</p>
<p dir=ltr> Kwa kua ndio ilikua desturi yetu kabla ya ramadhan kuwacha yalo muhimu, na kupoteza dakika 90 chini ya kioo, basi shetani ameendelea kututeka akili zetu mpaka ndani ya Ramadhan, tunaendeleza yale yale badala ya kurudi kwa Mola wetu, na kumlilia atusamehe madhambi yetu. </p>
<p dir=ltr>Swala zimekosa Khushui kwani kila unaposali mtu hukumbuka mechi ya jana, na ya leo sijui itakuaje. Kazi ya ukocha hufanywa ndani ya swala, na kupangwa namba za wachezaji ndani yake, na kama si takbira za imamu basi maamuma hatojua ameswali rakaa ngapi. Amesema Mtume wa Allah (swalla Allahu alayhi wasallam) katika hadith inayosimuliwa na Ibni Abbaas radhia Allahu anhuma “ Faidika na mambo matano kabla ya matano: Uhai wako kabla ya kifo, Uzima wako kabla ya maradhi yako, Ujana wako kabla ya uzee wako, Faragha yako kabla ya mashughuliko yako,na utajiri wako kabla ya ufakiri wako.” [Al-Haakim].</p>
<p dir=ltr> Je sisi kwa muda wa dakika 90, tunafaidika na kipi kabla ya kipi? Amesema Allah subhanah“Waachie wale, na wastarehe na yawadanganye matarajio,karibuni ivi watajua” ( Suratul Hijri :3). Tusisahau kua Qur-an imeteremshwa ndani ya mwezi huu, na Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam) alimshtakia Mola wake kua umma wake umeihama Qur-an. Wakati wa mchana kila mtu yuko mbioni kutafuta dunia yake, na usiku hufungwa kazi zote na watu hujiandaaa vizuri si kwa jengine, zaidi ya kuangalia kandandanda dakika 90. Je tungesoma Qur-an ingekua tushafika juzuu ya ngapi? Tukumbuke kua pamoja na kua milango ya pepo iko wazi,na ya moto kufungwa ndani ya Ramadhani, si kwamba atakaekufa na mwisho mbaya hatoingia motoni. Laa hasha wakalla. Badala yake atakaekufa akishuhudia upuuzi basi atafufuliwa hali yakua anashuhudia upuuzi, kutokana na hadithi ya Mtume wa Allah“Atafufuliwa mtu kutokana na kile alichofia.”(Muslim). <br>
Na akasema katika hadithi nyengine “Watafufuliwa watu na wale wanaowapenda” (Ahmad).Basi na sisi nani tunaowapenda kina Abubakar na Umar ama wachezaji mipira na waimbaji. </p>
<p dir=ltr>"ALLAH TUJAALIE WALE WENYE KUAMBIWA MAZURI NA KUYAFANYIA KAZI NA KUKATAZWA MABAYA NA KUYAWACHA"Aaamin.</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-40259488105961362362014-06-30T16:50:00.001+05:002014-06-30T16:52:30.700+05:00WASIA KWA WENYE KUFUNGA RAMADHAN
<p dir=ltr>Imeandaliwa na RAUDHWAH ISLAMIC GROUP</p>
<p dir=ltr>Ilipokaribia kuingia Ramadhan Mtume swalla Allahu alayhi wassalam aliwausia masahaba zake kuhusu Ramadhan, wasia tutakaouona katika mada zijazo Inshaa Allah. Na sisi tukiwa tumeuanza mwezi huu mtukufu ni muhimu kukumbushana yafuatayo ili uwe wasia wetu kwa ajili ya kufaidika na Ramadhan. <br>
1-Kumshukuru Allah subhanahu wataala kwa kutuwafikisha kuidiriki Ramdhan. Hakika kushukuru ni miongoni mwa ibada azipendazo  Allah, na akaahidi kwa waja wake wakimshukuru basi atawaongeza neema alizowapa. Amesema Allah subhanahu wataala“Na alipotangaza Mola wenu : Kama mtanishukuru nitakuzidishieni, na mkikufuru hakika adhabu yangu ni kali sana” (Suratu Ibrahim: 7) na akasema tena katika Suratul Baqarah aya ya 152 “….na nishukuruni wala msinikufuru”.</p>
<p dir=ltr>Uhakika hatuwezi kufikia upeo wa kushukuru neema za Allah, kwani neema zake hazihesabiki wala hazipimiki. Amesema  Ibnul Qayyim rahimahullah: “Kuwafikishwa kushkuru neema za Allah, nayo ni neema inayohitaji shukrani, na kuwafikishwa kushkuru neema ya shukrani, ni neema nyengine inayohitaji shukrani, na hivyo hivyo inaendelea kua muislamu aendelee kumshkuru Allah mpaka mwisho wa pumzi zake”. Miongoni mwa neema hizo ni kuwafikishwa kuidiriki ramadhan, alau siku moja na usiku wake, kwani wangapi walitamani alau waweze kufunga lakini maradhi yamewaweka vitandani, hawawezi kufunga, na kula yao mpaka watumie mirija? Wangapi walitamani waidiriki ramadhan na family zao, lakini sasa wako kaburini ima katika viwanaja vya pepo au mashimo ya moto? Hatutojua neema mpaka ikiondoka. Tumepewa nafasi ya kujirekebisha matendo yetu ,kwa kuitumia vizuri Ramadhan,ili siku ya Qiyama tupate ujira mkubwa apatao mfungaji, ujira ambao mimi na weye wakati huu tumewafikishwa na Allah kuupata,na tuukimbilieni huku tukiomuomba Allah atuwafikishe tuimalize Ramadhan kwa salama, asitunyime ujira wake wote, na atuwafikishe tuidiriki Ramadhan inayokuja. Tumshukuruni Allah si kwa maneno tu, bali na kwa matendo kwa kuonesha kuithamini Ramadhan.</p>
<p dir=ltr>2-Kufunga kwa Imani na kutarajia malipo</p>
<p dir=ltr>Amesema Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam)katika hadith sahihi, iliyopokelewa na Bukhari,Muslim na Nasai rahimahumullah na kusimuliwa na Abu-Hurayra radhiallahu anhu :“Yoyote atakaefunga Ramadhan, kwa imani na kwa kutarajia malipo atasamehewa dhambi zake zilotangulia”. </p>
<p dir=ltr>Kufunga kwa Imani ni kukiri kua funga ni amri ya Allah, na ni miongoni mwa nguzo za kiislamu, atakaesimamisha basi atakua ameusimamisha uislamu wake, na atakaevunja basi atakua kaubomoa uislamu wake. Allah hataki kula yetu na wala hana haja ya kukaa na njaa kwetu lakini anachotaka ni ibada na kama anavyosema katika lengo la funga ni kuwa anataka watu wawe wacha-Mungu yani wamuogope yeye Subhanah. <br>
Kutarajia malipo ni kutaraji kuwa kutokana na funga tunayofunga basi kuna malipo mazuri yaliyoandaliwa kwa wafungaji,na malipo ya mwanzo ni kusamehewa dhambi na mengine yanafuatia Akhera. Ni madhambi mangapi tumeyafanya ya dhahiri na siri,makubwa na madogo yote hayo yatasamehewa kwa atakaefunga kwa imani na kutaraji malipo. Amesema Mtume wa Allah (swalla Allahu alayhi wasallam) katika Hadith inayosimuliwa na Anas(radhia Allahu anhu) :“Hakuna amali kwa asiekua na nia na hakuna na malipo kwa asiyeyatarajia” . Na tumkumbukeni Allah na ukubwa wake na kwamba akatayarisha malipo mazuri kwa wafungaji na papo hapo tuyatarajie malipo hayo.</p>
<p dir=ltr>3-Kuchunga ulimi na mambo ya kipuuzi.</p>
<p dir=ltr>Anasimulia kwamba amesema Mtume swalla Allahu alayhi wassalam katika hadithi iliyopokewa na Bukhari na Abu-Daud na kusimuliwa na Abu-Hurayra:“Yoyote asiewacha maneno ya upuuzi, na kuyafanyia kazi,basi Allah hana haja ya kuacha chakula chake na kinywaji chake”.  Je tumeizingatia hadithi hii tukafumba midomo yetu? </p>
<p dir=ltr>Amesema Mtume wa Allah  (swalla Allahu alayhi wasallam) kuwa “Yoyote anaemuamini Allah, na siku ya mwisho basi na aseme la kheri au anyamaze” .(Muttafaqun alayhi). La kusikitisha Ramadhan ndio imekua mwezi wa porojo,Ramadhan imekua ndio mwezi wa kusengenyana, Ramadhan ndio mwezi wa watu kukaa barazani na kuanza kutaja sifa za wapita njia,na wengine kukaa maskani na kuhadithiana uongo. Tumejiweka wapi na hadithi hii? </p>
<p dir=ltr>Tokea hapo mwanzo Allah hahitaji chakula chetu wala kukaa  kwetu na njaa lakini analolitaka ni ucha-mungu,na haupatikani kwa kuzungumza ovyo,na kwa mwenye kusema uongo na kufanya upuuzi mwengine basi ni bora kwake kula kwani Allah hahitaji kulifungia tumbo akauwachia ulimi,kama kufunga basi na viungo vyote vifungwe. Hatopata hasara anaenyamaza kimya lakini hasara kwa asiweza kuumiliku ulimi wake.</p>
<p dir=ltr>Kumiliki ulimi ni jambo alousiwa Muadh bin Jabal na kaambiwa kuumiliki ulimi ndio itakua sababu ya kutengenea matendo yote iwe sala,swaumu,hajj na hata Jihad. Aliulizwa Mtume (swalla Allahu alayhi wasallam):” Ni kipi kitachowaingiza wengi motoni ? Akajibu kua ulimi na utupu ndivyo vitakaowaingiza wengi motoni. Na akasema atakaenidhamini viungo hivyo basi na yeye amemdhamini Jannah,(Hadith imepokewa na Bukhari). Basi na tuanze kumdhamini Mtume wa Allah viungo hivi ndani ya Ramadhan hii kwa kutosema uongo,kutosengenya,kutukana na porojo nyenginezo.</p>
<p dir=ltr>4-Kutia nia ya kuzidisha kheri, na kushindana katika mazuri. </p>
<p dir=ltr>Muumini wa kweli hatasheki na kufunga tu ndio ikawa basi,wala hatosheki na kusali sala zake tano, kisha ikawa ndio kishamuabudu Allah. Kumuabudu Allah hakutoshi kwa dakika 25 kwa sala zote tano, ndani ya masaa 24. Allah hahitaji kupangiwa au kutengewa muda kwani muda wote ni wake na anastahiki muda wote kuabudiwa. Alipotaja pepo na starehe zake akamalizia kwa kusema na washindane wenye kushindana(Muttafifin :26) na kwengine akasema Kwa mfano wa haya nawatende watendao. (swaaffaat :61).  </p>
<p dir=ltr>Pepo inahitaji kushindaniwa kwani kama anavyosema Rasuul (swalla Allahu alayhi wasallam) kuwa “….Hakika bidhaa ya Allah ni ghali na bidhaaa ya Allah ni pepo.(Tirmidhy).  Ikiwa kushindana kwenyewe sisi ndio tutaenda na sala tano tu ambazo hazina khushui ndani yake, na haikutimizwa rukuu wala sijdah, mbele ya wale ambao wanaswali mpaka kuvimba miguu yao, na kuroa ndevu zao kwa kulia na kukesha usiku mzima, kwa kumuabudu Allah hivi tutakua sawasawa? Au ndo sisi tunashindana kwa aina za vyakula na nani kapika vingi na vizurii?</p>
<p dir=ltr>Wengi wetu kabla ya Ramadhan tulitia nia ya kuzidisha kufanya kheri, na wengine baada ya kufanya vibaya Ramadhan zilopita, tukajiapiza Ramadhan ijayo nitafanya vizuri, na nitamuabudu Allah kikamilifu, lakini tunayakumbuka haya au pia tunasubiri ya mwakani, ili tufanye vizuri kwa kua Ramadhan hii tuko na mishughuliko ya world cup, hatuna muda wa kumuabudu Allah.</p>
<p dir=ltr>Na tuipambeni Ramadhan yetu kwa Qur-an na qiyamul-layl. Adhkaar na madarsa na vikao vya kheri,Tutieni nia ya kuzidisha kheri na miongoni mwa mambo tunaotakiwa kuyaazimia kuyafanya  ni kutekeleza sunna ya itikafu, sunna ambayo hakuiachapo Mtume baada ya kuhamia Madina na mwaka aloiwacha ikabidi ailipe lakini ndio sunna iliyokimbiwa na wengi.</p>
<p dir=ltr>5-Kuwahurumia wanyonge na kuacha israfu.</p>
<p dir=ltr>Anasema Allah (subhanahu wataala) “…. Na amewanyanyua daraja baadhi yenu juu ya wengine ili akufanyieni mtihani kwa hayo alokupeni…” (An-aam 165).Na akasema tena katika Suratu-Nahli aya ya 71 “Na Allah amewafadhilisha baadhi yenu kuliko wengine katika rizki, Je wale walofadhilishwa,hawarejeshi rizki zao,kwa wale wanaowamiliki kwa mikono yao ya kulia?”.</p>
<p dir=ltr>Kutofautiana kwa kipato ni dalili za uwepo wa Allah kuonesha anampa amtakae na humnyima amtakae na kwamba kupata si kwa utashi wa mtu, bali ni mipango ya Allah. Na akawataka waja wake wasaidiane. Bila shaka miongoni mwa jamii za kiislamu tunazoishi nazo wako wanaofunga lakini wasijue wataftari nini, na wanafunga hawana daku ya kula ili waweze kufunga vizuri. </p>
<p dir=ltr>Wanafunga kwa kua ni amri ya Allah (subhanahu wataala) lakini kipato chao na uwezo wao hauwaruhusu kufanya hivyo.  Watu aina hiyo wanahitaji kuangaliwa kwa jicho la huruma na wale wenye uwezo. Si vibaya kila siku kumlisha maskini mmoja kwani sadaka ya kulisha chakula ina thamani kubwa mbele ya Allah (subhanahu wataala). Na Amesema Mtume wa Allah katika hadithi inayosimuliwa na Saad bin Khalid:”Atakaemfutarisha aliefunga, basi atapata ujira sawa na wake, pasi na kupungua ujira wa mfungaji chochote”(Tirmidhy,Nasai na Ibnu-Majah).  </p>
<p dir=ltr>Ikiwa ni hivyo basi na kuftarsha kwetu tusiwasahau maskini na sio shughuli zetu za kuftarisha kujazwa matajiri na wenye uwezo wao ambao hata hicho chakula hawakihitaji. Kwa kutumia kiyasa ya hadith ya Rasuul inayosimuliwa na Abu-Hurayrah kua chakula kibaya ni chakula cha harusini, kwani wanaalikwa wasiokihitaji; basi na ftari zetu kesi ndio hiyohiyo, tunawasahau maskini na wote wanaoalikwa hawakihitaji. Tusitosheke na thawabu za kuftarisha mtu bali tutake na thawabu za kulisha maskini kwani tukialika matajiri tutapata thawabu za kuftarisha tu lakini kualika maskini itakua ni thawabu za kuftarisha na za kulisha maskini.<br>
           Ama kuhusu israfu tumeona maudhui yake katika mada zilopita</p>
<p dir=ltr>6-Kukumbuka njaa na kiu siku ya Qiyamah. </p>
<p dir=ltr>Moja kati ya mambo walohusishwa Mitume na ndo ikawa kama zawadi yao hapa duniani amesema Allah subhanah “Hakika tuliwachagua kwa lile jambo zuri kabisa la kuikumbuka Akhera” (Swaad :46). Ni zawadi ambayo imewafanya kutojali maisha ya dunia ni kutoshughulishwa na starehe za duniani.</p>
<p dir=ltr>Amesema Allah (subhanahu wataala) hii kuonesha kua kila kitu chao walikua wakifiri akhera.Na hivyo ndio anavyotakiwa muislamu wa kweli awe. Awe anafikiri akhera,kwani nguzo zote za kiislamu kuanzia sala,swaumu na hata hajji vinamkumbusha mtu mambo yatakayotokezea siku ya kiyama. Funga inatakiwa imkumbushe mtu njaa na kiu, kitakachowakuta watu wa motoni na kutokana na kiu hiyo wataomba kwa watu wa peponi kama anavyotusimulia Allah (subhanahu wataala) katka suratu A’raf  aya ya 50 “Na watanadi watu wa motoni kuwaita wa peponi: Tumiminieni maji au chochote katika alivyokuruzukuni Allah. Watasema watu wa peponi: Hakika Allah ameviharamisha vyote viwili (yani chakula na maji) kwa makafiri”. Hivyo basi mtu anapokaa na njaa na kiu akumbuke kua akhera watu waovu watakaa na njaa na kiu.(Allah atuhifadhi)</p>
<p dir=ltr>Allah atuwafikishe kuyatekeleza haya na mengineyo ya kheri.</p>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8233613956240068613.post-2838631260203027882014-06-29T14:48:00.001+05:002014-06-29T14:49:15.799+05:00Fadhila za kusali Dhuhaa
<p dir=ltr>Makala imeandaliwa na Raudhwah Islamic Group</p>
<p dir=ltr>Imesimuliwa na Abu-Hurayra -radhi za Allah ziwe juu yake- amesema:"Ameniusia Kipenzi changu(swalla Allahu alayhi wasallam) mambo matatu: Kufunga siku tatu kila mwezi,Rakaa mbili za Dhuha na kusali witri kabla ya kulala" Imepokelewa na Bukhari na Muslim na pia Mtume swalla Allahu alayhi wassalam alimuusia hayo hayo swahaba wake mwengine Abuu-Dardai radhia Allahu anhu katika hadityhi ilopokelewa na Imam Muslim na Abu-Daud</p>
<p dir=ltr>Ndugu zangu wa kiisalamu, sala ya dhuha ni sala yenye ujira mkubwa lakini ni katika swala ambazo zimesahaulika katika jamii ya kiislamu, na hata wengine hawajui kama kuna sunna hiyo, hii ni kutokana na kuwa na mishughuliko mingi ya kidunia kwani swala hii huswaliwa robo saa mara baada ya kuchomoza  jua mpaka kabla ya adhuhuri, hivyo watu huwa katika mishughuliko yao, na kusahau kusali sala hii, Anasimulia swahaba Abdullah bin Amr bin Aas -radhiallahu anhu kua mara moja maswahaba walirud katika vita hali ya kua wamepata ngawira nyngi na wamerudi katika muda mfupi sana, wakawa watu wanazungumzia kuhusu habari yao, Mtume akawauliza"Jee nikutajien kitu chenye thamani kuliko hata hizo ngawira na chenye kutosheleza muda? Maswahaba wakasema ndio. Akawaambia:Mwenye kutawadha akaelekea msikitini na kusali dhuhaa basi huyo kapata zaidi kuliko hata hizo ngawira" Imepokelewa na Imam Ahmad</p>
<p dir=ltr>Atakaeswali Dhuhaa kachukuliwa dhamana na Allah ya kusimamiwa mambo yake kwa siku ile kama anavyosema Mtume swallahu alayhi wassalam katika hadithi ilopokelewa na Uqba bin Amir radhia Allahu anhu kua "Amesema Allah kumwambia mwanadamu:Ewe mwanadamu nitosheleze mwanzo wa mchana kwa rakaa nne nami nitakutosheleza mwisho wa mchana" Imepokelewa na Imam Ahmad</p>
<p dir=ltr>swala ya dhuhaa ina rakaa mbili mpaka nane na muda wake ni robo saa baada ya kuchomoza jua na kabla ya adhuhuri , ina fadhila nyingi Allah atuwafikishe kuisali na atulipe ujira kamili<br>
Wallahu a'alam.</p>
<p dir=ltr>Usisahau kusali DHUHA</p>
Unknownnoreply@blogger.com3